Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ndio wasema ila yeye kasema Yesu,sisi ni nani mbaka tupinge?Alimaanisha Yusuf kuweni na akili za kuvukia hata road
USSR
Distance zoote na umbali naujua......He was talking about the distance they covered during that journey. Maybe he has visited Israel, so atakuwa anajua umbali waliotembea.
Aache kucheza na imani za watu ili kujifurahisha.Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI
Duuuh 😥😥😥😥
Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo
Kwann aseme yesuAlimaanisha Yusuf kuweni na akili za kuvukia hata road
USSR
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndungai ni mshauri wa askofu mkuu anglikana duniani
Aitwe kamati maana si kadanganya bunge kuwa Yesu alikuwa na mke wake, wakati haipo hivoYesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI
Duuuh [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo
Mimi nawashangaa wanaomshangaa Ndugai leo! Hamkumbuki alivyosema eti sheria fulani wakati tunaipitisha tulikuwa tumelala au mimi sikuwa spika!
Sikiliza hapa
Labda na leo hakuwa yeye. Kuna wakati anakuwa yeye na wakati mwingine yupo ila si yeye.
Hii kashfa ya Yesu kuwa na mke angesema kashfa kama hiyo kwa WaTaliban!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI
Duuuh [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo
Ananikumbusha ile clip ya Philipo Mulugo aliposema Tanzania was formed in 11964 by unifying the islands of Zimbabwe and TanganyikaYesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI
Duuuh [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo
Mtu akiteleza kidogo basi kwakuwa unamchukia,unakuwa ndo mtaji wa kumkandamiza.Leo ndio nimejua kua sijui......... Kumbe ni mambo mengi natakiwa kujifunza kuhusu dini likiwepo hili la mke wa Yesu
Mwambie atuachie Bwana Yesu KRISTO wetu.Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI
Duuuh [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo
Hapo ulimi haujateleza bali hajui! Acha ketetea ujinga!Mtu
Mtu akiteleza kidogo basi kwakuwa unamchukia,unakuwa ndo mtaji wa kumkandamiza.
Mkristo unashindwa kutofautisha Yesu na Yusuph? Basi huyu ni Job jina tuu na usikute hata kanisa halijui