mafarisayoo
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 1,190
- 830
Zanzibar Kuna kipa alikula goli 50 mechi moja. Mbona hawamjadili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
daaahManara fc!!
Anaitwa Haji s Manara kabla ya ligi kuanza Kala 50 kenge fcSheikh uko wapi? Kuna nyanda mpya kwa Wananchi
Kwa washambuliaji wapi...Bongo atatunguliwa 100 kwa msimu
Kila mchezaji ukifuatilia unaona anaenda Yanga, kiasi kwamba hata haijulikani yupi ni kweli na yupi sio kweli...maana wanaojulikana rasmi hadi sasa ni wale wacongoman wawili ambao wametambulishwaSheikh uko wapi? Kuna nyanda mpya kwa Wananchi
Allison alinunuliwa na liver huku liver wakiwa wametoka kumpiga goli sabaMambo ni mengi muda hautoshi, golikipa mpya wa Yanga amefungwa goli 50 kwa msimu mmoja, hayo sio maneno yangu bali ni maneno kutoka kwa wachambuzi wa kipindi cha Sports Extra ya Clouds Fm.
Ni nani anawatumia Clouds kutuhujumu sisi Yanga? 😂😂😂
No kipa wa netboli?Mambo ni mengi muda hautoshi, golikipa mpya wa Yanga amefungwa goli 50 kwa msimu mmoja, hayo sio maneno yangu bali ni maneno kutoka kwa wachambuzi wa kipindi cha Sports Extra ya Clouds Fm.
Ni nani anawatumia Clouds kutuhujumu sisi Yanga? [emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂Allison alinunuliwa na liver huku liver wakiwa wametoka kumpiga goli saba
Stade Malien imefungwa mabao 16 tu tangu March 2020.
Una uhakika?Mbona haikuwepo kwa CL?
Halafu kawaje mchezaji bora wa ligi kama tunavyoambiwa.Mambo ni mengi muda hautoshi, golikipa mpya wa Yanga amefungwa goli 50 kwa msimu mmoja, hayo sio maneno yangu bali ni maneno kutoka kwa wachambuzi wa kipindi cha Sports Extra ya Clouds Fm.
Ni nani anawatumia Clouds kutuhujumu sisi Yanga? 😂😂😂
Kukosa weledi ndiyo maana Hajji alikuwa anawatukana tu, maana ni mjinga pekee anaweza kuongea jambo bila data, " Takataka " ziko nyingi nchiniMambo ni mengi muda hautoshi, golikipa mpya wa Yanga amefungwa goli 50 kwa msimu mmoja, hayo sio maneno yangu bali ni maneno kutoka kwa wachambuzi wa kipindi cha Sports Extra ya Clouds Fm.
Ni nani anawatumia Clouds kutuhujumu sisi Yanga? 😂😂😂
Nchi ina vijana wa hovyo sana hii, na wewe ukiwemoMambo ni mengi muda hautoshi, golikipa mpya wa Yanga amefungwa goli 50 kwa msimu mmoja, hayo sio maneno yangu bali ni maneno kutoka kwa wachambuzi wa kipindi cha Sports Extra ya Clouds Fm.
Ni nani anawatumia Clouds kutuhujumu sisi Yanga? 😂😂😂