Stand kuu ya mabasi kukosa huduma ya choo kwa masaa zaidi ya sita kwa kisingizio za kutokuwa na maji ni uwendawazimu, hiki ni kioo Cha nchi

You can imagine mtu na nyumba yake moja anakiwa na visima hata viwili Sasa stand kama hii inainginza how much per hour?
This is pathetic
Hakuna ubinifu,hata stendi yenyewe ni kizingumkuti.
Haya mambo yanaanzia kwenye design,kama hakuna mataki makubwa ya maji ya ziada unategemea nini,au vyanzo vya maji mbadala.
Mazalio ya kipindupindu.
 
Nchi ina mito, ina maziwa, ina bahari lakini maji bado shida. Ni vigumu kuelewa.
 
Nchi hii tulishashindwa kusimamia mambo yetu
Alafu hapo haja ndogo,haja kubwa ukitaka huduma hiyo unatoa pesa

Ova
 
Ningekuwa ndiye mamlaka yake huyo anayesimamia stand hiyo hivi tunavyoongea angekuwa Nanguruwe anapulizia dawa mikorosho take. Huo ni uzembe hakuna sababu nyingine hapo.
 
Kwani ujui kuwa ccm yenyewe ni mafii
 

Yaani ni aibu kabisa. Mimi nikishaona mahali choo ni kichafu, hapo hujua akili yote ya muhusika. Sehemu ambayo ni lazima kwenda penda usipende panakuwaje pachafu? Kuna choo ukiingia siku nzima huwezi kula!
 
Labda viongozi wa hii stand wame zowea kutawaza na majani, ndiyo maana hawaoni umuhim wa maji!
 
Tanzania tunafunguaga mavitu kwa mbwembwe kweli......
Huko mbeleni sasa

Ova
 
Yaani ni aibu kabisa. Mimi nikishaona mahali choo ni kichafu, hapo hujua akili yote ya muhusika. Sehemu ambayo ni lazima kwenda penda usipende panakuwaje pachafu? Kuna choo ukiingia siku nzima huwezi kula!
Yaani watu hawapo responsible kabisa.
Sikuwahi fikiri kama kungekuwa na upumbavu wa namna hii.
Socket nyaya zipo wazi zimeharibika no preventive maintainance?
 
Yaani watu hawapo responsible kabisa.
Sikuwahi fikiri kama kungekuwa na upumbavu wa namna hii.
Socket nyaya zipo wazi zimeharibika no preventive maintainance?

Na hapo bado jengo ni jipya, chukua mia mitano mbele! Hapo ndio ujua.
 
Naamuru abiria wote wenye uhitaji wa kujisaidia,ww kuny@ popote upendapo,wahusika watakuja kusafisha.
Tumechoka kuwa na visingizio vya watoto wa chekechea.
 
Labda kipindi cha mwendazake sio kipindi hiki
 
Katika vitu nimegundua hatujali sisi waswahili ni choo. Unakuta choo kiko mahali pa umma lakini ni pachafu kupita maelezo. Unakuta watu wamevaa masuti mazito mazito lakini hivyo vyoo wanavyoenda kujisaidia ni bonge la aibu.
Tumerith uchafu kwa warabu na wahindi.
Choo mambo ya MABEBERU hayo, wametuacha mbali sana kwenye swala la choo. Mungu awabariki MABEBERU.
 
Unaweza ukavuna mbolea bora kabisa toka kwenye vyoo vya umma na
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…