Spika Ndugai: Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem

Spika Ndugai: Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem

ni kweli alikuwa na maana hiyo lakini katika siasa haiko hivyo ndugu ukikosea imekula kwako jaribu kukumbuka jinsi yule aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani ilivyomgharimu kwa kutofunga sharti vizuri (kangi Lugola) au mnakumbuka yule waziri wa elimu wa miaka ile aliyekosea kwenye kikao fulani south Africa? hiyo ndo siasa!
Me naona kama mchapio tu wa jina, lengo lilikuwa Yosefu na mke wake Maria .
 
Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI


Duuuh 😥😥😥😥
Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo
Mke wa Yesu! Naomba kujua jina la mke wa Yesu?
 
Nafikiri ni ulimi tu umeteleza mdomoni. Labda alitaka kusema, "Yusufu" na mke wake.

Anyways, it's not a big deal.
 
Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI


Duuuh [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo
Kumbe na wewe ulimsikia akidanganya!!
 
Nafikiri ni ulimi tu umeteleza mdomoni. Labda alitaka kusema, "Yusufu" na mke wake.

Anyways, it's not a big deal.
Let say basi ni Yusufu na mke wake.
Hiyo movement anayojitapa kuifahamu iko sahihi?
Sikiliza tena na Soma Kitabu cha Luka...
 
Let say basi ni Yusufu na mke wake.
Hiyo movement anayojitapa kuifahamu iko sahihi?
Sikiliza tena na Soma Kitabu cha Luka...
He was talking about the distance they covered during that journey. Maybe he has visited Israel, so atakuwa anajua umbali waliotembea.
 
Hahahaha Sasa mkuu hata mke unataka nisiende kuoa Kongwa au😂😂😂😂😂
Mimi nawashangaa wanaomshangaa Ndugai leo! Hamkumbuki alivyosema eti sheria fulani wakati tunaipitisha tulikuwa tumelala au mimi sikuwa spika!
Sikiliza hapa
Labda na leo hakuwa yeye. Kuna wakati anakuwa yeye na wakati mwingine yupo ila si yeye.
Hii kashfa ya Yesu kuwa na mke angesema kashfa kama hiyo kwa WaTaliban!
 
Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI


Duuuh [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo
Hapo alitakiwa kumalizia kwa kusema mke wa Yesu baadae akajifungua kwenye holi la ng'ombe na akamzaa mtoto wa kiume akaitwa Yosefu.
 
Nafikiri ni ulimi tu umeteleza mdomoni. Labda alitaka kusema, "Yusufu" na mke wake.

Anyways, it's not a big deal.
4 So Joseph also went up from the town of Nazareth in Galilee to Judea, to Bethlehem the town of David, because he belonged to the house and line of David. 5 He went there to register with Mary, who was pledged to be married to himand was expecting a child.6 While they were there, the time came for the baby to be born, 7 and she gave birth to her firstborn, a son. She wrapped him in cloths and placed him in a manger, because there was no guest room available for them.
 
He was talking about the distance they covered during that journey. Maybe he has visited Israel, so atakuwa anajua umbali waliotembea.
Msikilize Ndugai halafu soma kitu Biblia inasema.

4 So Joseph also went up from the town of Nazareth in Galilee to Judea, to Bethlehem the town of David, because he belonged to the house and line of David. 5 He went there to register with Mary, who was pledged to be married to himand was expecting a child.6 While they were there, the time came for the baby to be born, 7 and she gave birth to her firstborn, a son. She wrapped him in cloths and placed him in a manger, because there was no guest room available for them.
 
Well kwa hili namsamehe kuchangaya majina ni Ubinadamu...

Kuwa part ya kupitisha zile tozo za miamala ndio siwezi kumsamehe... ni kama hawa jamaa wapo out of touch na reality
 
Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI


Duuuh 😥😥😥😥
Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo
Kimtokacho mtu ndicho kiujazacho moyo wake. Huyu jamaa mambo ya ngono na wanawake ndiyo anayowaza 24/7
 
Back
Top Bottom