TANZIA SSGT Reginald Ruta wa JWTZ amejiua kwenye Kaburi la marehemu Mkewe

TANZIA SSGT Reginald Ruta wa JWTZ amejiua kwenye Kaburi la marehemu Mkewe

Madeni yake kamwachia nani?
Halafu kwanini hajaipeleka hiyo gari NISAN kwa mwenyewe? Amewaachia watoto matatizo makubwa Ila kuna lililojIficha nyuma ya kujiua.Ila wakati utaamua
 
Sababu ya huyu Mgambo kujiua ni Majuto. Namuita mgambo sababu mwanajeshi kamili hawezi kujiua kizembe namna hii. Kiufupi jamaa alikuwa mbali na mke wake kimahusiano. Kifo cha mke wake asilimia kubwa kimesababishwa na tabia na matendo yake yasiyokuwa mazuri. So alijiona kakosea na hakuna tena nafasi ya kumuomba msamaha mkewe. To me haya ni maamuzi yenye ubinafsi. Nafikiri kifo cha mkewe kingekuwa turning point ya yeye kuwa mtu bora zaidi kwa familia na jamii kwa ujumla kuliko kujiua. Hili tukio limetokea mtaani kwangu so hiki nilichoandika siyo story ya kutunga.
daaah aisee, kuna mengi hapo aroo
 
Kwa kibongo bongo Msoja alikuwa tajiri ,ana mali nyingi tu ,kama magari manne ,nyumba 5 ,viwanja ,anaowadai pesa nyingi wa kutosha,accounts zenye pesa banks za kutosha!! Itakuwa pepo la kifo lilimdaka!
Za halali kweli mali zote hizo? Sr NCO kuwa na ukwasi wote huo.... Mshahara wake tunaujua. Muda wa utumishi tunaujua. Hatuna la kufanya maana hayupo tena.
 
Kwa nini hiyo sumu kanywa mwenyewe, kwani hawepi kupewa sumu halafu akaja kubwagwa hapo ?

Lakini bora wewe angalau umefikiria kidogo nje ya boxi, wengine wote wamemeza alichosema Mshana Junior kama kilivyo.
Vp kuhusu hiyo diary ya Mali alizowaachia watoto nayo kuna mtu aliandika ndio kamuua huyo mtu alikopi muandiko wa baba na hao watoto wasijue muandiko wa baba yao na kuacha azikwe?

Halafu wewe mchunguzi uchwarwa wa charambe unakuja kutilia shaka kifo ambacho hata hakikuhusu

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
kwa nini wamezika mapema hivyo?? wameconclude vipi huyu afande kajiua kweli au kauawa?? vyote hivyo vinawezekana ila inatakiwa kufahamu amejiuaje?? sumu au ?? jee na mke wake aliuawa au ni ugonjwa wa ghafla?? Kuna mengi sana nyuma ya pazia kabla kuconclude kirahisi rahisi tu hivi wandugu.
Kwahiyo ikishafahamika wakupigie simu wakueleze ww ni nani?

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Fucking coward, hivi mwanajeshi unajiuaje wakati upo uraiani? Sio kama umetekwa vitani?! How can you justfy taking ur own life?

Fucking coward, jitu lina miaka 50, linajiua! Bora ujiue kama unaumwa unahofia utawapa hasara wakikuuguza kwa muda mrefu,

This is totally shit
Mwanajeshi ni binaadam na anakwazwa pia...

Hilo halina mwanamme...mda ulifika hiyo ni sababu tu!
 
Najiulizaga sn inakuaje mtu mzima ana mke na familia lakini anakosa emotional intelligence?
 
Za halali kweli mali zote hizo? Sr NCO kuwa na ukwasi wote huo.... Mshahara wake tunaujua. Muda wa utumishi tunaujua. Hatuna la kufanya maana hayupo tena.

Wanajeshi wana chance kubwa ya kupata mkopo mkubwa hadi 200m kama mjasiliamali mzuri anaweza kupata ukwasi.
 
Kama ni kweli, huyo ni mjinga hasa. Not fair kabisa kwa watoto wake hasa wadogo.
That’s a bit much. Judgmental!

Suala la mental health Tanzania bado lina stigma mbaya.

Huwezi kujua mazonge aliyokuwa nayo. Angepata msaada wa therapy huenda mambo yangekuwa tofauti.

Lakini huo msaada angeupatia wapi hapa Tanzania? Jamii iliyojaa watu judgmental namna hii…

Apumzike kwa Amani.
 
That’s a bit much. Judgmental!

Suala la mental health Tanzania bado lina stigma mbaya.

Huwezi kujua mazonge aliyokuwa nayo. Angepata msaada wa therapy huenda mambo yangekuwa tofauti.

Lakini huo msaada angeupatia wapi hapa Tanzania? Jamii iliyojaa watu judgmental namna hii…

Apumzike kwa Amani.
Hii kitu Bongo hakuna anayeelewa kabisa
 
Nakumbuka tukiwa chuo tulikuwa tunabishana sana kati ya mtoto,mke/mume na mama yupi akifa unapata maumivu sana,,kuna lecturer ni mtu mzima sana alisema mke akifa anauma mno tena haswa mkipendana, akajitolea yeye mfano tangu mke wake afariki ni miaka 10 sasa nyumba aliiona kubwa sana ikabidi auze nyumba,akaenda kujenga sehemu nyingine anasema alipitia kipindi kigumu mno maishani mwake.
Kwa yaliyomtokea huyo askari nimemkumbuka lecturer
Kuna Movie moja inaitwa The Note book, jamaa alimpenda sana mkewe ambaye alikuwa na ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu.

jamaa alihamia kabisa hosptl alipolazwa mkewe, siku mkewe anakufa naye alikufa sio kwa kujiua yeye ila.

watoto.walijarib kumsihi sana baba yao akubaliane vile mama anaumwa, amwache mkewe hosptl arudi kuishi kawaida. Yule mzee aliwajibu, huyu yaani mkewe, ndiyo nyimbani kwake..

wapo watu wanapenda kikwelii yaani, sio masihara
 
Ni mbinafsi wa kutupwa.
Unaweza kukuta mtu kawaua jamani, the perfect murders. Tatizo polisi wetu huwa hawachunguzi, wakikuta ujumbe wanakimbilia kusema amejiua, kesi imeisha.

Suppose mtu kaua ka kachora plan ya namna hii je?

Wenzetu wangeangalia kwa mfano, nani anafaidika na vifo hivi. Uhusiano kati yao ulikuwaje, je kweli ulikuwa wa kupendana hadi mmoja kujiua? Nk
 
Back
Top Bottom