DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Labda niweke wazi kuwa sina chuki hata chembe na hiki kituo cha redio na wala sina utimu mimi....ila ukweli lazima usemwe ili ikiwezekana mabadiliko yafanyike.
Awali kipindi hiki kilipoanzishwa niliahidi kuwa mdau mkubwa wa kipindi hiki cha michezo lakini kadri siku zinavyozidi kwenda nilianza kuwa mvivu kusikiliza kipindi hiki.
Nadhani nilivutiwa na majina yaliyosajiliwa kina Eddo, Kitenge, Kawambwa, Mkule, Abdallah n.k nikawa na matarajio makubwa sana lakini sasa nimegundua kuwa hiki kipindi hakina tofauti na timu ya taifa ya Argentina ambayo ina ma-pro wakutosha lakini mafanikio 0.
Kinachokera hawapo vizuri katika kusimamia agenda zao za kipindi
Wanaweza kusema kuwa leo wataongelea jambo fulani lakini katikati ya majadiliano mwingine analeta jambo lingine kabisa na wote wanatoka katika mjadala husika na kuingia katika mjadala mpya pasipo kumalizia ule wa awali.
Na hili linatokana na kujazana sana hapo studio matokeo yake kila mmoja anataka asikike,kuna haja ya kupunguza watu hapo studio wakabaki wachache tu ili utlivu na usikivu uwepo,kwa mfano huyu Ricardo Momo sijui anafanya nini hapo maana hamna lolote analolijua katika soka zaidi ya stori za Liverpool tu; yeye akiwa anazungumzia mada zake mifano yake ni VVD, Salah, Bob Filmino na Mane.
Punguza huyooooo huyu Eddo Kumwembe ni mzuri katika magazeti tu lakini huku anapuyanga tu na kujaza wingi tu, anzisheni gazeti la Wasafi mumpe page yake huko.
Kipindi ni cha hovyo sana siku hizi limekuwa kama maskani ya masela au kijiwe cha kahawa, wana mkusanyiko wa watangazaji na wachambuzi wazuri lakini teamwork 0.0000
Mumeachwa mbali sana na EFM, MAGIC na EA Radio
Awali kipindi hiki kilipoanzishwa niliahidi kuwa mdau mkubwa wa kipindi hiki cha michezo lakini kadri siku zinavyozidi kwenda nilianza kuwa mvivu kusikiliza kipindi hiki.
Nadhani nilivutiwa na majina yaliyosajiliwa kina Eddo, Kitenge, Kawambwa, Mkule, Abdallah n.k nikawa na matarajio makubwa sana lakini sasa nimegundua kuwa hiki kipindi hakina tofauti na timu ya taifa ya Argentina ambayo ina ma-pro wakutosha lakini mafanikio 0.
Kinachokera hawapo vizuri katika kusimamia agenda zao za kipindi
Wanaweza kusema kuwa leo wataongelea jambo fulani lakini katikati ya majadiliano mwingine analeta jambo lingine kabisa na wote wanatoka katika mjadala husika na kuingia katika mjadala mpya pasipo kumalizia ule wa awali.
Na hili linatokana na kujazana sana hapo studio matokeo yake kila mmoja anataka asikike,kuna haja ya kupunguza watu hapo studio wakabaki wachache tu ili utlivu na usikivu uwepo,kwa mfano huyu Ricardo Momo sijui anafanya nini hapo maana hamna lolote analolijua katika soka zaidi ya stori za Liverpool tu; yeye akiwa anazungumzia mada zake mifano yake ni VVD, Salah, Bob Filmino na Mane.
Punguza huyooooo huyu Eddo Kumwembe ni mzuri katika magazeti tu lakini huku anapuyanga tu na kujaza wingi tu, anzisheni gazeti la Wasafi mumpe page yake huko.
Kipindi ni cha hovyo sana siku hizi limekuwa kama maskani ya masela au kijiwe cha kahawa, wana mkusanyiko wa watangazaji na wachambuzi wazuri lakini teamwork 0.0000
Mumeachwa mbali sana na EFM, MAGIC na EA Radio