Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani kwa nini Rage aliwaita mbumbumbu!! Hamna kitu hapo!!Ama kweli muda ni Mchache na Mambo ni mengi.
Eti Taifa lililo endelea kisoka na lenye mafanikio makubwa kwenye mpira wa Afrika wameamua kumchagua kipa aliyepigwa goli 50 kuwa nationa team goalkeeper.
Kitu kizito chenye mithili ya chuma kimewadondokea watu wa simba kichwani hadi wanaanza kuchanganyikiwa sasa kuhusu sajili za Yanga SC.
Asanteni kwa Kujadiri.
Usajili wa Wananchi ni sawa na kitu kizito chenye ncha kaliNchi ina vijana wa hovyo sana hii, na wewe ukiwemo
Clouds wao kwasasa wanajadili magoli 50 kwa msimuManula alipopigwa goli 10 mechi mbili tu,clouds fm walisemaje vile?.
Katika mechi ngapi?.Clouds wao kwasasa wanajadili magoli 50 kwa msimu
Lazima uumizeUsajili wa Wananchi ni sawa na kitu kizito chenye ncha kali
š¤£š¤£š¤£tayari goki mbili kwa msimu huu bado 48 tufukie rekodi
Sport extra hakuna wachambuzi Bali wachafuziMambo ni mengi muda hautoshi, golikipa mpya wa Yanga amefungwa goli 50 kwa msimu mmoja, hayo sio maneno yangu bali ni maneno kutoka kwa wachambuzi wa kipindi cha Sports Extra ya Clouds Fm.
Ni nani anawatumia Clouds kutuhujumu sisi Yanga? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hao wamelewa Congo wanaenda kuchambua soka,wakijifanya wanalijua soka kumbe washamba tuTimu gani tena inaruhusu magoli kwa msimu mmoja?
Unasadidia ukiambiwa thibitisha, utathibitisha?Kuna kipa mpya toka mali unaambiwa kapigwa 50 kwa msimu
Ingia google mbona unakua mgumu kufikiria dunia ya leo ipo mkononi ni bando lako tu
Alaaa walivyipigwa 4 mkasema ile yq kina makusu ndiyo vita halisi leo wamekuwa wakali tena,hawakwendaga robo na simba alienda mara mbili mbele yaoSport extra hakuna wachambuzi Bali wachafuzi
Niliacha muda mrefu sana kusikiliza hicho kipindi ni wahuni Fulani ivi was mjini washibishe matumbo yao.
Nimemsikia Lwambano eti yanga wanasajiri kibiashara,huo no uchambuzi kweli?
Wachezaji wengi wametoka As vita club, na ndiyo hao waliomnywesha simba5. Kina mchezaji wa kumtilia shaka pale?
Kipindi cha kwanza yanga walidominate game, timu haifanya preesezone kiwango kile ni uwezo wa mchezaji mmoja mmoja.
MLITAKA IWEJE?
MBONA HAMUUNDI TIMU YETU TUONE UWEZO WENU WA KUSAJIRI.
SASA NINAMJEKEWA MANARA JUU YA WACHAMBUZI
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Kwa yule kipa Yanga wamepigwa kama walivyopigwa Kwa kina Fiston. Engineer Hersi mjanja sana yule jamaa.Mambo ni mengi muda hautoshi, golikipa mpya wa Yanga amefungwa goli 50 kwa msimu mmoja, hayo sio maneno yangu bali ni maneno kutoka kwa wachambuzi wa kipindi cha Sports Extra ya Clouds Fm.
Ni nani anawatumia Clouds kutuhujumu sisi Yanga? ššš
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo kipa sasa au watu huwa wanaanika nguo golini!!
[emoji23][emoji23][emoji23]