Spika Tulia: Tusichanganye Maadili ya Mtanzania na Imani za kidini. Lipi kosa la walimu waliosimamishwa kazi Kwa kucheza muziki? Warudisheni kazini

Spika Tulia: Tusichanganye Maadili ya Mtanzania na Imani za kidini. Lipi kosa la walimu waliosimamishwa kazi Kwa kucheza muziki? Warudisheni kazini

Amesema hayo akihoji kuhus Njia iliyotumika Kuwasimamisha walimu hao,Bila ya kufuata utaratibu wa kinidhamu wa kiutumishi,Hata hivyo ameongeza na kusema kuwa lisionewe kundi fulani tu kwani hata baadhi ya wabunge pia nao wanacheza miziki hiyo..

"Wapo mawaziri humu ndani na sisi wabunge huwa tunacheza mziki na hao wanafunzi, Tufafanuliwe hapa ili watu wajue nini cha kufanya la sivyo tutaendelea kucheza huo mziki na watoto wakiwepo shuleni alafu tutawapomza wale ambao watatakiwa kuchukuliwa hatua ,kwahiyo ni muhimu muwe na hatua zaidi ya hapa ili watu wote wawe na uelewa ni miziki gani inachezwa na ipi haichezwi itasaidia sana,Lakini tusiingize Huko hisia za kidini tusichanganye Imani ya dini na maadili ya mtanzania tusivichanganye" amesema Dkt tulia Ackson spika wa bunge la Muungano leo bungeni

hata hivyo aliendelea kumhoji waziri Njia iliyotumika kuwasimamisha walimu wao kazi na akasema kuwa njia hiyo haikuwa na usawa hivyo ameomba warudishwe makazini na njia sahihi zifuatwe

View attachment 2806039

View attachment 2805928
Hopeless. Viongozi ndo chsnzo cha kuporomoka maadili ya watoto na vijana wetu. A PhD holder unaanzisha motion isiyo na mashiko. Kwa undani naona ni sababu ya Ukanda and nothing more. Waziri wa Elimu ndiye mwenye dhamana ya kusimamia Wizara,. Hivi kipindi Magufuli anaachisha kazi watumishi kwenye mikutano ya hadhara, Spika alikuwepo akakaa kimya. Leo anahoji the same scenario.
 
Siyo kila nyimbo inapigwa kila mahali, watoto wanapaswa kufundishwa maadili mema, Maudhui ya ile nyimbo yanafaa watu walioko kwenye ma-bar na magenge mengine ya wahuni
Acha ushamba wewe..
 
ccm inajikoroga sana.. hao hao wasanii wa hizo nyimbo zinazopingwa ndo wale wale wanaotumika kwenye shuguli za ccm wakiimba nyimbo zile zile!
Ni laana!
 
Hapaswi kuingilia majukumu ya serikali kwanza waziri amesema wamesimamishwa hii maana yake uchunguzi unafanyika na hatua stahiki zitachukuliwa uchunguzi utakapokamilika ,hivyo aache kiherehere na kutafuta sifa za kijinga.
Waziri alimuagiza mkurugenzi awavue madaraka, hakuna uchunguzi
 
Kwahiyo unachotetea wewe hapo ni kipi na huko kushangaa kwako mkuu? [emoji848]
Sioni kama wana kosa lolote kama wanaohusika kwenye wizara wameshindwa kuufungia wimbo pamoja na video yake isionekane wala isisikike kwa watu kwasababu ya maadili.
 

Watoto wenu wanachezeshwa nyimbo za ajabu za watu waliopotea kumaadili huko shuleni, watoto wao wanasoma kwa bidii na kufuata taratibu za miongozo ya shule zao za mamilioni ya pesa.

Mko hapa mnaita Waziri mjinga na kupambania walimu wakuu wazembe walioshindwa kusimamia shule.

Watawatawala wao na wakizeeka mtatawaliwa na watoto wao na wajukuu, endeleeni kushabikia uzembe na ujinga ujinga.
Tutajie hizo shule za mabilioni ambazo unadhani haziwezi kupiga nyimbo kama hizo.
 
Wewe unaweza kwenda kufanya ngono kanisani? Na Paroko akikukamata watu wamuulize ni kwanini anakukamata wakati ulikuwa unaifanya ngono vizuri sana?

