TANZIA SSGT Reginald Ruta wa JWTZ amejiua kwenye Kaburi la marehemu Mkewe

TANZIA SSGT Reginald Ruta wa JWTZ amejiua kwenye Kaburi la marehemu Mkewe

SSGT ni cheo gani hicho
Staff Sergeant

Staff sajenti

1623425381482.png
 
That’s a bit much. Judgmental!

Suala la mental health Tanzania bado lina stigma mbaya.

Huwezi kujua mazonge aliyokuwa nayo. Angepata msaada wa therapy huenda mambo yangekuwa tofauti.

Lakini huo msaada angeupatia wapi hapa Tanzania? Jamii iliyojaa watu judgmental namna hii…

Apumzike kwa Amani.
Hii ni kweli, msongo wa mawazo ni tatizo kubwa Tanzania basi tu.
 
RIP

Poleni wafiwa.

Reginald is an English masculine name developed from the Germanic Raginald derived from the elements “ragin” meaning “advice, counsel” and “wald” meaning “rule”.

Maana ya jina na vituko vyao ni tofauti
 
hakujali kawanyima watoto haki ya kuwa na baba kawazawadia uyatima wapumzike walipo jichagulia Mambi ya rohoni ni mazito cc @mshanajr kaka hii kiimani imekaaje
 
Mwanadamu hajaacha kushangaza, utakuta alipokuwa hai hakuwa hata anamuonesha mwenzie gesture za upendo; huruma, upendo, kujali, heshima, kujitoa hapa na pale halafu leo anadhani kujiua ndio gesture pekee ya upendo!! Shetani muongo sana na kama hujui maana ya upendo utakubaliana naye.
[emoji16]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mara nyingi inakuaga, mke akitangulia mume hachukui round hubaki wakiteseka....
Apumzike kwa amani kamanda, pole kwa familia.
Mi nahisi kwa kuwa wanaume wanaamini wao ndo wanatangulia kufa wanawaacha wake zao huwa wako relaxed...sasa inapotokea mke kafa kamuacha yeye, huwa mwanaume hawezi kustahimili, ndo kama kujiua

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Sababu ya huyu Mgambo kujiua ni Majuto. Namuita mgambo sababu mwanajeshi kamili hawezi kujiua kizembe namna hii. Kiufupi jamaa alikuwa mbali na mke wake kimahusiano. Kifo cha mke wake asilimia kubwa kimesababishwa na tabia na matendo yake yasiyokuwa mazuri. So alijiona kakosea na hakuna tena nafasi ya kumuomba msamaha mkewe. To me haya ni maamuzi yenye ubinafsi. Nafikiri kifo cha mkewe kingekuwa turning point ya yeye kuwa mtu bora zaidi kwa familia na jamii kwa ujumla kuliko kujiua. Hili tukio limetokea mtaani kwangu so hiki nilichoandika siyo story ya kutunga.
Kiruuuu[emoji134]

Kwa hiyo mke kafa kwa heart attack?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
hii kitu Bongo hakuna anayeelewa kabisa
Kama mshua wangu kuna siku nikamwambia nina stress kazi yake fulani sitaweza kufanya vizuri nitavurunda siko sawa.....nilipewa makavu nikaambiwa stress ni kujilegeleza na kudeka deka, nipige kazi [emoji16][emoji16]

Imagine huyo ni mzazi wako je mtu baki

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mi nahisi kwa kuwa wanaume wanaamini wao ndo wanatangulia kufa wanawaacha wake zao huwa wako relaxed...sasa inapotokea mke kafa kamuacha yeye, huwa mwanaume hawezi kustahimili, ndo kama kujiua

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hivi na wao huwa wana hilo wazo la kutangulia? Naonaga kama wanawake ndio twawaza hivi
 
Back
Top Bottom