Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Hivi huyu si ndio aliyempa sumu kada wao wa chama?Hushangazi kwani ndio zako hizo kuwasukumiza usiowapenda kuzimu! Hivi unapata furaha ya moyo kabisa kuwatendea binadamu hivyo?
Roho ya kuua ikikukaa hata mama yako akijipindua hovyo unakula kichwa! Fisi kabisa.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app