Simba haiwakilishi taifa inawakilisha wanachama na mashabiki wake.Unazeeka sasa na unaanza kupungukiwa akili, simba sc inawakilisha Taifa acha umaandazi!
Utani wa ngumi huuAs vita wanatikisa nyavu huku simba wakitikisa mikia
Simba haiwakilishi taifa inawakilisha wanachama na mashabiki wake.
Mimi siwezi kuwakilishwa na timu kama Simba.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Awajui kama Mzee mzima anawatazama?.
Hapo kwa Mzamiru wamechemsha!
Zitungwe sheria kandamizi dhidi ya mashabiki dhalimu kama hawa
Teh teh teh!As vita wamemaliza pakiti moja wameenda kuongeza vumbi la kongo[emoji23][emoji23] wakirudi ni mimba tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
ActuallySimba haiwakilishi taifa inawakilisha wanachama na mashabiki wake.
Mimi siwezi kuwakilishwa na timu kama Simba.