Spika Ndugai: Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem

Spika Ndugai: Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem

Mzee wa "Kapernaum" a.k.a Ndugai ana temper na chuki sana ingawaje anajaribu kujifanya ni mtu mpole na mwenye busara.
 
Huyu kwa kuwa ana laana ya Tozo ataendelea kukosea tuu kusema kile asichomaanisha mpaka atuombe msamaha huko nje mafuta yapo bei ndogo yeye na kundi lake wameyapandisha kwa nini asichapie na bado ataendelea kuchapis tuu...
 
Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI


Duuuh 😥😥😥😥
Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo
Aache kucheza na imani za watu ili kujifurahisha.
 
Nawakumbusheni tuu kwamba SPIKA MBOVU zinakinga ya kutoshitakiwa kwa kosa lolote atakalotenda. Sasa shida yangu ipo kwa wale walipiga meza kuonyesha kaongea point
 
Yesu alikwenda na mke wake kuhesabiwa halafu akazaliwa yesu tena hapo bungeni meza nazo zinaskika zikipigwa makofi dah ama kwel bungeni kuna vituko
 
Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI


Duuuh [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo
Aitwe kamati maana si kadanganya bunge kuwa Yesu alikuwa na mke wake, wakati haipo hivo

Ulimi hauna mfupa lakini walitakiwa wamwambie mzee umechapia
 
Mimi nawashangaa wanaomshangaa Ndugai leo! Hamkumbuki alivyosema eti sheria fulani wakati tunaipitisha tulikuwa tumelala au mimi sikuwa spika!
Sikiliza hapa
Labda na leo hakuwa yeye. Kuna wakati anakuwa yeye na wakati mwingine yupo ila si yeye.
Hii kashfa ya Yesu kuwa na mke angesema kashfa kama hiyo kwa WaTaliban!

😂😂😂😂😂✌️✌️✌️yaani inafika mahali unaweza kusema Mimi sio mtanzania aisee
 
Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI


Duuuh [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI


Duuuh [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo
Ananikumbusha ile clip ya Philipo Mulugo aliposema Tanzania was formed in 11964 by unifying the islands of Zimbabwe and Tanganyika

Alafu yuko serious kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mtu
Leo ndio nimejua kua sijui......... Kumbe ni mambo mengi natakiwa kujifunza kuhusu dini likiwepo hili la mke wa Yesu
Mtu akiteleza kidogo basi kwakuwa unamchukia,unakuwa ndo mtaji wa kumkandamiza.
 
Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI


Duuuh [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo
Mwambie atuachie Bwana Yesu KRISTO wetu.

Aseme yale anayoyajua, yaani kachanganya kama mtoto anayejifunza aeiou

By the way, chanjo siyo
 
Ingawa sijui biblia vema.
1. Yesu hakuwa na mke.
2. Hesabu/sensa haikufanyika Yerusalem ila Bethlehem ambako Yesu aitwaye Kristu alizaliwa.

Huyu (Ndugai) aombe radhi kwa makosa mawili
1. Kupotosha kuwa Yesu ana mke.
2. Kupotosha kuwa sensa ilifanyika Yerusalem.
 
Back
Top Bottom