Kila sehemu ina taratibu zake, kama hao watoto wameharibikia huko makwao, kuna watoto wengine ambao wako salama, wasiharibiwe. Shuleni ni mahali pa kusoma, kuna maadili yake!
Kwa hiyo mtoto anayeimba wimbo wa Zuchu ameharibika? 😄😄😄
 
Wadau wengi humu wanaotetea huu upuz ni wajinga,nahisi wanafurahia
Watoto zao kukatika mauno na wakiwapima bkr zote washatolewa
Acha waendelee kusikiliza miziki hiyo
Tu

Watoto wa viongozi wao wanalelewa kwenye mfumo mzuri,huwezi sikia mtoto anasikiliza na kumfatilia zchu
Au asikilize mziki ameyatimba

Lakini ndiyo hivyo,shauri zaooo
Ni kuachana nao Acha waendelee
Kukatika mauno ngonongono
Na mpaka 2030 vitoto vitakuwa vimechakaqq

Ova
Shule gani hizo
 
Kwa hiyo mtoto anayeimba wimbo wa Zuchu ameharibika? 😄😄😄
Mkuu, humu mitandaoni tupo watu wengi na tuna malezi tofauti tofauti sana. Kuna ambao tangu kuzaliwa kwao hawakuwahi kuwa na utaratibu wa kula mezani kama familia, Baba anajipakulia mwenyewe anaenda kula anapoona panafaa kulia hata nje kwa jirani. Mtoto anachota humo humo pengine hata kabla ya baba au mama na anaenda kulia chumbani. Ni vigumu sana kuanza kujadili kuhusu maadili na tukaelewana.

Labda tu nikuache na mtazamo wako, wewe endelea kuwafundisha watoto wako kukata viuno na kuwakaririsha nyimbo za Zuchu.
 
Hopeless. Viongozi ndo chsnzo cha kuporomoka maadili ya watoto na vijana wetu. A PhD holder unaanzisha motion isiyo na mashiko. Kwa undani naona ni sababu ya Ukanda and nothing more. Waziri wa Elimu ndiye mwenye dhamana ya kusimamia Wizara,. Hivi kipindi Magufuli anaachisha kazi watumishi kwenye mikutano ya hadhara, Spika alikuwepo akakaa kimya. Leo anahoji the same scenario.
Zama hubadilika, watu huwa wema na kutubu...
 
Amesema hayo akihoji kuhus Njia iliyotumika Kuwasimamisha walimu hao,Bila ya kufuata utaratibu wa kinidhamu wa kiutumishi,Hata hivyo ameongeza na kusema kuwa lisionewe kundi fulani tu kwani hata baadhi ya wabunge pia nao wanacheza miziki hiyo..

"Wapo mawaziri humu ndani na sisi wabunge huwa tunacheza mziki na hao wanafunzi, Tufafanuliwe hapa ili watu wajue nini cha kufanya la sivyo tutaendelea kucheza huo mziki na watoto wakiwepo shuleni alafu tutawapomza wale ambao watatakiwa kuchukuliwa hatua ,kwahiyo ni muhimu muwe na hatua zaidi ya hapa ili watu wote wawe na uelewa ni miziki gani inachezwa na ipi haichezwi itasaidia sana,Lakini tusiingize Huko hisia za kidini tusichanganye Imani ya dini na maadili ya mtanzania tusivichanganye" amesema Dkt tulia Ackson spika wa bunge la Muungano leo bungeni

hata hivyo aliendelea kumhoji waziri Njia iliyotumika kuwasimamisha walimu wao kazi na akasema kuwa njia hiyo haikuwa na usawa hivyo ameomba warudishwe makazini na njia sahihi zifuatwe

View attachment 2806039

View attachment 2805928
Spika Tulia lazima atetee ujinga. Ni huyu huyu aliyeshiriki ngoma moja kwao Mbeya ikiwa na jeneza lenye kudhihaki siasa za upinzani!.

Ni lazima aunge mkono vitu vya ajabu vyenye usichana mwingi ndani yake.
 
Mkuu, humu mitandaoni tupo watu wengi na tuna malezi tofauti tofauti sana. Kuna ambao tangu kuzaliwa kwao hawakuwahi kuwa na utaratibu wa kula mezani kama familia, Baba anajipakulia mwenyewe anaenda kula anapoona panafaa kulia hata nje kwa jirani. Mtoto anachota humo humo pengine hata kabla ya baba au mama na anaenda kulia chumbani. Ni vigumu sana kuanza kujadili kuhusu maadili na tukaelewana.

Labda tu nikuache na mtazamo wako, wewe endelea kuwafundisha watoto wako kukata viuno na kuwakaririsha nyimbo za Zuchu.
Mkuu umeongea kitu kikubwa sana kinafanya mpka nione aibu
 
hawakutakiwa kusimamishwa, walitakiwa kuonywa tu. ila hiyo sio kauli ninayotegemea kuisikia toka kwa Tulia, mtoto wa mchungaji wa kilokole, na yeye mwenyewe ni mlokole. ati mtoto wangu ameenda shule, halafu anaenda kuimbishwa wimbo wa honey wa zuchu, hakuna nyimbo zingine zinazojenga? binafsi nisingependa mtoto wangu aibishwe ule uchafu. Tulia ajitafakari.
Kwani watoto zao wanasoma
Hizo shule za kukatishwa mauno
Na kuimba kusifiana kunyanduana

Ova
 
Back
Top Bottom