BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 525
- 1,257
Your browser is not able to display this video.
Wameamua kuyachoma na kuyatupa ndani yam aji magari ya kifahari ya wanasiasa hasa kutoka familia hiyo
Watoto na ndugu wa familia hiyo wanamiliki magari ya mengi ya kifahari ikiwemo Rolls Royce, Lamborghini, Ferrari, Mclaren.
Wananchi wanalalamika hali ya maisha ni ngumu wakati familia hiyo inaishi kitajiri.
Your browser is not able to display this video.
Source: Newschecker.in