Sports Arena ya Wasafi FM ni moja ya kipindi cha hovyo cha michezo Bongo

Sports Arena ya Wasafi FM ni moja ya kipindi cha hovyo cha michezo Bongo

DullyJr

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
13,983
Reaction score
11,857
Labda niweke wazi kuwa sina chuki hata chembe na hiki kituo cha redio na wala sina utimu mimi....ila ukweli lazima usemwe ili ikiwezekana mabadiliko yafanyike.

Awali kipindi hiki kilipoanzishwa niliahidi kuwa mdau mkubwa wa kipindi hiki cha michezo lakini kadri siku zinavyozidi kwenda nilianza kuwa mvivu kusikiliza kipindi hiki.

Nadhani nilivutiwa na majina yaliyosajiliwa kina Eddo, Kitenge, Kawambwa, Mkule, Abdallah n.k nikawa na matarajio makubwa sana lakini sasa nimegundua kuwa hiki kipindi hakina tofauti na timu ya taifa ya Argentina ambayo ina ma-pro wakutosha lakini mafanikio 0.

Kinachokera hawapo vizuri katika kusimamia agenda zao za kipindi
Wanaweza kusema kuwa leo wataongelea jambo fulani lakini katikati ya majadiliano mwingine analeta jambo lingine kabisa na wote wanatoka katika mjadala husika na kuingia katika mjadala mpya pasipo kumalizia ule wa awali.

Na hili linatokana na kujazana sana hapo studio matokeo yake kila mmoja anataka asikike,kuna haja ya kupunguza watu hapo studio wakabaki wachache tu ili utlivu na usikivu uwepo,kwa mfano huyu Ricardo Momo sijui anafanya nini hapo maana hamna lolote analolijua katika soka zaidi ya stori za Liverpool tu; yeye akiwa anazungumzia mada zake mifano yake ni VVD, Salah, Bob Filmino na Mane.

Punguza huyooooo huyu Eddo Kumwembe ni mzuri katika magazeti tu lakini huku anapuyanga tu na kujaza wingi tu, anzisheni gazeti la Wasafi mumpe page yake huko.

Kipindi ni cha hovyo sana siku hizi limekuwa kama maskani ya masela au kijiwe cha kahawa, wana mkusanyiko wa watangazaji na wachambuzi wazuri lakini teamwork 0.0000

Mumeachwa mbali sana na EFM, MAGIC na EA Radio
 
kama wanakuchanganya achana nao, unawasikiliza Wa nini, acha wanao wasikiliza wasikilize
 
Unaonaje ukiacha kuwasikiliza na sio kupoteza muda wako kuwasikiliza ili uje uandike uzi JF?
.
huo muda ungetengeneza hata mia mbili.
Nishatengeneza za kutosha ,muda wangu wa mapumziko natumia kuwaambia ukweli nyie mapoyoyo mnazingua sana.
 
Labda niweke wazi kuwa sina chuki hata chembe na hiki kituo cha redio na wala sina utimu mimi....ila ukweli lazima usemwe ili ikiwezekana mabadiliko yafanyike.

Awali kipindi hiki kilipoanzishwa niliahidi kuwa mdau mkubwa wa kipindi hiki cha michezo lakini kadri siku zinavyozidi kwenda nilianza kuwa mvivu kusikiliza kipindi hiki.

Nadhani nilivutiwa na majina yaliyosajiliwa kina Eddo, Kitenge, Kawambwa, Mkule, Abdallah n.k nikawa na matarajio makubwa sana lakini sasa nimegundua kuwa hiki kipindi hakina tofauti na timu ya taifa ya Argentina ambayo ina ma-pro wakutosha lakini mafanikio 0.

Kinachokera hawapo vizuri katika kusimamia agenda zao za kipindi
Wanaweza kusema kuwa leo wataongelea jambo fulani lakini katikati ya majadiliano mwingine analeta jambo lingine kabisa na wote wanatoka katika mjadala husika na kuingia katika mjadala mpya pasipo kumalizia ule wa awali.

