sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,632
- 4,737
Hakuna ubinifu,hata stendi yenyewe ni kizingumkuti.You can imagine mtu na nyumba yake moja anakiwa na visima hata viwili Sasa stand kama hii inainginza how much per hour?
This is pathetic
Haya mambo yanaanzia kwenye design,kama hakuna mataki makubwa ya maji ya ziada unategemea nini,au vyanzo vya maji mbadala.
Mazalio ya kipindupindu.