Hakika.Da! umenikumbusha mbali. ktk makala zake za mwisho aliwahi kuandika kuwa, "Najua nitakufa na kalamu yangu ndio inaniua,lakini ktk vizazi vijavyo watatamani kuona fuvu langu ili atathmini ubongo wangu umekaaje." na kweli leo yametimia...mwana jf amekumbuka mzimu wake... RIP Katabalo
Faraji katalambula,hammie rajab,na Eddie ganzer.umenikumbusha mbali sana,miaka ya 1980 ndio namalizia shule ya msingi.Kumbe hata Agoro Anduru alishafariki, so sad. Hadithi za Kiswahili za magazetini zilizonivutia wakati huo ziliandikwa na huyu Anduru (RIP), Ben Mtobwa, Hammie Rajab, Sam Kitogo (napenda nisikie kuwa hawa bado wako hai). Siku hizi hakuna gazeti la kiswahili lenye hadithi nzuri, ule uandishi umeondoka na wahusika.
Bora ndimara tegambwage,ngurumo hakuna chochote,hao ni waandishi wa udaku tu.ndimara tegambwage,ansibert ngurumo,paschal mayega,lakini bado katabalo is still no one.
Sante sana Paschal,nikeona niweke sawa hili maana Kabendera alijijengea heshma kubwa si vyema kumchafua.Mkuu balibabambonahi , asante sana for this, marehemu watendewe haki. Hivyo huku ni kumtendea haki Kabendera Shinani.
P
Huu ndiyo ulikuwa muda sahihi wa Pascal Mayalla kujitwalia tuzo ya Nobel endapo ungejikita kwenye uandishi wa habari za uchunguzi. Najua hii kazi umesomea, una weledi nayo na iko ndani ya uwezo wako. Sijui unakwama wapi Pascal Mayalla ??Alikufa ghafla!
Kumfananisha Kubenea na Stan, ni kumpandisha tuu chati Kubenea, Stan alikuwa akiandika investigative journalism kwenye developing story, Kubenea anaandika udaku kwenye medani za siasa, sio uchunguzi in a really sense ya uchuguzi.
Waliotaka kufuata nyanyo za Katabalo, ni This Day na Kulikoni, walioanza, wakati wakifuatilia story ya Rada.
Ashafikishwa kwa mnyezi Mungu.Shujaa Stan Katabaro ..........Mungu aiweke roho yako patakatifu Amina!
Naikumbuka sana Kashfa ya Loliondo..................iko siku wahusika watajibu kama si mbele ya umma wa Watanzania basi mbele ya Mungu!
Inasadikika ilikuwa ni maagizo kutoka CHADEMAHuu ndiyo ulikuwa muda sahihi wa Pascal Mayalla kujitwalia tuzo ya Nobel endapo ungejikita kwenye uandishi wa habari za uchunguzi. Najua hii kazi umesomea, una weledi nayo na iko ndani ya uwezo wako. Sijui unakwama wapi Pascal Mayalla ??
Labda nikusaidie mambo ya kuyachungiuza na kuja na stori kamili.
1. Akina nani walimuua Chacha Wangwe?
Katafute taarifa polisi Geita na Mahakamani kule2. Akina nani walimuua Alphonce Mawazo.
Mazingira yale ya uhasama yaliletwa na Vyama vya Siasa. Walifikiri wakimtoa kafara mwenzao machafuko yatatokea na Serikali itaanguka.3. Kwann serikali ya ccm haitaki kuchunguza tukio la Lisu kupigwa risasi?
Wacheni wivu mtaona .4. Kwann Makonda anazidi kupewa vyeo na serikali ya ccm ili hali watanzania wote na dunia kwa ujumla tunajua kuwa ni mtoa roho za watu?
U.S.A ndio nchi peke yake Duniani inayodhulumu watu haki zaoUSA waliosema anadhulumu watu haki ya kuishi.
Waarabu na Wazungu5. Nani wamiliki wa DP World?
Nenda ikulu ukaulize. Acha Uzushi6. Uko wapi ukoo wa babake rais Samia? Baba wadogo, mashangazi, n.k. Au tuamini tunayoyasikia?
Mkuu Sexless , kwanza nikushukuru kwa imani yako kwangu, ni kweli hayo yote yako ndani ya uwezo wangu, na kiukweli sijakwama popote bali ni mipangilio tuu!.Huu ndiyo ulikuwa muda sahihi wa Pascal Mayalla kujitwalia tuzo ya Nobel endapo ungejikita kwenye uandishi wa habari za uchunguzi. Najua hii kazi umesomea, una weledi nayo na iko ndani ya uwezo wako. Sijui unakwama wapi Pascal Mayalla ??
Hili halihitaji uchunguzi, ile ilikuwa ni ajali tuu, ila eneo la Pandambili ni very notorious kwa ajali za ajabu ajabu, sio ajali ya Wangwe tuu , hata Salome Mbatia alipatia ajali eneo hilo hilo na kupoteza maisha!. Mimi mwenyewe nilipatia ajali eneo hilo hilo, nikaponea tundu la sindano!Labda nikusaidie mambo ya kuyachungiuza na kuja na stori kamili.
1. Akina nani walimuua Chacha Wangwe?
this is valid2. Akina nani walimuua Alphonce Mawazo.
this is valid but very dangerous undertaking3. Kwann serikali ya ccm haitaki kuchunguza tukio la Lisu kupigwa risasi?
I knows about this, its not true.4. Kwann Makonda anazidi kupewa vyeo na serikali ya ccm ili hali watanzania wote na dunia kwa ujumla tunajua kuwa ni mtoa roho za watu? USA waliosema anadhulumu watu haki ya kuishi.
