Stamina na Roma ni wahuni tu, Stamina alikuwa anatembea sana na machangudoa , halafu katoka kuoa tu ndoa changa, hata Shilawadu waliwahi kufatwa na Dada mmoja kazulumiwa hela baada ya sex na stamina , Stamina akabisha, ikafanyika kuunganishwa kwenye simu akakiri hadharani baada ya kuunganishwa maongezi. , kumbe alimdanganya mke wake ameenda kwenye show , walikuwa na Roma .
Hata Roma na yeye ndio zake , wakienda mikoani ni hivo hivo ,
Sasa nashangaa Stamina Anamuhukumu mke wake na kuwashauri watu wasioe ,
Narudia mwenye matatizo makubwa ni Stamina ,
Ndoa ya Roma imeyumba sana kidogo ivinjike kwa uhuni wao huo huo na Stamina , sema yule Dada Nancy mvumilivu na tayari ameshazaa na Roma watoto wawili ,