Hiyo situation ilitaka kunitokea mwaka fulani ndani ya huo mwaka nilifiwa na mama mzazi, first born pia na mke the same year ona sasa dunia ilivyonielemea kwa majanga ujasiri uliniisha
Kama alivyoipokea kutoka kwa nani ???Kanuni moja ,,, kwanza kajiua makaburini,,, pili mazingira gani na mlalo upi marehemu alio kutwa nao,,,,,,, kiambatanisho kipi alichokutwa nacho marehemu,,, je Kuna movement gani kutoka katka mwili wa marehemu na makaburi mengne ,,,, Aina gani kitu au sumu alio tumia katika Nia yake ya kujiua ,,,,,,,,, hapo ndio upelelez huanzia na kukusanya evidence zote kuanzia nguo,viatu,zile,dawa ,kama alikutwa nazo,na Yale maandishi yake Kisha watu wa "FORENSIC" huanza kufanya Kaz yao "kwa mtu Alie soma MICROBIOLOGY AND FORENSIC SCIENCE" anaelewa Hilo kutoka na mifumo ya mibovu ya data tangu tunazaliwa ,tunakua fingerprint nying haziko katika mifumo tofautisha na nch zilizo endelea.
Usimlaumu mshana yeye kaileta habar Kama alivyoipokea
Mazingira ulio kutwa mwili wa marehemu tafsir ya haraka haraka watasema kajiua upepelez kadri unayoenda ndio picha halisi hupatikanaKama alivyoipokea kutoka kwa nani ???
Hata taarifa ya polisi haijasema kajiua. Habari ya kujiua hapa kaizua yeye!
Lakini sishangai. Vitu hivi huku kwetu bado sana.
Wewe mtaalam wa MICROBIOLOGY AND FORENSIC SCIENCE unasema upelelezi huanza na kukusanya evidence za “ni sumu gani au kitu gani alichotumia kujiua”? Sembuse Mshana Jr. ?
Upelelezi unaanza na kajiua!
Umejuaje kajiua ??????
Mbona ilikuwa ni mapema sana kuwahukumu walimwengu. Siku tatu tu baada ya kifo cha nkewe walimwengu wasingeingia mapema namna hiyoKipo alichokikosa kwa mkewe huku akiamini hawezi kuishi bila yeye, na mbaya zaidi akakosa hata faraja ya walimwengu
Kwani hao “watoto zake na ndugu zake baadhi” hawawezi kumuua ?Hyo deadbody hata ukiangalia kwa picha mwili wake haunoeshi kuwa kulikuwa na purkshani Zaid ya watu watatu hata mlalo alio lala na ukiangalia hauoni Kama Kuna watu wengne walihusika na hata huo ujumbe alio acha sidhan Kama Kuna mtu baki tofauti angejua kuwa anadaiwa na anadai na Mali zote alizonazo Zaid ya watoto zake au na ndugu baadhi.
Hakuna mtu anae kubali kufa kirahisi sio kila kifo ukaweka nadharia kuwa mtu kauwawa vingne mtu anajiua mwenyewe ndio maana Kuna postmortem ya Dr Kisha upelelez unaendelea kutokana na vile vilivyokutwa katika eneo la tukio na Kama Kuna simu wataangalia mawasiliano yake yalikuwajeKwani hao “watoto zake na ndugu zake baadhi” hawawezi kumuua ?
Haya yanatokea duniani kote, ila huku kwetu hao killers wanapeta... hakuna detecives wala wanajamii wanaofikiria mambo kwa mapana...
Unasema mwili hauna alama za purukushani, hivi kila mauaji yana purukushani ?
Mbona ilikuwa ni mapema sana kuwahukumu walimwengu. Siku tatu tu baada ya kifo cha nkewe walimwengu wasingeingia mapema namna hiyo
Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
sio kila kifo ni mauaji ?Hakuna mtu anae kubali kufa kirahisi sio kila kifo ukaweka nadharia kuwa mtu kauwawa
Lakini ukijiua kwa sumu sio dkk za mwisho unatapa tapa, hivyo asingeweza kulala juu ya kaburi bali angekutwa karibu na sehemu hiyo , ngoja wenye kujua sayansi waje watueleze,Hicho ndio kimemkuta marehemu. Wengi wanaomcheka watakua hawajapa wake yaani hawajaoa na kupata wasaidizi sahihi wanaokamilisha maisha yao, au wana wanawake wengi wasio wake sahihi pia
Yaani kwa Mke hakuwa mzuri kihivyo , sasa kwa kujiua huoni ameongeza kosa jingine, kwa kuwaacha watoto wenyewe. Yaani kosa moja anaongeza na la pili ??Sababu ya huyu Mgambo kujiua ni Majuto. Namuita mgambo sababu mwanajeshi kamili hawezi kujiua kizembe namna hii. Kiufupi jamaa alikuwa mbali na mke wake kimahusiano. Kifo cha mke wake asilimia kubwa kimesababishwa na tabia na matendo yake yasiyokuwa mazuri. So alijiona kakosea na hakuna tena nafasi ya kumuomba msamaha mkewe. To me haya ni maamuzi yenye ubinafsi. Nafikiri kifo cha mkewe kingekuwa turning point ya yeye kuwa mtu bora zaidi kwa familia na jamii kwa ujumla kuliko kujiua. Hili tukio limetokea mtaani kwangu so hiki nilichoandika siyo story ya kutunga.