Ni ukoo wa kifalme wa Dubai5. Nani wamiliki wa DP World?
Hii inaingilia the right to privacy, kama hatukuuliza kwa Nyerere, Mwinyi, Ben, JK na.JPM, why Samia?.6. Uko wapi ukoo wa babake rais Samia? Baba wadogo, mashangazi, n.k. Au tuamini tunayoyasikia?
mi niliuliza alipokufa ..marehem katuachaje na loliondo?Nilishangaa kila mtu anasifia utawala wa Mwinyi na kusahau Loliondo
Sexless akili kubwa👍👍Huu ndiyo ulikuwa muda sahihi wa Pascal Mayalla kujitwalia tuzo ya Nobel endapo ungejikita kwenye uandishi wa habari za uchunguzi. Najua hii kazi umesomea, una weledi nayo na iko ndani ya uwezo wako. Sijui unakwama wapi Pascal Mayalla ??
Labda nikusaidie mambo ya kuyachungiuza na kuja na stori kamili.
1. Akina nani walimuua Chacha Wangwe?
2. Akina nani walimuua Alphonce Mawazo.
3. Kwann serikali ya ccm haitaki kuchunguza tukio la Lisu kupigwa risasi?
4. Kwann Makonda anazidi kupewa vyeo na serikali ya ccm ili hali watanzania wote na dunia kwa ujumla tunajua kuwa ni mtoa roho za watu? USA waliosema anadhulumu watu haki ya kuishi.
5. Nani wamiliki wa DP World?
6. Uko wapi ukoo wa babake rais Samia? Baba wadogo, mashangazi, n.k. Au tuamini tunayoyasikia?
Huyu Nyanganyi yuko wapi? Namkumbuka kutokana na kashfa ya kivuko cha UNIFLOAT pale ferry! Jamaa alishirikiana na marehemu colonel. Kashmir wakapiga hela kwa kununua ferry MTUMBA!’RIP....Stanley Katabalo
Je mnakumbuka kile kisa cha balozi wetu wa Ufaransa.....nafikir wakti ule alikuwa Mh Anthony Nyaki................na mazungumzo ya simu na Mh. Mustapha Nyang'anyi...........dah!
Nimekumbuka mbali Sana. Antony Ngaiza Alumni, Nsumba Secondary School, 1971.Huyo bwana ndiye aliyekuwa mhimiri wa kashfa ya Loliondo kabla ya kutolewa Wizara ya Utalii na kupelekwa kuwa RC Singida. Hivi siku hizi yuko wapi huyo Mgumia?
RIP Katabaro.....Namkumbuka sana jinsi alivyokuwa mwandishi mzuri sana na asiye na woga.
Wadau naomba pia mkumbuke jamaa mmoja anaitwa Anthony Ngaiza ambaye aliwahi kuwa editor wa Family Mirror kwenye miaka ya 1992/93 kabla ya kuhamia MCT. Tunahitaji kweli kuwakumbuka hawa jamaa!
Achana nao, wengi wao ni watoto wasiojua tulikotoka na viongozi kama Ali Hasan Mwinyi aliyeigeuza Ikulu yetu Takatifu kuwa pango ya walanguzi.Nilishangaa kila mtu anasifia utawala wa Mwinyi na kusahau Loliondo
Sasa kama kulikuwepo changamoto kama hizo kwa waandishi wazalendo kama Katabalo kwa nini hatukuzisikia katika wasifu wa mzee wetu aliyepumzika kule mangapwaniNafikiri watu wengi mnakumbuka yule mwandishi wa habari miaka ya themanini na tisini marehemu stan Katabaro,alikuwa ni mwandishi mahiri kwa miaka ya leo hana tofauti na Saed Kubenea,Johnson Mbwambo,nauliza kifo chake kilisababishwa na nini hasa?wanaokumbuka watujuze
Katabaro alikuwa mwandishi imara wa uchunguzi , kifo chake mama yangu alinikataza kusomea uandishi wa habari fani ambayo niliipenda sana.Nafikiri watu wengi mnakumbuka yule mwandishi wa habari miaka ya themanini na tisini marehemu stan Katabaro,alikuwa ni mwandishi mahiri kwa miaka ya leo hana tofauti na Saed Kubenea,Johnson Mbwambo,nauliza kifo chake kilisababishwa na nini hasa?wanaokumbuka watujuze
Utawala ulikuwa dhaifu kwa Tanzania hii ,alishindwa kukusanya kodi, madawa ya kulevya ,walanguzi kujaa Ikulu huku Mke wake Siti akiwakaribisha .Achana nao, wengi wao ni watoto wasiojua tulikotoka na viongozi kama Ali Hasan Mwinyi aliyeigeuza Ikulu yetu Takatifu kuwa pango ya walanguzi.
Hawajui walikopotelea tausi waliotapakaa katika viwanja vya Karimjee na kuwa kivutio tosha kwa wageni waliobahatika kutembelea viwanja hivyo.
Hawajui kichowakuta wastaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki baada ya mafao na pensheni zao kukabidhiwa serikali ya Mwinyi iwafikishie.
Hawajui...ngoja niachie hapo kwani orodha ni ndefu sana. Kujadiliana na watoto wa aina hiyo ni heri ujadiliane na meza...
Usipepese macho , sema tu ukweli- mmoja wa wahusika wakuu tumemuona juzi akitembelea mkongojo, wengine kama akina Ndolanga wameshatangulia mbele za hakiNaikumbuka sana Kashfa ya Loliondo..................iko siku wahusika watajibu kama si mbele ya umma wa Watanzania basi mbele ya Mungu!