Sports Arena ya Wasafi FM ni moja ya kipindi cha hovyo cha michezo Bongo

Sports Arena ya Wasafi FM ni moja ya kipindi cha hovyo cha michezo Bongo

Wapi nilipoonesha kuwa nimedharau mwanamke?!!!!nafikiri utakuwa na shida mahali,mimi kutokana na aina ya uandishi wako nilidhani ni jinsia nyingine ,
Bora uwe masikini wa mali kuliko kuwa fukara wa fikra kama wewe...
Unaweza ukawa tajiri wa fikra lakini huna kushoto wala kulia!
.
Hakuna aina ya uandishi duniani wa kutumia mashine za kielektroniki unaoweza kuelezea jinsia ya mtu narudia HAKUNA!
.
Thanks for wasting my time, mtu unayeweka alama za mshangao nne baada ya kuweka alama ya kiulizo 😝😝😝
 
Mkuu hii ni thread tu kuanzia mwanzoni unaponda tu na hasira ,kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni huwezi kumpangia hebu tuliza munkari
Wanakera boss wanaleta itikadi za kimasikini we kitu kama hukipendi achana nacho kwanini ukaze ubongo.
 
Unaonaje ukiacha kuwasikiliza na sio kupoteza muda wako kuwasikiliza ili uje uandike uzi JF? Huo muda ungetengeneza hata mia mbili.
Wabongo ukiona hivyo ujue timu yake imepewa ukweli.
Tupo zama za kusifiana. Ukiambiwa mapungufu yako ni nongwa kubwa.
 
ukweli mtupu kasoro kumpunguza momo na Edo ....Momo kwenye session ya kudele atulie hapo, kuna kitu ana add kama mbwiga wa clouds....Edo chemistry na watu wa hapo inafeli....kawambwa na wengine wakatwe ....abaki Maulidi kitenge kama muongozaji na wachambuzi wabaki yule mnyakyusa na Edo tosha.....
Ahahahaha
Umenichekesha sana .et yule mnyAkyusa!!!
Sema George Ambangile
Nilikua nampenda sana huyu dogo akiawa Magic.Ila tangu atue wasafi namuona zero kabisa.
Nadhan setup ya kipindi haiko sawa kama asemamavyo mleta mada.
Wamejaa wajuaji wengi sana kias kwamba inatengeneza INTERNAL competition.
Kila mtu anataka asikike.
Kweli pia nakubal kuwa edo si mzuri wa kuchambua kwa kuongea. Hana flow na mpangilio wa nn kianze kip kifuate anapozungumza.Yake ni KALAMU tu
 
Labda niweke wazi kuwa sina chuki hata chembe na hiki kituo cha redio na wala sina utimu mimi....ila ukweli lazima usemwe ili ikiwezekana mabadiliko yafanyike.

Awali kipindi hiki kilipoanzishwa niliahidi kuwa mdau mkubwa wa kipindi hiki cha michezo lakini kadri siku zinavyozidi kwenda nilianza kuwa mvivu kusikiliza kipindi hiki.

Nadhani nilivutiwa na majina yaliyosajiliwa kina Eddo, Kitenge, Kawambwa, Mkule, Abdallah n.k nikawa na matarajio makubwa sana lakini sasa nimegundua kuwa hiki kipindi hakina tofauti na timu ya taifa ya Argentina ambayo ina ma-pro wakutosha lakini mafanikio 0.

Kinachokera hawapo vizuri katika kusimamia agenda zao za kipindi
Wanaweza kusema kuwa leo wataongelea jambo fulani lakini katikati ya majadiliano mwingine analeta jambo lingine kabisa na wote wanatoka katika mjadala husika na kuingia katika mjadala mpya pasipo kumalizia ule wa awali.

Na hili linatokana na kujazana sana hapo studio matokeo yake kila mmoja anataka asikike,kuna haja ya kupunguza watu hapo studio wakabaki wachache tu ili utlivu na usikivu uwepo,kwa mfano huyu Ricardo Momo sijui anafanya nini hapo maana hamna lolote analolijua katika soka zaidi ya stori za Liverpool tu; yeye akiwa anazungumzia mada zake mifano yake ni VVD, Salah, Bob Filmino na Mane.

