Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Sasa picha ulishaiona ulitaka kuitazama tena ya nini??
Hebu nipe password yako nikathibitishe km kweli haifunguki na ina 8 viewers 😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa picha ulishaiona ulitaka kuitazama tena ya nini??
Sio kweli Kila mtu akija ana anzisha ID nyingine mfano ni Hawa walioanza kazi pale HQ mwaka janaId zao zitaendelea kuwepo kila siku, ikitokea ameacha kazi au amekufa atakayekuja atapewa hio id
Usikute tokea jf ianzishwe kwenye id ya active wameshapita wafanyakazi hata 10.
Hizi ni za ndani au siyo?Id zao zitaendelea kuwepo kila siku, ikitokea ameacha kazi au amekufa atakayekuja atapewa hio id
Usikute tokea jf ianzishwe kwenye id ya active wameshapita wafanyakazi hata 10.
Basi habari nilizoambiwa kuhusu wewe na moderators ni kweli🤔🤔,.Id zao zitaendelea kuwepo kila siku, ikitokea ameacha kazi au amekufa atakayekuja atapewa hio id
Usikute tokea jf ianzishwe kwenye id ya active wameshapita wafanyakazi hata 10.
HApo wacha niwaachie wenyewe waje wajibuHaaa eti wanaitana...
Usikute wana group la wasap la kutujadili.
Hivi Wana access na PM zetu?
Khaa! Sawa.Sio kweli Kila mtu akija ana anzisha ID nyingine mfano ni Hawa walioanza kazi pale HQ mwaka jana
Pole sana MkuuMnaangalia picha zangu PM?
Kuna picha fulani nilipewa PM,
Niliifungua mara moja tu, tokea hapa ikawa inagoma.
Na mpaka sasa inasoma 8 views.
Mnavunja faragha sio?
Kuweka convos za PM ni kosa kweliOna sasa,. Kwahiyo unanitishia maisha au sio😂😂😂
Haya Buana , sema uachage madharau
Nimegoogle.Basi habari nilizoambiwa kuhusu wewe na moderators na kweli🤔🤔,.
Umeyajuaje yote haya?
Yeah nafaham,. Na ndicho kivuli wanajifichia wanajua sitaweza kuweka hapa jeuri zao wanazonifanyiagaKuweka convos za PM ni kosa kweli
Hakutishii maisha
Kuna mwanetu mmoja hapa kama angepewa umodi basi Kuna id zangu alitamani sana kuziunga huyu mwanetu 😀 😃 au angenipiga life banned sema ndio hawezi huyu 😀😃😃Khaa! Sawa.
OukayNimegoogle.
Acha uchawa dogo. 😀😀😀Staff members wanapiga kazi kubwa sana, leo nimejisikia tu kuwapost😁.
Tag staff member wako mmoja unaemkubali sana, hata kama ashawahi kukufutia uzi au kukulamba block/ban then ukamjua we mtaje tu maana sisi wote ni people.
View attachment 3226026
View attachment 3226027
View attachment 3226028
View attachment 3226029
Yaah bepari moja la kihaya lipo poa sana ndio li robot la huu mtandao. Naona sasa hivi halipo sana kwa sababu JF imeajili na staffs kabisaNi invisible umesema
Kumbe una rundo la vyumba na huniambii🤔Kuna mwanetu mmoja hapa kama angepewa umodi basi Kuna id zangu alitamani sana kuziunga huyu mwanetu 😀 😃 au angenipiga life banned sema ndio hawezi huyu 😀😃😃
Wapige supu kisha Support JF nikukute na U platinum, Kigamboni Warrior.Hawa nataka siku niende kwenye HQ Yao pale kawe tupige supu 😎
Hawa wana viburi sana ila sio wote wengine wapo gudi sanaYeah nafaham,. Na ndicho kivuli wanajifichia wanajua sitaweza kuweka hapa jeuri zao wanazonifanyiaga
Umesema sahihi kabisaId zao zitaendelea kuwepo kila siku, ikitokea ameacha kazi au amekufa atakayekuja atapewa hio id
Usikute tokea jf ianzishwe kwenye id ya active wameshapita wafanyakazi hata 10.
Vingine napangisha huku kigamboni 😎Kumbe una rundo la vyumba na huniambii🤔