Kwani wawekezaji wanaokuja hapa huwa tunatumia Sheria za wapi? Kuwa shirika la nje haimaanishi ndio utumie sheria za njeYaani uingie mikataba na kampuni/shirika ya nje halafu usuluhishi utumie Sheria zako tu!?..akili za wapi hizo!!..wekezeni hela zenu basi!!
Nani aliye-comply na Hilo!?..yaani u-risk hela zako kuwekeza akitokea rais mwehu Kama yule akuambie uondoke bila kufuata mkataba basi usiende mahakama ya usuluhishi kimataifa!?..mkuu ulishawahi fanya walau biashara yoyote ukaonja jakamoyo la kuwekeza!?Kwani wawekezaji wanaokuja hapa huwa tunatumia Sheria za wapi? Kuwa shirika la nje haimaanishi ndio utumie sheria za nje
Unasema weka hela? Wapo waliokubali ku-comply na hili, Hawa dp world kama wameshindwa kukubali hili tafsiri yake wana nia ovu
Nijaalie andiko la Sheria hiyo na mwaka iliyopitishwaSheria mpya za rasilimali, zilikataza migogoro hii kutatuliwa kwa Sheria za nje ya nchi.
Wakishalamba asali akili inapotea. Hawana hata haya kuwaletea uchafu kama huu wananchi eti watoe mawazo yao.Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi
View attachment 2649785
yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.
Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani, au wa nje, tumepigwa pini kuvunja mkataba.
Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!
Je, msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?
Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!
Tunakwenda wapi?
Ataajiri wachache wa hapa kwetu. Tukumbuke hawa wanakuwa na digital port, bandari ya kisasa sana na yenye utendaji wa wafanyakazi wachache lakini tija inakuwa kubwa.Dp world anakuja na wafanyakazi kutoka Dubai au watatumika hawa Hawa watanzania? Naomba kujua hili
Kumbuka Eva alimsaliti Adam kule Eden,hizi haki sawa zitatuuua.Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi
View attachment 2649785
yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.
Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani, au wa nje, tumepigwa pini kuvunja mkataba.
Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!
Je, msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?
Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!
Tunakwenda wapi?
Sisi tumeona hao wawekezaji wanataka kutufanya kitu mbaya. Waende kuwaambia watanzania hawataki.Key word hapo ni “Notwithstanding” hiyo ni legal jargon inapotumika katika sentensi za mikataba; inamaanisha ili kuvunja mkataba zitatumika taratibu walizojiwekea. Taratibu ambazo zipo kwenye article 20
View attachment 2649836
Ili kuwekakumbukumbu sawa Spika Tulia aliwahi kuwa bodi member wa TPA.Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi
View attachment 2649785
yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.
Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani, au wa nje, tumepigwa pini kuvunja mkataba.
Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!
Je, msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?
Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!
Tunakwenda wapi?
Hujui sababu ya bunge kutakiwa kufanya ratification?Nani aliye-comply na Hilo!?..yaani u-risk hela zako kuwekeza akitokea rais mwehu Kama yule akuambie uondoke bila kufuata mkataba basi usiende mahakama ya usuluhishi kimataifa!?..mkuu ulishawahi fanya walau biashara yoyote ukaonja jakamoyo la kuwekeza!?
PhD haina maana ndan ya strategies za CCM mzee 😂🤣🤣🤣🤣Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi
View attachment 2649785
yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.
Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani, au wa nje, tumepigwa pini kuvunja mkataba.
Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!
Je, msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?
Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!
Tunakwenda wapi?
Hao wachache unaowasema ni hao hao watanzania uliosema ni wezi, wazembe na wala rushwa? Yeye atafanyaje kazi na watanzania ambao wewe umesema hawafai?Ataajiri wachache wa hapa kwetu. Tukumbuke hawa wanakuwa na digital port, bandari ya kisasa sana na yenye utendaji wa wafanyakazi wachache lakini tija inakuwa kubwa.
Huo mkataba uko wapi?Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi
View attachment 2649785
yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.
Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani, au wa nje, tumepigwa pini kuvunja mkataba.
Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!
Je, msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?
Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!
Tunakwenda wapi?
NB; PhD haina thamani mbele ya mikakat ya CCM!!Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi
View attachment 2649785
yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.
Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani, au wa nje, tumepigwa pini kuvunja mkataba.
Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!
Je, msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?
Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!
Tunakwenda wapi?
Tija haiji kwa kuendekeza siasa za kujuana eti umuajiri mtoto wa mjomba au wa shangazi. Hiyo ni kampuni inayoendesha bandari za Southampton na London na USA wapo pia.Hao wachache unaowasema ni hao hao watanzania uliosema ni wezi, wazembe na wala rushwa? Yeye atafanyaje kazi na watanzania ambao wewe umesema hawafai?
Unatakiwa useme ubaya ulipo on merit, kama upo kwanini tuingie mkataba wa ovyo.Sisi tumeona hao wawekezaji wanataka kutufanya kitu mbaya. Waende kuwaambia watanzania hawataki.
Hivi huu mkataba umeandaliwa na Muwekezaji au umeandaliwa na Serikali ya Tanzania?Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi
View attachment 2649785
yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.
Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani, au wa nje, tumepigwa pini kuvunja mkataba.
Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!
Je, msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?
Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!
Tunakwenda wapi?
PhD ya mwafrika isikuchanganye wewe, usomi wa mwafrika upo connected na utumbo wake.Kipengele kimojawapo cha mkataba wa bandari kinasema hivi
View attachment 2649785
yaani maana yake ni kwamba, haturuhusiwi kwa namna yoyote ile KUJITOA katika mkataba huo hata kama tutagundua BAYA la UKUBWA wa kiwango chochote ambao Mwekezaji atakuwa anefanya.
Yaani hata ikitokea Mwekezaji akatumika kumsaidia adui yetu ambaye tuko naye Vitani iwe ni adui wa ndani, au wa nje, tumepigwa pini kuvunja mkataba.
Hata kama tutagundua mwekezaji halipi kodi stahiki kwa makusudi, haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Hata kama mwekezaji atahusika kufanya kitu ambacho kiko nje ya mkataba haturuhusiwi kuvunja mkataba.
Yaani TUKISHAINGIA HATUTOKI!
Je, msomi mkubwa, PhD, Dr Tulia Ackson, Mwalimu wa chuo kikuu, anataka bunge lipitishe Uwendawazimu kama huu?
Yaani Kwa Tulia, Uspika kwake una maana kuliko nchi kuuzwa mchana kweupe!
Tunakwenda wapi?