Spika Ndugai: Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem

Spika Ndugai: Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem

Atakanusha kuwa hakusema hivyo,lakini sote tumesikia na Hansard zimenasa hivyo,labda afute maneno yake kuweka kumbukumbu sahihi,kwa maana to error is human.

Nimeshangaa kusikia kuwa Yesu alioa mke,labda imeandikwa kwenye agano toleo jipya.
 
Binafsi mimi naona ni mchapio tu, Neno hilo lingekuwa vivid kama asingesema kuwa yesu ndipo alipozaliwa.
 
2020 nilikuwa mtetezi wa Job kindakindaki, leo hii namuona ni miongoni mwa magunia ya misumari ya Taifa....siku zinaenda kasi jamani!
 
sisi tunaanzia alipokosea anajifanya mjuaji sn
Haluna alipokosea ndugai ninyi mnaolalamika ndiyo hamjui asili yenu yesu hawahusu kabisa waafrika hasa watz acheni kulishwa ujinga wa kibiblia mbwa nyie yaani ninyi ni bora atulanwe mama yenu na siyo yesu.

Hamba vinsaba na yesu hata kidogo pimeni DNA muone asili zenu
 
kama kuna mtu hakumuelewa ngugai basi huyo mtu atakua ni fala, kwenye matamshi kunakukosea lakini dhamira ya alichokielezea kinaeleweka
We nae wale wale.ngugai,kunakukosea .hiki ni kirundi au kimang'ati
 
Nadhani hajui,ila alitaka kumwongelea yusufu na mke wake bikira maria.
 
hizo ndio akili za wapinzani wa Serikali. Ila wako wachache sana hawana madhara. Ndugai mi nimempenda sana anautendea haki mhimili wa bunge, angefaa hata kuwa Rais wa nchi hii awashughulikie vizuri wapuuzi km kina Gwajima. Gwajima ni hatari kwa usalama wa nchi hii kwa sasa. NNa wasiwasi hata na uraia wake. Mtu anamdharau Rais wa nchi, anasema uwongo wa wazi, anamfitini Rais na watu wake, anawachonganisha wananchi na Serikali yao. Jambo la wazi ni kwamba Gwajima ni mbaguzi, ni mkabila hakumpenda Mh. Samia awe Rais. Swali kwanini vyombo vya ulinzi na usalama vinamchekea? na Chama je? Au ni kwasababu wakuu wengi wa vyombo vya ulinzi wanatoka kanda ya ziwa?
Wote ndio wale wale wanywa uji wa mgojwa.ndugai awe rais .au wewe ndio ndugai
 
CHADEMA huwa wanastory za kitoto Sana hii nayo ni siasa

USSR
Kumbe ni mzee wa matozo unamtetea mjinga mwezio.hamtutishi.na 2025 kitaeleweka.hakuna cha polisi wala jeshi litakaloteka kura zetu.shwaini
 
Ni ulimi kuteleza tu sidhani Kama hajui Yesu hakuwahi kuoa.
Hajui.kama ndio alikuwa mshauri wa askofu mkuu wa anglikana nadhani ndio maana hili kanisa lilikubaliana na mambo ya ushoga.job ndio alimshauri askofu maana job ni kichwa maji
 
Back
Top Bottom