Spika Ndugai: Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem

Spika Ndugai: Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem

Hii barua imepinda au macho yangu tu.

Screenshot_20210831-224402_Chrome.jpg
 
Me naona kama mchapio tu wa jina, lengo lilikuwa Yosefu na mke wake Maria .

Kwa mujibu wa maandiko Maria hakuwa mke wa Yosefu Bali walikuwa wachumba.

Huyu ndugai atakuwa kuna fyuzi zake hazipo sawa
 
Habari wadau, naamini jukwaa hili ni huru hivyo naruhusiwa kutoa maoni. Nimesikia spika wa bunge letu Mh Ndugai akizungumza habari za Yesu na mke wake.

Mimi naamini ingekuwa ni kosa la ulimi kuteleza angeligundua na kusahihisha papo hapo, kwa maoni yangu ni kwamba alifanya makusudi au hakuwa anatafakari kila anacho tamka (yaani kinachotoka mdomoni hakikurudi akilini ili ajue ni sahihi au la.

Uzungumzaji wa aina hii haufai, aitwe ahojiwe kwa kusema uongo, kudhihaki na kushusha hadhi ya Bunge.
 
Uelewa wa ndugai ni mdogo sana kwenye swala nzima ya kiimani.
Sasa huyo mkuu wa kanisa la anglikana alikuwa hanamshauri nn????

Ivyo basi imedhirika kabsa kwamba upeo wa ndugai ina ulakini mwingi
 
Wanasiasa msinyoshee vidole wapakwa mafuta wa Bwana.Mungu aliamua kututhibitishia Kati ya Gwa na ndu na wafuasi wake,Nani ni mtumishi wake.Daah aibu Sana kwa mzee wa kanisa.
 
Habari wadau, naamini jukwaa hili ni huru hivyo naruhusiwa kutoa maoni. Nimesikia spika wa bunge letu Mh Ndugai akizungumza habari za Yesu na mke wake.

Mimi naamini ingekuwa ni kosa la ulimi kuteleza angeligundua na kusahihisha papo hapo, kwa maoni yangu ni kwamba alifanya makusudi au hakuwa anatafakari kila anacho tamka (yaani kinachotoka mdomoni hakikurudi akilini ili ajue ni sahihi au la.

Uzungumzaji wa aina hii haufai, aitwe ahojiwe kwa kusema uongo, kudhihaki na kushusha hadhi ya Bunge.
Kumbe inauma uongo juu ya Nabii...
Nilijua ni upande ule tu ndio huwa wanakasirika.
 
Kwa mujibu wa maandiko Maria hakuwa mke wa Yosefu Bali walikuwa wachumba
Huyu ndugai atakuwa kuna fyuzi zake hazipo sawa
Utamwambia nini kashatembea Galilaya ,Nazareti hadi kapernaumu karibia zaidi ya mara nne
 
Kiroho maana yake Mungu kakataa kuhusishwa kwenye vitu vya kipumbavu kwa kukosa heshima

Mkumbuke ajikwezae hushushwa
Huyu kata kujikweza kuwa yeye yu wa Mungu pengine kuliko mtu yeyote, hapa Mungu kaamua kumkataa kata kata kuwa hawachangamani.

Angelijua hili alipaswa kujiuzuru na kuvaa magunia kisha kujipaka masizi halafu aende mlimani akatubu.

Hata kama anapajua huko anako sema pamoja na kutaka kushindan na Gwajiboy hakupaswa kuudharirisha ukristo kwa kiwango hicho.

Wapo waliotamka maneno kwa bahati mbaya lakini yalikuwa ya kujenga. Ajifunze wapo walioonge hata lugha zisizoeleweka na kuota ndoto zisizoeleweka lakini baada ya kupewa tafasiri zilikuja kama ujumbe wa Mungu.

Yeye hata haihitaji tafasiri
 
Back
Top Bottom