Kanuni moja ,,, kwanza kajiua makaburini,,, pili mazingira gani na mlalo upi marehemu alio kutwa nao,,,,,,, kiambatanisho kipi alichokutwa nacho marehemu,,, je Kuna movement gani kutoka katka mwili wa marehemu na makaburi mengne ,,,, Aina gani kitu au sumu alio tumia katika Nia yake ya kujiua ,,,,,,,,, hapo ndio upelelez huanzia na kukusanya evidence zote kuanzia nguo,viatu,zile,dawa ,kama alikutwa nazo,na Yale maandishi yake Kisha watu wa "FORENSIC" huanza kufanya Kaz yao "kwa mtu Alie soma MICROBIOLOGY AND FORENSIC SCIENCE" anaelewa Hilo kutoka na mifumo ya mibovu ya data tangu tunazaliwa ,tunakua fingerprint nying haziko katika mifumo tofautisha na nch zilizo endelea.
Usimlaumu mshana yeye kaileta habar Kama alivyoipokea