Spika Tulia ameshindwa kujibu maswali badala yake kaongea vitu ambavyo hajaulizwa kwa kupanic na mhemko

Spika Tulia ameshindwa kujibu maswali badala yake kaongea vitu ambavyo hajaulizwa kwa kupanic na mhemko

Who mandated you to vist Russia? Hili swali limeulizwa na Mbunge kutoka Lithuania.

Angetakiwa kujibu tu kama alivyojibu Mwakilishi kutoka Iraq and it was enough.

Swala la kusema sijui wame mcrucify inaonesha ana dhana mbaya dhidi ya wauliza maswali.
Point yako ni ya pili kwa majibu ya swali hilo la mandate, alijibu kwanza vizuri.

Dr Tulia anachukiwa kwa sababu ni spika wa bunge lililojaa CCM, hakuna kitu huu uzi utaipunguza heshima yake kimataifa.
 
Point yako ni ya pili kwa majibu ya swali hilo la mandate, alijibu kwanza vizuri.

Dr Tulia anachukiwa kwa sababu ni spika wa bunge lililojaa CCM, hakuna kitu huu uzi utaipunguza heshima yake kimataifa.
Hiyo ndio shida......kudhani rais Wa IPU ameiwakilisha CCM.
 
Hisia zake zilikuja baadae, kwanza alijibu maswali yao.
Nimeona alijibu maswali kwenye maelezo ya awali akijibu Mjumbe wa Iraq.

Sasa kama unavyojua wabunge wanataka kutest msimamo wako. Mbunge wa Lithuania akamuuliza tena swali linalofanana na la Iraq.

Ili kuonesha msimamo na Ukweli( intergrity) alitakiwa kutoa majibu yale yale na kuendelea na hoja nyingine.
 
Nimeona alijibu maswali kwenye maelezo ya awali akijibu Mjumbe wa Iraq.

Sasa kama unavyojua wabunge wanataka kutest msimamo wako. Mbunge wa Lithuania akamuuliza tena swali linalofanana na la Iraq.

Ili kuonesha msimamo na Ukweli( intergrity) alitakiwa kutoa majibu yale yale na kuendelea na hoja nyingine.
Maswali yanaweza kufanana lakini yasihitaji majibu yenye kufanana, mantiki za maswali hutofautiana kati ya muuliza mmoja na mwingine.

Alianza kujibu kwa kuweka msingi wa majibu, kwamba barua za mialiko hutolewa kwanza kabla ya Rais wa IPU kwenda mahali fulani.

Naweza kukubaliana na hoja kwamba waulizaji wa maswali yao walimchukulia poa wakimuona ni mtoto wa kike hivyo wanaweza kumburuza wanavyojisikia, wakakutana na moto mzito.
 
Ukiacha ushabiki na mihemko ya uchawa ukweli ni kuwa spika ameshindwa kujibu moja kwa moja maswali aliyoulizwa badala yake aka[anoc na kuhemka na kuanza kunibu maswali kwa maswali badala ya majibu.

Hakukuwa na haja ya kuunda dhana zisizo kuwepo kwamba wanaomuuliza kwamba labda wanamdharau au kunafikra za kikoloni au wanadhani kwakuwa anatoka nchi ya chini kabisa hivuo hawezi kuongoza nk.

Spika kajibu na kuongea vitu vingi visivyokuwa na maana kuonesha kuwa anauwezo na kwamba waulizaji wanamdharau.

Yeye alitakiwa kutoa ufafanuzi wa moja kwa moja kukingana na swali na siyo kuanza kulalama na kufoka. Kwa sisi linguists na sychologists tathmini yetu ni kuwa spika alikasirika bila kukasirishwa akidhani wanamdharau.

Spika tayari alikuwa na inferiority complex akataka kuwaonesha kuwa yeye ni strong wakati waulizaji hawakutaka na hawakuwa na mawazo havyo. Spika ajitahidi kuwa mtulivu na kuto kujibu kwa makelele kulalamika na kufoka lile siyo bunge la CCM kama alivyozoea kuwafurusha akina Mpina.