Na hili linatokana na kujazana sana hapo studio matokeo yake kila mmoja anataka asikike,kuna haja ya kupunguza watu hapo studio wakabaki wachache tu ili utlivu na usikivu uwepo,kwa mfano huyu Ricardo Momo sijui anafanya nini hapo maana hamna lolote analolijua katika soka zaidi ya stori za Liverpool tu; yeye akiwa anazungumzia mada zake mifano yake ni VVD, Salah, Bob Filmino na Mane.

Punguza huyooooo huyu Eddo Kumwembe ni mzuri katika magazeti tu lakini huku anapuyanga tu na kujaza wingi tu, anzisheni gazeti la Wasafi mumpe page yake huko.

Kipindi ni cha hovyo sana siku hizi limekuwa kama maskani ya masela au kijiwe cha kahawa, wana mkusanyiko wa watangazaji na wachambuzi wazuri lakini teamwork 0.0000

Mumeachwa mbali sana na EFM, MAGIC na EA Radio
ukweli mtupu kasoro kumpunguza momo na Edo ....Momo kwenye session ya kudele atulie hapo, kuna kitu ana add kama mbwiga wa clouds....Edo chemistry na watu wa hapo inafeli....kawambwa na wengine wakatwe ....abaki Maulidi kitenge kama muongozaji na wachambuzi wabaki yule mnyakyusa na Edo tosha.....
 
Nishatengeneza za kutosha ,muda wangu wa mapumziko natumia kuwaambia ukweli nyie mapoyoyo mnazingua sana.
Nenda kwenye pages zao au YouTube channel yao waambie au nikupe namba za Boss wao wakuitwa Nelly umwambie.
.
vinginevyo hapa unapoteza muda wako tu perhaps unajifurahisha roho siwezi jua
 
ukweli mtupu kasoro kumpunguza momo na Edo ....Momo kwenye session ya kudele atulie hapo, kuna kitu ana add kama mbwiga wa clouds....Edo chemistry na watu wa hapo inafeli....kawambwa na wengine wakatwe ....abaki Maulidi kitenge kama muongozaji na wachambuzi wabaki yule mnyakyusa na Edo tosha.....
Ina maana wewe unajua sana kuliko wao waliosaka pesa wakanunua vifaa, wakaomba leseni kwa millions of money, waka-install hayo mavifaa wakaamua kulipia satellites fee za kila mwezi more than 25 million, wakaamua kuajiri watangazaji wakubwa wanaowalipa pesa nyingi sio?
 
Nenda kwenye pages zao au YouTube channel yao waambie au nikupe namba za Boss wao wakuitwa Nelly umwambie.
.
vinginevyo hapa unapoteza muda wako tu perhaps unajifurahisha roho siwezi jua
hii ni forum mkuu...sehem special ya kutoa dukuduku zako....hata kama kunguru kakunyea umeona kero unafunguka hapa utakutana na walionyewa wenzako mta share experience... acha ushamba!
 
Ina maana wewe unajua sana kuliko wao waliosaka pesa wakanunua vifaa, wakaomba leseni kwa millions of money, waka-install hayo mavifaa wakaamua kulipia satellites fee za kila mwezi more than 25 million, wakaamua kuajiri watangazaji wakubwa wanaowalipa pesa nyingi sio?
uelewa wako ni mdogo...sina mda wa ku argue na kiazi ka wewe...
 
Jamaa wanajitahd tatzo mkule yule ikishatajwa maada ya kudiscuss, kabla hata haijanoga kujadiliwa tukawasikilize wadau(wapiga simu) jamaa anayumba sana. Mkai yuko poa wampe Kawamba ahost sio kuchambua
 
Jamaa wanajitahd tatzo mkule yule ikishatajwa maada ya kudiscuss, kabla hata haijanoga kujadiliwa tukawasikilize wadau(wapiga simu) jamaa anayumba sana. Mkai yuko poa wampe Kawamba ahost sio kuchambua
ni kero sana....watu wanaona Edo kama kaflop lakini siyo...ukiwa mtu kama Mkule anaongoza kipindi kwa kukremisha lazima uflop...
 
Nenda kwenye pages zao au YouTube channel yao waambie au nikupe namba za Boss wao wakuitwa Nelly umwambie.
.
vinginevyo hapa unapoteza muda wako tu perhaps unajifurahisha roho siwezi jua
sawa dada yangu nimekuelewa,nipe hiyo namba nijaribu kumtafuta huko pia....
 
Back
Top Bottom