Baada ya kujiua unakuwa umeondoa tatizo au umeongeza , ndio sera ya mjeda kuongeza tatizoBasi ni laana maana kuna wanawake wakifa kwenye mateso ya ndoa yanayotokana na mume basi husema kabisa nikifa huyu mtu hachukui round atanifuata na inakuwa kweli.
Ndo hicho kilichotokea.
Babangu alikuwa mjeda so I know, hawa watu kuua au kujiua ni mara moja tu
Ukifa kwa sumu unatapatapa ? Sio lazima.Lakini ukijiua kwa sumu sio dkk za mwisho unatapa tapa, hivyo asingeweza kulala juu ya kaburi bali angekutwa karibu na sehemu hiyo , ngoja wenye kujua sayansi waje watueleze,
Hivi wale waliohukumiwa kunyongwa na kudungwa sindano huku wame fungwa kwenye death bed ilikuwaje mpaka wakapiga marufukuUkifa kwa sumu unatapatapa ?
Sio lazima. Inategemea ni sumu gani na mazingira gani.
Dawa ya kuulia binadamu waliohukumiwa kifo inakuua kwa utulivu bila kutapa tapa.
Dawa ya nusu kaputi ukikosea vipimo inakuua kwa utulivu bila kutapa tapa.
Kuna murder case moja Wst Virginia, nesi alichukua dawa ya nusu kaputi kazini kwake akaja mdunga mumewe vipimo vya kumuua. Uchunguzi wa maiti haukuonyesha dawa ile kwa sababu alitumia nusu kaputi ya Succinycholine Chloride ambayo inafanya kazi haraka halafu inameng’enywa na enzymes za mwili dakika chache baadae.
Huku kwetu hakuna ma criminal masterminds kama hao. Tukitaka kuua mtu tunampiga mawe, tukishindwa kummaliza tunamchoma na matairi. Ndio mauaji tunauoyajua sisi primitive societies.
Mtu akikutwa kafa hajavuja damu wala hajakatwa mapanga tunasema kajiua kwa wivu wa mapenzi!
@Mkomavu kwakweli umekomaa.Hiyo situation ilitaka kunitokea mwaka fulani ndani ya huo mwaka nilifiwa na mama mzazi, first born pia na mke the same year ona sasa dunia ilivyonielemea kwa majanga ujasiri uliniisha
Sawa afande.....☹️Fucking coward, hivi mwanajeshi unajiuaje wakati upo uraiani? Sio kama umetekwa vitani?! How can you justfy taking ur own life?
Fucking coward, jitu lina miaka 50, linajiua! Bora ujiue kama unaumwa unahofia utawapa hasara wakikuuguza kwa muda mrefu,
This is totally shit
Kumbe unamuelewa 0 0 haya bana. [emoji23][emoji23]Dah, poti kazingua sana. Ila poa tu .
Hivi Mshana Jr hujawahi kuwa pale milambo barracks na jamaa mmoja alikuwa anaitwa zero zero? Alikuwa MP then akajoin kufanya mortuary
Kwa mujibu wa mafundisho christian benteke yeyote hana hesabu hata asipojiuwa....moja kwa moja finnari.Hakuna cha kulala salama hapo, hapo ni jahannam inamhusu.
وَلَا تَقْتُلُوا النَّفْسَ الَّتِي حَرَّمَ اللَّهُ إِلَّا بِالْحَقِّ ۗ وَمَنْ قُتِلَ مَظْلُومًا فَقَدْ جَعَلْنَا لِوَلِيِّهِ سُلْطَانًا فَلَا يُسْرِفْ فِي الْقَتْلِ ۖ إِنَّهُ كَانَ مَنْصُورًا
Wala msiuwe nafsi ambayo Mwenyezi Mungu amekataza isipo kuwa kwa haki. Na aliye uliwa kwa kudhulumiwa basi tumempa madaraka mrithi wake. Lakini asipite mpaka katika kuuwa. Kwani yeye anasaidiwa.
Hapa Kuna kupoteza nguvu ya typing naweza nikawa napiga kelele kwa mtu ambae haelew mazingira halisi ya matukio mengi ya vifo na kuanishasio kila kifo ni mauaji ?
hizo ni mentality fyongo za Kibongo-bongo
sasa utajuaje kipi ni murder na kipi sio murder bila kutazama kila kifo kwa jicho la tatu ?
kifo chochote tata ni lazima investigators waangalie kama kuna foul play...
unamkumkuta mtu ardhini kafa, unasema kajiua, eti kwa sababu kuna suicide note
kwani watu hawaandiki fake suicide note ??
Najua Tanzania hakuna media za maana za ku cover mabo haya lakini hamsomi magazeti ya dunia kwenye masimu yenu hayo ?? hamuangalii documentaries ?? hamsomi vitabu ??