Spika Tulia Ackson anapaswa awajibike kwa kujiuzulu, kutokana na kutamka kuwa anayemsema vibaya Rais Samia, anapaswa ashughulikiwe!


Mkiambiwa kuwa kuwa na degree au PhD sio kuelimika hamfahamu sasa huo ndio mfano wake. Mtu amefika hadi chuo halafu anatamka utumbo namna hii, hivi kweli utasema huyu mtu ameelimika? Ikiwa mtu anaetuambia kuwa amesomea sheria (sijui kama kuna ushahidi wowote kuthibitisha hayo) anasimama na kuwataka watu kunyonga wenziwao na kutia wasiwasi katika jamii, unadhani huyu mtu ana akili kweli? Hivi alikwenda chuo kusoma au alikwenda kubukua tu?
 
MNAJISUMBUA NA KUJIUMIZA VICHWA TU
MSHAWAHI ONA WAPI TANZANIA
MTU ANAJIUZULU
TANZANIA WATU HAWAJIUZULU AMA KUSTAAFU

ova
 
Ajiuzulu?labda akanyage waya kama yule andunje
 
Huyo Spika Tulia Ackson, Leo ametoa kauli nyingine mbaya zaidi!

Eti CCM hata kama wananchi wataikataa, katika uchaguzi, watatumia nguvu za Dola kuendelea kubaki madarakani milele!😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…