404 Pages
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,703
- 2,963
NINI?Women, gays detroy nations …
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NINI?Women, gays detroy nations …
Spika wa Bunge Dkt.Tulia awashukia vikali wanaopinga Mkataba wa Uwekezaji Bandarini "wana mdomo sana lakini hawajawahi kuagiza hata tisheti moja ikapita Bandarini"
Pumbavu.Spika wa Bunge Dkt.Tulia awashukia vikali wanaopinga Mkataba wa Uwekezaji Bandarini "wana mdomo sana lakini hawajawahi kuagiza hata tisheti moja ikapita Bandarini"
Watu wamesema sana na mimi huwa nakaa kimya nawasikiliza tu
Huwezi kuwa unabisha kila kitu, weww kila kitu hutaki, unataka nini?
Kuna mtu aliwahi kusema, huyo anafikiri tutamchagua kwa bodaboda, bajaj anazowapa watu, mimi nikauliza wewe umewahi kutoa hata sindano ya kushona nguo ikichanika?
Sasa huku mtaani kuna watu wana mdomo sana wakati hawajawahi kuagiza hata Tshirt moja ikapita bandarini. Halafu yeye ana maneno utadhani hata pale bandarini amewahi kufika hata akajua huo mzigo unachukua muda gani, huo wizi unatokea muda gani.
Sasa kuna watu wanasema kuwa hao wezi wamewekwa na nani? Hao wezi ni kama wewe tu, ukiwekwa pale ungekuwa hivyo hivyo. Kwa hiyo lazima tutafute namna ya kupata pesa zaidi ya kujenga na kurekebisha madarasa.
Wanambeya msidanganyike, Mheshimiwa Rais ana nia njema nasi.
Wapo watu ambao ni wataalam wa kuvuta mashati nyuma wenzao, na mimi niliahidi na nirudie... Mimi siyo mtu unayeweza kushika shati nyuma halafu ukafikiri utanirudisha hatua nyuma, navua shati utabaki na shati utanikuta mbele kule.
Nchi ya Tanzania iko salama na haitagawanyika eti kwasababu eti kuna mtu kajikalisha mahali anataka kutuweka vipande, hatutagawanyia muungano huu ni wa kudumu
Na usimsikilize mtu ambaye anakuhubiria ubaguzi ukafikiri unamwelewa vizuri, leo anabagua yule, kesho atakuja kwako akakuambia wewe siyo kabila langu.
Tulia,tulia na bunge lako dhaifu.Spika wa Bunge Dkt.Tulia awashukia vikali kama mwewe wanaopinga Mkataba wa Uwekezaji Bandarini. Hayo yamejili wakati wa ziara yake jimboni Mbeya kuelezea faida za uwekezaji wa DP world katika bandari nchini
Watu wamesema sana na mimi huwa nakaa kimya nawasikiliza tu, Huwezi kuwa unabisha kila kitu, wewe kila kitu hutaki, unataka nini?
Kuna mtu aliwahi kusema, huyo anafikiri tutamchagua kwa bodaboda, bajaj anazowapa watu, mimi nikauliza wewe umewahi kutoa hata sindano ya kushona nguo ikichanika?
Sasa huku mtaani kuna watu wana mdomo sana wakati hawajawahi kuagiza hata Tshirt moja ikapita bandarini. Halafu yeye ana maneno utadhani hata pale bandarini amewahi kufika hata akajua huo mzigo unachukua muda gani, huo wizi unatokea muda gani.
Sasa kuna watu wanasema kuwa hao wezi wamewekwa na nani? Hao wezi ni kama wewe tu, ukiwekwa pale ungekuwa hivyo hivyo. Kwa hiyo lazima tutafute namna ya kupata pesa zaidi ya kujenga na kurekebisha madarasa.
Wanambeya msidanganyike, Mheshimiwa Rais ana nia njema nasi.
Wapo watu ambao ni wataalam wa kuvuta mashati nyuma wenzao, na mimi niliahidi na nirudie... Mimi siyo mtu unayeweza kushika shati nyuma halafu ukafikiri utanirudisha hatua nyuma, navua shati utabaki na shati utanikuta mbele kule.
