Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Ni tukose sote mkuu
Hapo Wote mnakuwa wahalifu, wao wanakuwa corrupts na ninyi mnakuwa transgressors--- mbele ya sheria kila mmoja anayo mashitaka yake na hata mbele ya Mungu pia kila mmoja anayo mashitaka yake.