Pre GE2025 Spika Tulia ana wakati mgumu jimboni Mbeya (M) mwakani

Pre GE2025 Spika Tulia ana wakati mgumu jimboni Mbeya (M) mwakani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuna walioweza kumaliza mikataba na Bajaj wamebaki nazo je maisha yao hajabadilika na je sugu kawafanyia nini wanambeya mpaka wampe kura?
Uchafu mtupu na Mabajaj. Mpaka Mbeya inachekwa inaitwa kijiji kikubwa. Takataka tu
 
Uchafu mtupu na Mabajaj. Mpaka Mbeya inachekwa inaitwa kijiji kikubwa. Takataka tu
Wewe utakuwa unakula ya shemeji yako watu wanajishughulisha wewe unaita uchafu?

Mbeya kuitwa kijiji kikubwa ni toka enzi za sugu je suga alifanya nini?

Mpaka sasa wewe chawa wa sugu hujajibu sugu kawafanyia nini wanambeya lakini unataka tu apewe ubunge
 
Wewe utakuwa unakula ya shemeji yako watu wanajishughulisha wewe unaita uchafu?

Mbeya kuitwa kijiji kikubwa ni toka enzi za sugu je suga alifanya nini?

Mpaka sasa wewe chawa wa sugu hujajibu sugu kawafanyia nini wanambeya lakini unataka tu apewe ubunge
Ulitaka Sugu afanye nini 2015-20 wakati Magufuli alisema "sipeleki maendeleo kwenye majimbo yaliyo chini ya upinzani"?

Wewe pimbi umekaa tu kumuabudu huyo kigagula
 
Ulitaka Sugu afanye nini 2015-20 wakati Magufuli alisema "sipeleki maendeleo kwenye majimbo yaliyo chini ya upinzani"?

Wewe pimbi umekaa tu kumuabudu huyo kigagula
Wewe ndo pimbi kwani sugu ubunge alianza 2015? Sawa kalishindwa kuwafanyia jambo lolote wanambeya wakati wa JPM kwa kisingizio kuwa JPM alimzuia cha ajabu alijijengea hoteli mbona hakuzuiwa?

Tueleze sugu alifanya nini 2010-2015 mpaka nyie chawa wake mnataka arudi bungeni maana 2015-2020 Magufuli alimkataza kufanya maendeleo ya jamii ila afanye yake tu.
 
Wewe ndo pimbi kwani sugu ubunge alianza 2015? Sawa kalishindwa kuwafanyia jambo lolote wanambeya wakati wa JPM kwa kisingizio kuwa JPM alimzuia cha ajabu alijijengea hoteli mbona hakuzuiwa?

Tueleze sugu alifanya nini 2010-2015 mpaka nyie chawa wake mnataka arudi bungeni maana 2015-2020 Magufuli alimkataza kufanya maendeleo ya jamii ila afanye yake tu.
Mimi siyo chawa wa Sugu na simkubali pia. Lakini kati ya Sugu na huyo kigagula Tulia atakayeshinda ni Sugu. Kimsingi wote hawafai ila kwa kura za wajinga wa Mbeya Sugu atashinda
 
Mimi siyo chawa wa Sugu na simkubali pia. Lakini kati ya Sugu na huyo kigagula Tulia atakayeshinda ni Sugu. Kimsingi wote hawafai ila kwa kura za wajinga wa Mbeya Sugu atashinda
Ashinde kwa jambo lipi alilowafanyia wanambeya? Acha uchawa
 
Kwa hii Chadema inayosambaratika na iliyokalia kusema magufuri ndo shiada ila samaia safi sasa watataka ninj cha ziada
Spika Vs Kanjunjumele kule Sugu kwenye kinyang'anyiro cha ubunge Jimbo la Ubunge Mbeya (M) 2025. Patawa
 
Kwa hii Chadema inayosambaratika na iliyokalia kusema magufuri ndo shiada ila samaia safi sasa watataka ninj cha ziada.
Spika Vs Kanjunjumele kule Sugu kwenye kinyang'anyiro cha ubunge Jimbo la Ubunge Mbeya (M) 2025. Patawa
 
Najua hamu yako ni kuhakikisha unabakia mbeya mjini! ila na wewe umekuja kuingiwa na shetani mbaya sana wa uroho wa madaraka! unapambana kimyakimya hata kuhakikisha Mh Samia aanguke mwakani eti Wewe TULIA ndio upeperushe bendera ya Urais kwa kupitia mgongo wa u mwanamke! nakuapia haitatokea Ukapata hiyo nafasi!

sasa nakusanua! hizi siasa unazoziendesha kusaidiwa na HOMERA Zitakutokea puani! we mguse SUGU ndio utajua MBEYA watu wake wana sura gani! hao ni zaidi ya huko kenya au south Africa! jichanganye!
 
1000172863.jpg
 
Huyu maza hana mvuto wa kisiasa iwe nje ama ndani ya CCM nani asiyejua kwamba alibebwa na Jiwe asilimia mia.
 
Back
Top Bottom