Spika Tulia: Wanaopinga mkataba wa bandari wana mdomo. Msiwasikilize wanaohubiri ubaguzi

Hiki kimama nilifikiri kina uzalendo na fikra za kimapinduzi za asili kwenye chama cha mapinduzi kumbe ni kimamluki tu. Kama speaker amefeli kuliongoza bunge kama taasisi huru na mhimili huru wa dola. Badala yake amekua muoga baada ya kuona dikteta wa kike samia akimfungisha virago mtangulizi wake kimabavu huku akionyesha amehamaki kwa speaker kutofautiana naye. Tulia ameonyesha usomi wake hauna maana kwa kuunga mkono na kutetea mkataba wenye vifungu kinyume na katiba ya nchi na kwenda iweka nchi chini ya mamlaka ya kigeni.
 
Huyo kasoma sheria anaijua vizuri kuliko nyie makanjanja
Pamoja na kusoma ila elimu yake ni ya bure maana mambo madogo madogo kama kujua kuwa Dubai sio nchi yanamshinda.

Angekua nguli kweli asingekubali kuiaibisha taaluma yake kwa kupitisha mkataba wa hovyo namna ile.
 
Jinga sana huyu. Mbeya uchaguzi mwingine piga chini hii kitu.
 
Huyo kasoma sheria anaijua vizuri kuliko nyie makanjanja
sasa pale ni alitakiwa ajibu hoja kwa kuchambua vifungu walivyoelezea wanasheria wenzake ambavyo ndio utata ulipo; yeye anapiga ovyo mstuni bila shabaha. Sio kuleta siasa kwenye sheria; ni kifungu flan hakipo itakuwa hiv na hiv mwenye swali..... hivyo
 
Wale wa ''ccm mbele kwa mbele'' siwaoni; tupo pamoja
-- 'mama kanyaga twende'
-- 'kanyagia hapo hapo'
 
Nina wasiwasi kama ile kaulimbiu ya "Wanawake wakiwezeshwa wanaweza" itaweza kuwa na mashiko tena kiasi cha kuiamini tutakapo isikia tena.

Mkuu wa mhimili baada ya kuvulunda Bungeni badala ya kujikalia kimya na kungoja kunyoosha mambo kwenye kikao kijacho ameamua kukebehi watu na kujiona yeye ndie msomi wa sheria mbobezi kuliko wale anaowaongoza......

Ama kweli ""Shibe ni mwana malevya""😳
 
Eti bandarini kwenyewe hatujawahi kufika...

Spika mzima anachukua talking points kutoka kwa Maulidi Kitenge, a radio DJ
 
Spika wa bunge la Tanzania na mbunge wa mbeya dk tulia akson ,amewaonya watu wanaoendeleza mjadala wa bandari na huku wakiwa hawaijui hata bandari yenyewe ! Dk tulia amesema hayo akiwa katika ziara ya uzinduzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo jimboni kwake na kusisitiza kwamba Kuna watu Wana mdomo sana lakini hata kuagiza tshrt Moja ikapita bandarini hawajawahi ,dk tulia amesema Kuna wengine hata hawajui mzigo ukifika bandarini unachukua siku ngapi kutoka hivyo kuwataka watu wajikite kujadili vitu kwa kuvielewa sio kufuata Kila kinasemwa mitandaoni ,nb hayo ni maoni yake
 
Hizo dharau kwa wananchi, wao wakijibiwa wanasema wametukanwa na wanakutaka uripoti central.
 
Eti ndie anaeongoza kuisimamia serikali 🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…