Sports Arena ya Wasafi FM ni moja ya kipindi cha hovyo cha michezo Bongo

Sports Arena ya Wasafi FM ni moja ya kipindi cha hovyo cha michezo Bongo

Jamaa wanajitahd tatzo mkule yule ikishatajwa maada ya kudiscuss, kabla hata haijanoga kujadiliwa tukawasikilize wadau(wapiga simu) jamaa anayumba sana. Mkai yuko poa wampe Kawamba ahost sio kuchambua
akishapokea simu tu anahama kabisa katika mada iliyokuwa inajadiliwa,akirudi analeta stori nyingine inakera sana hii,mfano leo walikuwa wanajadili game ya city na Arsenal jamaa wakataka kuchambua kidogo kiufundi hii game ,kabla hajaanza wamepokea simu ya mdau ambaye akakumbusha kuwa leo kuna game ya Villa dah wakahamia mazima huko dadadek
 
akishapokea simu tu anahama kabisa katika mada iliyokuwa inajadiliwa,akirudi analeta stori nyingine inakera sana hii,mfano leo walikuwa wanajadili game ya city na Arsenal jamaa wakataka kuchambua kidogo kiufundi hii game ,kabla hajaanza wamepokea simu ya mdau ambaye akakumbusha kuwa leo kuna game ya Villa dah wakahamia mazima huko dadadek
Jamaa wapo poa kuna vtu vichache vya kurekebshwa kiujumla kipindi kikali hakinipiti nnapokua free
 
Yan hao jamaa sijawahi kuwaelewaga hata kidogo,naskiaga kelele tu hasa huyo kitenge,sielewagi anaongeaga nn yan,wabadirike
 
sawa dada yangu nimekuelewa,nipe hiyo namba nijaribu kumtafuta huko pia....
Nakusikitia sana nadhani mama yako na nduguzo wakike hawana thamani yoyote.
.
kwamba mtu akiwa mwanamke ni tusi tayari au fedheha fulani pole sana.
ndio maana hata ukaamua kuandika upumbavu yani unaumizwa na mambo ambayo hujachangia. Pambana uanzishe yako kisha nije nikupangie ufanye nini na usifanye nini sawa eee?
.
TABIA KUU YA MASIKINI NI KUMPANGIA TAJIRI NAMNA YA KUISHI NA KUENDESHA MAMBO YAKE. You've to change immediately na ACHA KUDHARAU WANAWAKE
 
Yan hao jamaa sijawahi kuwaelewaga hata kidogo,naskiaga kelele tu hasa huyo kitenge,sielewagi anaongeaga nn yan,wabadirike
Sir utawezaje kuwaelewa wakati wewe mwenyewe hueleweki na sidhani kama unajielewa.
.
nn, yan, sielewagi, anaongeaga, naskiaga, kuwaelewaga ni viswahili vya wapi hivi?
 
hii ni forum mkuu...sehem special ya kutoa dukuduku zako....hata kama kunguru kakunyea umeona kero unafunguka hapa utakutana na walionyewa wenzako mta share experience... acha ushamba!
Uandishi wako tu unaonyesha nani mshamba kati ya mimi na wewe.!
.
Huwezi kuweka nukta tatu katikati ya sentensi wala mwisho wa sentensi uliza huwa zinawekwa wapi bila kusahau hujui matumizi ya herufi kubwa.!
pia neno lolote la kiingereza linapowekwa sambamba na neno la kiswahili hutumika alama ya toa kama hivi MTA-SHARE.
.
Please go back to elementary school you got few things to learn Sir!
 
Mkuu hii ni thread tu kuanzia mwanzoni unaponda tu na hasira ,kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni huwezi kumpangia hebu tuliza munkari
Nakusikitia sana nadhani mama yako na nduguzo wakike hawana thamani yoyote.
.
kwamba mtu akiwa mwanamke ni tusi tayari au fedheha fulani pole sana.
ndio maana hata ukaamua kuandika upumbavu yani unaumizwa na mambo ambayo hujachangia. Pambana uanzishe yako kisha nije nikupangie ufanye nini na usifanye nini sawa eee?
.
TABIA KUU YA MASIKINI NI KUMPANGIA TAJIRI NAMNA YA KUISHI NA KUENDESHA MAMBO YAKE. You've to change immediately na ACHA KUDHARAU WANAWAKE
 
Momo fundi anajua tofauti na kile kijamaa cha E fm panjuan kichwa kinauma nikimskiliza
Hana ufundi wowote sio kila anayependa soka basi anaweza kulifanyia uchambuzi,yeye anapenda soka tu ila katika uchambuzi ni 0
 
Nakusikitia sana nadhani mama yako na nduguzo wakike hawana thamani yoyote.
.
kwamba mtu akiwa mwanamke ni tusi tayari au fedheha fulani pole sana.
ndio maana hata ukaamua kuandika upumbavu yani unaumizwa na mambo ambayo hujachangia. Pambana uanzishe yako kisha nije nikupangie ufanye nini na usifanye nini sawa eee?
.
TABIA KUU YA MASIKINI NI KUMPANGIA TAJIRI NAMNA YA KUISHI NA KUENDESHA MAMBO YAKE. You've to change immediately na ACHA KUDHARAU WANAWAKE
Wapi nilipoonesha kuwa nimedharau mwanamke?!!!!nafikiri utakuwa na shida mahali,mimi kutokana na aina ya uandishi wako nilidhani ni jinsia nyingine ,
Bora uwe masikini wa mali kuliko kuwa fukara wa fikra kama wewe...
 
ukweli mtupu kasoro kumpunguza momo na Edo ....Momo kwenye session ya kudele atulie hapo, kuna kitu ana add kama mbwiga wa clouds....Edo chemistry na watu wa hapo inafeli....kawambwa na wengine wakatwe ....abaki Maulidi kitenge kama muongozaji na wachambuzi wabaki yule mnyakyusa na Edo tosha.....
Kweli kabisa mkuu,
 
Uandishi wako tu unaonyesha nani mshamba kati ya mimi na wewe.!
.
Huwezi kuweka nukta tatu katikati ya sentensi wala mwisho wa sentensi uliza huwa zinawekwa wapi bila kusahau hujui matumizi ya herufi kubwa.!
pia neno lolote la kiingereza linapowekwa sambamba na neno la kiswahili hutumika alama ya toa kama hivi MTA-SHARE.
.
Please go back to elementary school you got few things to learn Sir!
Acha ujuaji mkuu,iwapo utafanyika msako wa matumizi ya lugha fasaha humu basi asilimia kubwa humu ikiwemo na wewe pia tungekaa kimya
 
Back
Top Bottom