Nchi ya Tanzania iko salama na haitagawanyika eti kwasababu eti kuna mtu kajikalisha mahali anataka kutuweka vipande, hatutagawanyia muungano huu ni wa kudumu
Na usimsikilize mtu ambaye anakuhubiria ubaguzi ukafikiri unamwelewa vizuri, leo anabagua yule, kesho atakuja kwako akakuambia wewe siyo kabila langu.
Hasara tupu!!!Kiongozi wa bunge huyu
Ameshiba na kiburi cha madaraka ,asubiri tuoneAnatetea Tumbo lake huyo Hana lolote
Huyu spika ni mpumbavu tu kama wapumbavu wengine!....Anatetea Tumbo lake huyo Hana lolote
Yaani hizi nguvu zote ni pesa ya kujenga na kurekebisha madarasa? Yaani Watu wa Mbeya ni wapumbavu sana kuamini haya? Huyu Mdada angewacha kununuliwa V8 zake kila mwaka kwa miaka aliopo madarakani pesa zinazoweza kupatikanan kwa kubana matumizi hayo angeweza kujenga madarasa mengi tu.Hao wezi ni kama wewe tu, ukiwekwa pale ungekuwa hivyo hivyo. Kwa hiyo lazima tutafute namna ya kupata pesa zaidi ya kujenga na kurekebisha madarasa.
Natamani hili lingekuwa andiko kwenye vitabu vitakatifuOle wako Taifa ambalo kiongozi wake ni mwanamke au mtoto.
Tutaona mengi, na Bado.
Lipo andiko Hilo, sijatoa kichwani,Natamani hili lingekuwa andiko kwenye vitabu vitakatifu
Mwambieni "abakize akiba ya maneno". maana kuna keshoNINI?
Sugu kakaa miaka 10 Kama mbunge, hakujenga vyoo?Shule za Mbeya hazina vyoo , mbunge anapiga porojo
Sasa Tulie ajenge ili tujue kuwa Sugu hakuwa na kazi.Sugu kakaa miaka 10 Kama mbunge, hakujenga vyoo?
Sasa nasema hivi kwa kauli hii yenye busara bi Tulia A. Mwansasu atapita bila kupingwa mbeya mjini na wewe sugu ukikosea ukagombea mbeya mjini utadhalilika sana.Spika wa Bunge Dkt.Tulia awashukia vikali kama mwewe wanaopinga Mkataba wa Uwekezaji Bandarini. Hayo yamejili wakati wa ziara yake jimboni Mbeya kuelezea faida za uwekezaji wa DP world katika bandari nchini
Watu wamesema sana na mimi huwa nakaa kimya nawasikiliza tu, Huwezi kuwa unabisha kila kitu, wewe kila kitu hutaki, unataka nini?
Kuna mtu aliwahi kusema, huyo anafikiri tutamchagua kwa bodaboda, bajaj anazowapa watu, mimi nikauliza wewe umewahi kutoa hata sindano ya kushona nguo ikichanika?
Sasa huku mtaani kuna watu wana mdomo sana wakati hawajawahi kuagiza hata Tshirt moja ikapita bandarini. Halafu yeye ana maneno utadhani hata pale bandarini amewahi kufika hata akajua huo mzigo unachukua muda gani, huo wizi unatokea muda gani.
Sasa kuna watu wanasema kuwa hao wezi wamewekwa na nani? Hao wezi ni kama wewe tu, ukiwekwa pale ungekuwa hivyo hivyo. Kwa hiyo lazima tutafute namna ya kupata pesa zaidi ya kujenga na kurekebisha madarasa.
Wanambeya msidanganyike, Mheshimiwa Rais ana nia njema nasi.
Wapo watu ambao ni wataalam wa kuvuta mashati nyuma wenzao, na mimi niliahidi na nirudie... Mimi siyo mtu unayeweza kushika shati nyuma halafu ukafikiri utanirudisha hatua nyuma, navua shati utabaki na shati utanikuta mbele kule.
Nchi ya Tanzania iko salama na haitagawanyika eti kwasababu eti kuna mtu kajikalisha mahali anataka kutuweka vipande, hatutagawanyia muungano huu ni wa kudumu
Na usimsikilize mtu ambaye anakuhubiria ubaguzi ukafikiri unamwelewa vizuri, leo anabagua yule, kesho atakuja kwako akakuambia wewe siyo kabila langu.