Wengi wanaomsifia ni kuwa hawana uelewa wao ni kama mashabiki wa Simba na Yangu they are not analytical.

Pia soma
- Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Mkuu kumbe hata wewe umeona? Mtu akikosa majibu sahihi kwa maswali uliyoulizwa lazima ahemke tu ili kuwaogofya wailiza maswali. Hiyo ndiyo defensive mechanism ya madebe tupu.....lazima atike tu!
 
Mkuu kumbe hata wewe umeona? Mtu akikosa majibu sahihi kwa maswali uliyoulizwa lazima ahemke tu ili kuwaogofya wailiza maswali. Hiyo ndiyo defensive mechanism ya madebe tupu.....lazima atike tu!
Angekuwa ni debe tupu asingekuwa Rais wa bunge la CPU, kuonana ana kwa ana na Putin au kiongozi wa ngazi hiyo sio mchezo.

Wabongo katika ubora wetu wa dharau za vijiweni. Kila kitu kukichukulia kwa uzito mwepesi tu. Sio mada za Simba na Yanga kupewa nafasi ya kuongoza bunge la kidunia.
 
spika alikasirika bila kukasirishwa akidhani wanamdharau. Spika tayari alikuwa na inferiority complex akataka kuwaonesha kuwa yeye ni strong wakati waulizaji hawakutaka na hawakuwa na mawazo havyo.Wewe umejuaje kuwa hawakuwa wanamdharau?pia umejuaje kuwa hawakutaka na hawakuwa na mawazo hayo? kwahiyo unataka kutuaminisha kuwa unavyoona wewe ni sawa na alivyoona spika haikuwa sawa...?
Waulizaji au muulizaji??
 
Ukiacha ushabiki na mihemko ya uchawa ukweli ni kuwa spika ameshindwa kujibu moja kwa moja maswali aliyoulizwa badala yake aka[anoc na kuhemka na kuanza kunibu maswali kwa maswali badala ya majibu.

Hakukuwa na haja ya kuunda dhana zisizo kuwepo kwamba wanaomuuliza kwamba labda wanamdharau au kunafikra za kikoloni au wanadhani kwakuwa anatoka nchi ya chini kabisa hivuo hawezi kuongoza nk.

Spika kajibu na kuongea vitu vingi visivyokuwa na maana kuonesha kuwa anauwezo na kwamba waulizaji wanamdharau.

Yeye alitakiwa kutoa ufafanuzi wa moja kwa moja kukingana na swali na siyo kuanza kulalama na kufoka. Kwa sisi linguists na sychologists tathmini yetu ni kuwa spika alikasirika bila kukasirishwa akidhani wanamdharau.

Spika tayari alikuwa na inferiority complex akataka kuwaonesha kuwa yeye ni strong wakati waulizaji hawakutaka na hawakuwa na mawazo havyo. Spika ajitahidi kuwa mtulivu na kuto kujibu kwa makelele kulalamika na kufoka lile siyo bunge la CCM kama alivyozoea kuwafurusha akina Mpina.

Wengi wanaomsifia ni kuwa hawana uelewa wao ni kama mashabiki wa Simba na Yangu they are not analytical.

Pia soma
- Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Nimeiona hiyo clip,nadhani kama taifa kuna sehemu moja tunakwama.
Viongozi wetu wamezoezwa kutojibu hoja,badala yake kutumia nguvu kuzima hoja.
Kitu hiki kinatudhalilisha sana,tunapokuwa sehemu ambazo huwezi kuzima hoja kwa kutumia nguvu
bali unatakiwa kuzima hoja kwa kutumia nguvu ya hoja uliyonayo.

Tunahitaji sana kujitafakari,kwa sehemu kubwa niliona alijitahidi kujibu
ila akaharibu alipoaanza kupanic,vinginevyo mimi niliona amejitahidi kujibu.
Hasa alipoulizwa kwanini ulianzia urusi na si ukraine? binafsi yale majibu nilimuelewa.
 
Back
Top Bottom