imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kwahiyo utakimbia top less?navua shati utabaki na shati utanikuta mbele kule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo utakimbia top less?navua shati utabaki na shati utanikuta mbele kule.
Huyo kasoma sheria anaijua vizuri kuliko nyie makanjanjaHio phd imemfanya awe mjinga bora Hata asingekua nayo
Hiki kimama nilifikiri kina uzalendo na fikra za kimapinduzi za asili kwenye chama cha mapinduzi kumbe ni kimamluki tu. Kama speaker amefeli kuliongoza bunge kama taasisi huru na mhimili huru wa dola. Badala yake amekua muoga baada ya kuona dikteta wa kike samia akimfungisha virago mtangulizi wake kimabavu huku akionyesha amehamaki kwa speaker kutofautiana naye. Tulia ameonyesha usomi wake hauna maana kwa kuunga mkono na kutetea mkataba wenye vifungu kinyume na katiba ya nchi na kwenda iweka nchi chini ya mamlaka ya kigeni.Spika wa Bunge Dkt.Tulia awashukia vikali kama mwewe wanaopinga Mkataba wa Uwekezaji Bandarini. Hayo yamejili wakati wa ziara yake jimboni Mbeya kuelezea faida za uwekezaji wa DP world katika bandari nchini
Watu wamesema sana na mimi huwa nakaa kimya nawasikiliza tu, Huwezi kuwa unabisha kila kitu, wewe kila kitu hutaki, unataka nini?
Kuna mtu aliwahi kusema, huyo anafikiri tutamchagua kwa bodaboda, bajaj anazowapa watu, mimi nikauliza wewe umewahi kutoa hata sindano ya kushona nguo ikichanika?
Sasa huku mtaani kuna watu wana mdomo sana wakati hawajawahi kuagiza hata Tshirt moja ikapita bandarini. Halafu yeye ana maneno utadhani hata pale bandarini amewahi kufika hata akajua huo mzigo unachukua muda gani, huo wizi unatokea muda gani.
Sasa kuna watu wanasema kuwa hao wezi wamewekwa na nani? Hao wezi ni kama wewe tu, ukiwekwa pale ungekuwa hivyo hivyo. Kwa hiyo lazima tutafute namna ya kupata pesa zaidi ya kujenga na kurekebisha madarasa.
Wanambeya msidanganyike, Mheshimiwa Rais ana nia njema nasi.
Wapo watu ambao ni wataalam wa kuvuta mashati nyuma wenzao, na mimi niliahidi na nirudie... Mimi siyo mtu unayeweza kushika shati nyuma halafu ukafikiri utanirudisha hatua nyuma, navua shati utabaki na shati utanikuta mbele kule.
Nchi ya Tanzania iko salama na haitagawanyika eti kwasababu eti kuna mtu kajikalisha mahali anataka kutuweka vipande, hatutagawanyia muungano huu ni wa kudumu
Na usimsikilize mtu ambaye anakuhubiria ubaguzi ukafikiri unamwelewa vizuri, leo anabagua yule, kesho atakuja kwako akakuambia wewe siyo kabila langu.
Pamoja na kusoma ila elimu yake ni ya bure maana mambo madogo madogo kama kujua kuwa Dubai sio nchi yanamshinda.Huyo kasoma sheria anaijua vizuri kuliko nyie makanjanja
Jinga sana huyu. Mbeya uchaguzi mwingine piga chini hii kitu.Spika wa Bunge Dkt.Tulia awashukia vikali kama mwewe wanaopinga Mkataba wa Uwekezaji Bandarini. Hayo yamejili wakati wa ziara yake jimboni Mbeya kuelezea faida za uwekezaji wa DP world katika bandari nchini
Watu wamesema sana na mimi huwa nakaa kimya nawasikiliza tu, Huwezi kuwa unabisha kila kitu, wewe kila kitu hutaki, unataka nini?
Kuna mtu aliwahi kusema, huyo anafikiri tutamchagua kwa bodaboda, bajaj anazowapa watu, mimi nikauliza wewe umewahi kutoa hata sindano ya kushona nguo ikichanika?
Sasa huku mtaani kuna watu wana mdomo sana wakati hawajawahi kuagiza hata Tshirt moja ikapita bandarini. Halafu yeye ana maneno utadhani hata pale bandarini amewahi kufika hata akajua huo mzigo unachukua muda gani, huo wizi unatokea muda gani.
Sasa kuna watu wanasema kuwa hao wezi wamewekwa na nani? Hao wezi ni kama wewe tu, ukiwekwa pale ungekuwa hivyo hivyo. Kwa hiyo lazima tutafute namna ya kupata pesa zaidi ya kujenga na kurekebisha madarasa.
Wanambeya msidanganyike, Mheshimiwa Rais ana nia njema nasi.
Wapo watu ambao ni wataalam wa kuvuta mashati nyuma wenzao, na mimi niliahidi na nirudie... Mimi siyo mtu unayeweza kushika shati nyuma halafu ukafikiri utanirudisha hatua nyuma, navua shati utabaki na shati utanikuta mbele kule.
Nchi ya Tanzania iko salama na haitagawanyika eti kwasababu eti kuna mtu kajikalisha mahali anataka kutuweka vipande, hatutagawanyia muungano huu ni wa kudumu
Na usimsikilize mtu ambaye anakuhubiria ubaguzi ukafikiri unamwelewa vizuri, leo anabagua yule, kesho atakuja kwako akakuambia wewe siyo kabila langu.
sasa pale ni alitakiwa ajibu hoja kwa kuchambua vifungu walivyoelezea wanasheria wenzake ambavyo ndio utata ulipo; yeye anapiga ovyo mstuni bila shabaha. Sio kuleta siasa kwenye sheria; ni kifungu flan hakipo itakuwa hiv na hiv mwenye swali..... hivyoHuyo kasoma sheria anaijua vizuri kuliko nyie makanjanja
Eti ndie anaeongoza kuisimamia serikali 🤣🤣🤣🤣Spika wa bunge la Tanzania na mbunge wa mbeya dk tulia akson ,amewaonya watu wanaoendeleza mjadala wa bandari na huku wakiwa hawaijui hata bandari yenyewe ! Dk tulia amesema hayo akiwa katika ziara ya uzinduzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo jimboni kwake na kusisitiza kwamba Kuna watu Wana mdomo sana lakini hata kuagiza tshrt Moja ikapita bandarini hawajawahi ,dk tulia amesema Kuna wengine hata hawajui mzigo ukifika bandarini unachukua siku ngapi kutoka hivyo kuwataka watu wajikite kujadili vitu kwa kuvielewa sio kufuata Kila kinasemwa mitandaoni ,nb hayo ni maoni yake