Alikufa ghafla!
Kumfananisha Kubenea na Stan, ni kumpandisha tuu chati Kubenea, Stan alikuwa akiandika investigative journalism kwenye developing story, Kubenea anaandika udaku kwenye medani za siasa, sio uchunguzi in a really sense ya uchuguzi.
Waliotaka kufuata nyanyo za Katabalo, ni This Day na Kulikoni, walioanza, wakati wakifuatilia story ya Rada.
Alikufa ghafla!
Kumfananisha Kubenea na Stan, ni kumpandisha tuu chati Kubenea, Stan alikuwa akiandika investigative journalism kwenye developing story, Kubenea anaandika udaku kwenye medani za siasa, sio uchunguzi in a really sense ya uchuguzi.
Waliotaka kufuata nyanyo za Katabalo, ni This Day na Kulikoni, walioanza, wakati wakifuatilia story ya Rada.
maccm utajuwa tu!!
Huwezi kumfananisha huyu jamaa na saed kubenea,,, kubenea ni msaka tonge aliyebobea,, jana lowassa mwizi na ushahidi huu hapa,, kesho tena lowassa sio mwizi na ushahidi huu hapa,, sasa unataka kumuita huyu kamanda au mwandishi wa habari za kiuchunguzi?? kama hana hata uhakika na hizo habari zake za kiuchunguzi na kujibishia mwenyewe!!!
Ni kawaida ya binadamu maiti huwa ni bora kuliko anayeishi,kubenea akifa ndio mtamsifia angekuwa msaka tonge wasinge tafuta kumuua.
Nafikiri watu wengi mnakumbuka yule mwandishi wa habari miaka ya themanini na tisini marehemu stan Katabaro,alikuwa ni mwandishi mahiri kwa miaka ya leo hana tofauti na Saed Kubenea,Johnson Mbwambo,nauliza kifo chake kilisababishwa na nini hasa?wanaokumbuka watujuze
Kwani huyo Kubenea kashaandika nini cha maana tangu ameanza.Maana makala za Richmond amesema siyo za kweli.
tukuyu nakubaliana na wewe. Hakuna gazeti kama Mfanyakazi na Motomoto. Mimi nakumbika ktk gazeti la Mfanyakazi kulikuwa na makala maridadi za michezo zilizoongozwa na mhariri mahiri aliyeitwa James Nhende.Hakuna kama Stan Katabalo. Apumzike kwa amani. Hakuna gazeti kama Mfanyakazi na Motomoto, yapumzike kwa amani!
This is living[=color] kama alivyoandika Agoro Anduru!Kumbe hata Agoro Anduru alishafariki, so sad. Hadithi za Kiswahili za magazetini zilizonivutia wakati huo ziliandikwa na huyu Anduru (RIP), Ben Mtobwa, Hammie Rajab, Sam Kitogo (napenda nisikie kuwa hawa bado wako hai). Siku hizi hakuna gazeti la kiswahili lenye hadithi nzuri, ule uandishi umeondoka na wahusika.
Mgumia alishafarikiHuyo bwana ndiye aliyekuwa mhimiri wa kashfa ya Loliondo kabla ya kutolewa Wizara ya Utalii na kupelekwa kuwa RC Singida. Hivi siku hizi yuko wapi huyo Mgumia?
RIP Katabaro.....Namkumbuka sana jinsi alivyokuwa mwandishi mzuri sana na asiye na woga.
Wadau naomba pia mkumbuke jamaa mmoja anaitwa Anthony Ngaiza ambaye aliwahi kuwa editor wa Family Mirror kwenye miaka ya 1992/93 kabla ya kuhamia MCT. Tunahitaji kweli kuwakumbuka hawa jamaa!
Huyo Katabalo alipotea tu Ghafla Kama Ben na Azory au ye alikufa Ghafla?Alikufa ghafla!
Kumfananisha Kubenea na Stan, ni kumpandisha tuu chati Kubenea, Stan alikuwa akiandika investigative journalism kwenye developing story, Kubenea anaandika udaku kwenye medani za siasa, sio uchunguzi in a really sense ya uchuguzi.
Waliotaka kufuata nyanyo za Katabalo, ni This Day na Kulikoni, walioanza, wakati wakifuatilia story ya Rada.
Loriondo gatenani anakumbuka issue ya lolionda gate. ukiijua hiyo vema utakuwa unamjua katabaro tunayemzungumza. alikauka ghafla mpaka wa leo watu makini wanasikitika jamani katabaro. where is he We miss him so much. R.I.P