Punguza huyooooo huyu Eddo Kumwembe ni mzuri katika magazeti tu lakini huku anapuyanga tu na kujaza wingi tu, anzisheni gazeti la Wasafi mumpe page yake huko.

Kipindi ni cha hovyo sana siku hizi limekuwa kama maskani ya masela au kijiwe cha kahawa, wana mkusanyiko wa watangazaji na wachambuzi wazuri lakini teamwork 0.0000

Mumeachwa mbali sana na EFM, MAGIC na EA Radio
Mimi niliach kusikiliza kipindi chao CH magazeti asubuhi.
Max sijui zmbwela ni trash, kitenge bora angebaki kule efm.
 
Wabongo ukiona hivyo ujue timu yake imepewa ukweli.
Tupo zama za kusifiana. Ukiambiwa mapungufu yako ni nongwa kubwa.
Ni kweli, alafu haka katabia kakumpangia tajiri afanye nini na asifanye nini kanabidi kaachwe Sir kanazidi kukita mizizi.
.
Wewe hapo unaweza kuwa tajiri mkubwa tu leo hii sijui umepataje mali zako eti nataka nikuone unaemdesha VXR na sio Vitz na unakula Marry brown na sio kwa Shishi food. Ahahahah
 
Nionyeshe makosa yangu tafadhali
Onyesha= Onesha

Onyesha ,inatokana na kitenzi Onya kikiwa na maana ya kutoa angalizo au tahadhari

Onesha ,inatokana na kitenzi Ona,kikiwa na maana ya tazama au angalia
 
Unaweza ukawa tajiri wa fikra lakini huna kushoto wala kulia!
.
Hakuna aina ya uandishi duniani wa kutumia mashine za kielektroniki unaoweza kuelezea jinsia ya mtu narudia HAKUNA!
.
Thanks for wasting my time, mtu unayeweka alama za mshangao nne baada ya kuweka alama ya kiulizo [emoji13][emoji13][emoji13]
Wewe kweli ni mtu wa hovyo kuwahi kutokea yaani unanilazimisha kuuliza!!kama lengo langu lilikuwa kushangaa je?khaaaaa
 
Ni kweli, alafu haka katabia kakumpangia tajiri afanye nini na asifanye nini kanabidi kaachwe Sir kanazidi kukita mizizi.
.
Wewe hapo unaweza kuwa tajiri mkubwa tu leo hii sijui umepataje mali zako eti nataka nikuone unaemdesha VXR na sio Vitz na unakula Marry brown na sio kwa Shishi food. Ahahahah
Hili dongo ni lako mkuu,jiongeze basi.
Mwenzako anamaanisha utimu timu wenu na sio ulivyoelewa wewe.hahahahaha
Yaani unajishambulia mwenyewe kama Ali Ali
 
Pamoja na kusapoti ulichokiandika, ila kweli hiyo mifano hata mimi ingeniuma ningekuwa upande wako.
Hahahaha we jamaa dah, ila hiyo mifano yake jamaa kama alikuwa kipofu sasa akapona na watu wa kwanza kuwaona tu ni hao hahahahaha
Ingawa mimi ni Kop lakini kwa hilo hapana
 
Hahahaha we jamaa dah, ila hiyo mifano yake jamaa kama alikuwa kipofu sasa akapona na watu wa kwanza kuwaona tu ni hao hahahahaha
Ingawa mimi ni Kop lakini kwa hilo hapana

Mimi kile kipindi huwa nakisikiliza kwa sababu ya George Ambangile, ila naona kama hapewi dakika za kutosha za mimi kusikia madini yake.

Nimeacha kwa muda kuwasikiliza.
 
Uandishi wako tu unaonyesha nani mshamba kati ya mimi na wewe.!
.
Huwezi kuweka nukta tatu katikati ya sentensi wala mwisho wa sentensi uliza huwa zinawekwa wapi bila kusahau hujui matumizi ya herufi kubwa.!
pia neno lolote la kiingereza linapowekwa sambamba na neno la kiswahili hutumika alama ya toa kama hivi MTA-SHARE.
.
Please go back to elementary school you got few things to learn Sir!
Na wewe unayeweka nukta kwanza alafu ndio unashangaa? 🙂 sawasawa,punguza ujuaji ilhali na wewe hujui,khaaaaaa
 
Back
Top Bottom