Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Kama ni kweli basi kazi ipo hapoMambo ni mengi muda hautoshi, golikipa mpya wa Yanga amefungwa goli 50 kwa msimu mmoja, hayo sio maneno yangu bali ni maneno kutoka kwa wachambuzi wa kipindi cha Sports Extra ya Clouds Fm.
Ni nani anawatimia Clouds kutuhujumu sisi Yanga? [emoji23][emoji23][emoji23]
Bongo atatunguliwa 100 kwa msimuMambo ni mengi muda hautoshi, golikipa mpya wa Yanga amefungwa goli 50 kwa msimu mmoja, hayo sio maneno yangu bali ni maneno kutoka kwa wachambuzi wa kipindi cha Sports Extra ya Clouds Fm.
Ni nani anawatumia Clouds kutuhujumu sisi Yanga? [emoji23][emoji23][emoji23]
Aende tu bure mm hua simwelewi kabisa.Atolewe kwa mkopo tena?
Bongo atatunguliwa 100 kwa msimu
Malalamiko FcNilijua tu,hii ni hujma kwa Yanga na wa kulaumiwa ni tff na bodi ya ligi.
Alafu lawama wanatupiwa tffDaaah
Sana mkuuπππYanga tunahujumiwaaaaa
Ambayo imejaa π¦π¦π¦Alafu lawama wanatupiwa tff
Sasa sijui tff ndio wanaowasajilia kina saprong nkAmbayo imejaa [emoji881][emoji881][emoji881]
Kuna kipa mpya toka mali unaambiwa kapigwa 50 kwa msimuKwani Yanga wameshasajili golikipa mwingine?
Huyo kipa sasa au watu huwa wanaanika nguo golini!!Kuna kipa mpya toka mali unaambiwa kapigwa 50 kwa msimu
Aisee itakua wametoa mlango wameweka pazia [emoji23][emoji23]Huyo kipa sasa au watu huwa wanaanika nguo golini!!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nilijua tu,hii ni hujma kwa Yanga na wa kulaumiwa ni tff na bodi ya ligi.
Sheikh uko wapi? Kuna nyanda mpya kwa WananchiKwani Yanga wameshasajili golikipa mwingine?