Akili yako iko kwenye Lodge na hujitambui.Mnyika anajua Sheria vizuri, kutoa namba ya mtu tena kwenye Public bila ridhaa yake ni kosa kisheria. Mtu anaweza kwenda lodge au gesti akafanya uhalifu kwenye kitabu Cha wageni akajaza namba ya spika. Sio Kila mnayemuona hapo ni mtu mwema.
NB: Sipo upande wa Dr. Tulia.
Familia ya Thadei inakuliliaChadema ni Mbumbumbu na Majuha
Yanapaswa kufukiwa yakiwa macho
Tulia ni mwanasheria.Pamoja na mambo Mengine kwenye viwanja vya furahisha Mwanza Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika amewaagiza wananchi kumpigia simu Spika huyo ili kumlazimisha awaondoe Bungeni wabunge 19 maarufu kama COVID 19 , ambao amedai wamewekwa bungeni humo kinyume cha sheria
Mnyika amedai kwamba ni vema kila mwananchi akampigia simu au akamuandikia SMS Spika ili kumtaka haraka aondoe Wabunge wasio na Chama Bungeni humo , amedai kesi iliyo mahakamani haina uhusiano wowote na wao kuondolewa bungeni .
Namba ya Spika imetajwa kuwa ni 0784 763 *** ambayo baada ya kuifuatilia tumejiridhisha kwamba , imesajiliwa TCRA kwa jina la Tulia Ackson Mwansasu
Kazi kwenu wananchi , namba za simu za viongozi siyo siri , ndio maana za Ma RPC na IGP zote ziko hadharani , hawakuzitoa kama mapambo , wametupa ili tukiwa na lolote tuwapigie
Hizo namba ni za Tulia si za ofisi. Kenge weweOfisi ya Umma? Anatwangiwa tu.
Imesajiliwa kwa jina gani?..Mnyika ameweka namba ya simu ya Spika wa Bunge.
..hajaweka namba simu ya Dr.Tulia Ackson.
..mawasiliano ya watumishi wa umma yanatakiwa yajulikane kwa wananchi ili waweze kuwafikia na kueleza shida zao.
Kama hawataki tuwapigia waachie hizo OFISI za UMMA.Hizo namba ni za Tulia si za ofisi. Kenge wewe
Ushaosha vyombo hapo Gest ya Sugu?Pole kijana , mambo ndio kwanza yanaanza
ENYI MLIOAMINI! KUWENI WASIMAMIZI (Wa kupitisha haki) KWA AJILI YA ALLAH, MUWE MKITOA SHAHADA (ushahidi) KWA UADILIFU. WALA KUCHUKIANA NA WATU KUSIKUPELEKEENI KUTOWAFANYIA UADILIFU (insafu). FANYENI UADILIFU, HUKO NDIKO KUNAKOMKURUBISHA MTU NA UCHA MUNGU NA MCHENI ALLAH, HAKIKA ALLAH ANAZO HABARI ZA (yote) MNAYOYATENDA.”[5:8]Duh
Yaani kama chama ndo kimeshashindwa kuwatoa
Uadilifu kwa wanadamu:Tulia ni mwanasheria.
Sidhani kama hiyo namba imesajiliwa kwa jina la Spika wa Bunge la JMT yaani simu ya ofisi.
Nina hakika imesajiliwa kwa jina la Tulia Ackson Mwansasu. Jina binafsi. Jina ambalo ni mali yake.
Mnyika ana kesi ya kujibu kwa kutoa namba ya Tulia kwa watu asio wajua ( siyo Spika) bila idhini yake.
Siungi mkono. Alotoa hiyo namba hajui kanuni
Mnyika yuko sahihi. Tulia na namba yake ni halali ya wananchi. Sitarajii wamtukane sababu hayo si maelekezo ya Mnyika.Hapa chadema ndio maana mnaitwa chama cha wauni…..hivi unawekaje namba ya mtu hadharani! Huu ni ushamba wa hali ya juu! Hiki ndio chama kinataka kipewe nchi kinatenda ujinga huu na wakijua ni kosa!
Hivi mnawapa namba wananchi ili wamtukane tuu halafu mpate nini?
Yaani anuani ziwekwe kwenye tovuti ni sawa kisheria lakini Mnyika akizisema hadharani ni kosa kisheria?Mnyika anajua Sheria vizuri, kutoa namba ya mtu tena kwenye Public bila ridhaa yake ni kosa kisheria. Mtu anaweza kwenda lodge au gesti akafanya uhalifu kwenye kitabu Cha wageni akajaza namba ya spika. Sio Kila mnayemuona hapo ni mtu mwema.
NB: Sipo upande wa Dr. Tulia.
Haya mvua hiyo hapoPicha jamani tuone mvua ya watu
Taifa hili linapitia kipindi cha aibu kubwa kwa kuwa na vijana viazi aina hii.Ccm wanazingua ila vyama vingine vinazingua zaidiii
Bora tubaki na chama kimoja tu
Kwa hiyo hapa hakutoa kwa hiari yake bali alikwidwa na Ndugai kuitoa?Mpaka mtu atoe namba yake,kuwa apigiwe mda wowote,kama hakutoa namba yake na ukampigia ni kosa kisheria
Asante kwa vielelezo Muruwa kabisaYaani anuani ziwekwe kwenye tovuti ni sawa kisheria lakini Mnyika akizisema hadharani ni kosa kisheria?
Mbona nyie mnakuwa najuha kiadi hiki?
View attachment 2905286
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Spika sio "mtu tu" kama wewe uliye mtu tu..Hapa chadema ndio maana mnaitwa chama cha wauni…..hivi unawekaje namba ya mtu hadharani! Huu ni ushamba wa hali ya juu! Hiki ndio chama kinataka kipewe nchi kinatenda ujinga huu na wakijua ni kosa!
Hivi mnawapa namba wananchi ili wamtukane tuu halafu mpate nini?
Kwahy namba ya simu ya spika wa bunge ndio linasajiliwa kwa kitambulisho cha spika aliyepo.?..Mnyika ameweka namba ya simu ya Spika wa Bunge.
..hajaweka namba simu ya Dr.Tulia Ackson.
..mawasiliano ya watumishi wa umma yanatakiwa yajulikane kwa wananchi ili waweze kuwafikia na kueleza shida zao.
maccm yote yaliyo hai na yaliyokufa hamuna akili na wehuChadema ni Mbumbumbu na Majuha
Yanapaswa kufukiwa yakiwa macho