Spika wa Bunge Tulia Ackson ashitakiwa Kwa Wananchi , namba yake ya simu yawekwa hadharani

Akili yako iko kwenye Lodge na hujitambui.
 
Mambo ya hovyo tu, mmeshindwa kuwaondoa kisheria hizosimu ndio zitawaondoa?.

You guys are not serious at all, mnaendekeza mambo ya kipuuzi sana.


Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Tulia ni mwanasheria.
Sidhani kama hiyo namba imesajiliwa kwa jina la Spika wa Bunge la JMT yaani simu ya ofisi.
Nina hakika imesajiliwa kwa jina la Tulia Ackson Mwansasu. Jina binafsi. Jina ambalo ni mali yake.

Mnyika ana kesi ya kujibu kwa kutoa namba ya Tulia kwa watu asio wajua ( siyo Spika) bila idhini yake.

Siungi mkono. Alotoa hiyo namba hajui kanuni
 
..Mnyika ameweka namba ya simu ya Spika wa Bunge.

..hajaweka namba simu ya Dr.Tulia Ackson.

..mawasiliano ya watumishi wa umma yanatakiwa yajulikane kwa wananchi ili waweze kuwafikia na kueleza shida zao.
Imesajiliwa kwa jina gani?
Kenge wewe
 
Duh
Yaani kama chama ndo kimeshashindwa kuwatoa
ENYI MLIOAMINI! KUWENI WASIMAMIZI (Wa kupitisha haki) KWA AJILI YA ALLAH, MUWE MKITOA SHAHADA (ushahidi) KWA UADILIFU. WALA KUCHUKIANA NA WATU KUSIKUPELEKEENI KUTOWAFANYIA UADILIFU (insafu). FANYENI UADILIFU, HUKO NDIKO KUNAKOMKURUBISHA MTU NA UCHA MUNGU NA MCHENI ALLAH, HAKIKA ALLAH ANAZO HABARI ZA (yote) MNAYOYATENDA.”[5:8]
 
Uadilifu kwa wanadamu:

Huu unamtaka mwanadamu awe muadilifu kwa wanadamu wenziwe kwa kumpa haki kila anayeistahiki kwa mujibu wa sheria.

Katika kulitekeleza hili asiuweke mbele ya macho yake ujamaa, urafiki, rushwa, uadui na kadhalika.

Huu unahusisha pia kuwafanyia uadilifu na kuwapa haki wanazozistahiki wake kwa kila aliye na zaidi ya mke mmoja. Katika hili watoto pia hawaachwi nyuma, asiwapendelee hawa zaidi kuliko wale.
 
Mnyika yuko sahihi. Tulia na namba yake ni halali ya wananchi. Sitarajii wamtukane sababu hayo si maelekezo ya Mnyika.
Wakati wa kuwajibika kwa umma umefika. Baada ya Tulia .......... na .............!
 
Yaani anuani ziwekwe kwenye tovuti ni sawa kisheria lakini Mnyika akizisema hadharani ni kosa kisheria?
Mbona nyie mnakuwa najuha kiadi hiki?


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Spika sio "mtu tu" kama wewe uliye mtu tu..

Huyo ni mtu lakini tofauti na wewe, yeye ni "kiongozi wa umma" na ni reachable na kila mtu.

Ajabu iko wapi hapo?

Tatizo lako kubwa ni kuwa, unasumbuliwa na ushamba na ujinga tu wa kukosa ufahamu..
 
Ila nyie Chadema bhana 😂 mna vituko sana, unasema namba za simu za viongozi sio siri wakati hujaandika hiyo namba ya huyo kiongozi, sasa kama sio siri si uiandike yote
 
..Mnyika ameweka namba ya simu ya Spika wa Bunge.

..hajaweka namba simu ya Dr.Tulia Ackson.

..mawasiliano ya watumishi wa umma yanatakiwa yajulikane kwa wananchi ili waweze kuwafikia na kueleza shida zao.
Kwahy namba ya simu ya spika wa bunge ndio linasajiliwa kwa kitambulisho cha spika aliyepo.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…