Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hushangazi kwani ndio zako hizo kuwasukumiza usiowapenda kuzimu! Hivi unapata furaha ya moyo kabisa kuwatendea binadamu hivyo?Chadema ni Mbumbumbu na Majuha
Yanapaswa kufukiwa yakiwa macho
Namba ngeni Hata Mimi ambayo haiko kwenye phone book sipokei sembuse SpikaChama Cha viroja na viroba.
Hopeless kabisa
Kwahy namba ya simu ya spika wa bunge ndio linasajiliwa kwa kitambulisho cha spika aliyepo.?
Imesajiliwa kwa jina gani?
Kenge wewe
Sawa...kwenye nchi za wenzetu hata mishahara ya watumishi wa taasisi za umma inawekwa wazi. Yaani unakuta jina la mhusika na alicholipwa ktk mwaka husika.
Namba ngeni Hata Mimi ambayo haiko kwenye phone book sipokei sembuse Spika
Chadema wasanii Spika aweza pokea au kujibu meseji ya Simu ambayo haiko kwenye contacts phone book yake? Kweli Chadema wasanii
Nani kakudanganya kwamba ruzuku zinaletwa na wabunge wa viti maalum ?Kama wabunge 19 sio halali hawapo kisheria maana yake hata ruzuku mnayochukua siyo halali ! Mkitaka wabunge watoke madarakani basi hata posho zikataeni ni haramu !
Mchaga maskiniChadema ni Mbumbumbu na Majuha
Yanapaswa kufukiwa yakiwa macho
Huyu siyo mchaga ni jina la mchongo kwa sababu maalumMchaga maskini
Endelea kifua mashukaHuyu siyo mchaga ni jina la mchongo kwa sababu maalum
Moderator nisaidie kuweka huyu mjinga kwenye ignore list kabla hajaleta machafukoEndelea kifua mashuka
Apaa irami kusembo na warumu
ya Mimi sio mchaga
Kuna chama kimeongoza serikali ya hii nchi yenye asali na maziwa toka uhuru ila hadi leo nusu karne wameshindwa kusimamia ujenzi wa vyoo kwenye mashule ya wananchi.wanaogopa hadi katiba bora.hao tuwaiteje nao?Chama Cha viroja na viroba.
Hopeless kabisa
Uko sawa maana wachaga wajinga ni wachache sana.nyie ndio wale wakimbizi.Endelea kifua mashuka
Apaa irami kusembo na warumu
ya Mimi sio mchaga
Kuna watakaojichanganya na kumtukana au kumkashifu Spika... watajikuta wako nyuma ya nondo saa hiyo Mnyika yuko Ikulu anafakamia asali. Wanasiasa watawaponza hao wafuasi wao.Duh sim si itakuwa bize sana na kupigiwa na kupokea sms [emoji1]
Ova
KWA SHERIA IPI? KUWA KUTOA NAMBA YA SIMU YA MTU NI KOSA? NIELIMISHETulia anaweza kwenda Mahakamani akiona kaonewa
Soma kwenye tovuti yao;Kwahy namba ya simu ya spika wa bunge ndio linasajiliwa kwa kitambulisho cha spika aliyepo.?
Hizi ndio akili za kichwa cha kuku!Kama wabunge 19 sio halali hawapo kisheria maana yake hata ruzuku mnayochukua siyo halali ! Mkitaka wabunge watoke madarakani basi hata posho zikataeni ni haramu !