Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Hata Nyerere alipokuwa anakomboa Tanganyika alitukanwa kama hiviHuyo mleta mada anavyohangaika na hilo Chadomo afadhali ya mwanamke anayetaka kujifungua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Nyerere alipokuwa anakomboa Tanganyika alitukanwa kama hiviHuyo mleta mada anavyohangaika na hilo Chadomo afadhali ya mwanamke anayetaka kujifungua.
Kumpigia mtu simu,bila ridhaa yake ni kosa kisheriaKama haukutukana utakamatwa kwa lipi ?
Mpaka mtu atoe namba yake,kuwa apigiwe mda wowote,kama hakutoa namba yake na ukampigia ni kosa kisheriaPamoja na mambo Mengine kwenye viwanja vya furahisha Mwanza Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika amewaagiza wananchi kumpigia simu Spika huyo ili kumlazimisha awaondoe Bungeni wabunge 19 maarufu kama COVID 19 , ambao amedai wamewekwa bungeni humo kinyume cha sheria
Mnyika amedai kwamba ni vema kila mwananchi akampigia simu au akamuandikia SMS Spika ili kumtaka haraka aondoe Wabunge wasio na Chama Bungeni humo , amedai kesi iliyo mahakamani haina uhusiano wowote na wao kuondolewa bungeni .
Namba ya Spika imetajwa kuwa ni 0784 763 *** ambayo baada ya kuifuatilia tumejiridhisha kwamba , imesajiliwa TCRA kwa jina la Tulia Ackson Mwansasu
Kazi kwenu wananchi , namba za simu za viongozi siyo siri , ndio maana za Ma RPC na IGP zote ziko hadharani , hawakuzitoa kama mapambo , wametupa ili tukiwa na lolote tuwapigie
Huyo mtu ni kiongozi au mama lisheKumpigia mtu simu,bila ridhaa yake ni kosa kisheria
DuhPamoja na mambo Mengine kwenye viwanja vya furahisha Mwanza Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika amewaagiza wananchi kumpigia simu Spika huyo ili kumlazimisha awaondoe Bungeni wabunge 19 maarufu kama COVID 19 , ambao amedai wamewekwa bungeni humo kinyume cha sheria
Mnyika amedai kwamba ni vema kila mwananchi akampigia simu au akamuandikia SMS Spika ili kumtaka haraka aondoe Wabunge wasio na Chama Bungeni humo , amedai kesi iliyo mahakamani haina uhusiano wowote na wao kuondolewa bungeni .
Namba ya Spika imetajwa kuwa ni 0784 763 *** ambayo baada ya kuifuatilia tumejiridhisha kwamba , imesajiliwa TCRA kwa jina la Tulia Ackson Mwansasu
Kazi kwenu wananchi , namba za simu za viongozi siyo siri , ndio maana za Ma RPC na IGP zote ziko hadharani , hawakuzitoa kama mapambo , wametupa ili tukiwa na lolote tuwapigie
Duh
Yaani kama chama ndo kimeshashindwa kuwatoa
ATARUHUSU ZILIZOMO KWENYE CONTACT'S TUDuh sim si itakuwa bize sana na kupigiwa na kupokea sms [emoji1]
Ova
Fukia baba yako na amama yako wakiwa macho kama ni vemaChadema ni Mbumbumbu na Majuha
Yanapaswa kufukiwa yakiwa macho
Yeye ni mbobevu wa SHERIA, afungue kesi mahakamaniMnyika anajua Sheria vizuri, kutoa namba ya mtu tena kwenye Public bila ridhaa yake ni kosa kisheria. Mtu anaweza kwenda lodge au gesti akafanya uhalifu kwenye kitabu Cha wageni akajaza namba ya spika. Sio Kila mnayemuona hapo ni mtu mwema.
NB: Sipo upande wa Dr. Tulia.
Wewe kabla ya kumpigia simu mtu Fulani, ridhaa yake Huwa umeipata wapi?Kumpigia mtu simu,bila ridhaa yake ni kosa kisheria
Kwanza ni mtu yeyote ataamini ni hila tu za speaker ndugae na kurithiwa na tulia. Ni mfumo gani huu unaweza kumwacha mbunge aliefukuzwa na chama chake kuendelea kubaki mbunge kwa miaka mitatu baada ya kutimuliwa uanachama. Hadi sasa bado wapo na huenda wakamaliza miaka mitano. Saa hizi na mahakama wanashiriki maana kesi ltaendelea hadi wamalize ubunge. Tulia si chochote ila ufisadi mtupu.Pamoja na mambo Mengine kwenye viwanja vya furahisha Mwanza Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika amewaagiza wananchi kumpigia simu Spika huyo ili kumlazimisha awaondoe Bungeni wabunge 19 maarufu kama COVID 19 , ambao amedai wamewekwa bungeni humo kinyume cha sheria
Mnyika amedai kwamba ni vema kila mwananchi akampigia simu au akamuandikia SMS Spika ili kumtaka haraka aondoe Wabunge wasio na Chama Bungeni humo , amedai kesi iliyo mahakamani haina uhusiano wowote na wao kuondolewa bungeni .
Namba ya Spika imetajwa kuwa ni 0784 763 *** ambayo baada ya kuifuatilia tumejiridhisha kwamba , imesajiliwa TCRA kwa jina la Tulia Ackson Mwansasu
Kazi kwenu wananchi , namba za simu za viongozi siyo siri , ndio maana za Ma RPC na IGP zote ziko hadharani , hawakuzitoa kama mapambo , wametupa ili tukiwa na lolote tuwapigie
Ofisi ya Umma? Anatwangiwa tu.Kumpigia mtu simu,bila ridhaa yake ni kosa kisheria
na wenye shida zetu private tutaprivetika!Duh sim si itakuwa bize sana na kupigiwa na kupokea sms [emoji1]
Ova
Mnyika anajua Sheria vizuri, kutoa namba ya mtu tena kwenye Public bila ridhaa yake ni kosa kisheria. Mtu anaweza kwenda lodge au gesti akafanya uhalifu kwenye kitabu Cha wageni akajaza namba ya spika. Sio Kila mnayemuona hapo ni mtu mwema.
NB: Sipo upande wa Dr. Tulia.
😆😆😆😆😆Wewe kabla ya kumpigia simu mtu Fulani, ridhaa yake Huwa umeipata wapi?
Pia weka kifungu hicho Cha SHERIA.
Damu ya Thadei Ole Mushi inakulilia.Chadema ni Mbumbumbu na Majuha
Yanapaswa kufukiwa yakiwa macho
HahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaChama Cha viroja na viroba.
Hopeless kabisa
Inazidi u-hopeless waChama Cha viroja na viroba.
Hopeless kabisa