Nilimwambia watu hapa wanasema naongopaKuna kisiwa kimoja nilifika huko kinaitwa IRUGWA kimepaka na kisiwa kingine kinaitwa LYEGOBA ukanda wa ukerewe na mara aise huko kuna guest kama za mjini ni balaa yan balaa. Kuna kiwanja kimoja wanakiita NYEGEZI aise starehe za huko sio mchezo...Kuna raha za ajabu ukienda huko unaweza tamani ubaki huko.
Ghana na Siza pia nimefika mkuu sio mchezo nilitoka huko nimenenepa balaa maana ilikua ukiamka asubuhi ni supu ya sato/sangara za kutosha supu mchuzi mzito rangi ya maziwa plus viazi vya kuchemsha....yan ilikua ni mwendo wa kula michemsho tu.Nilimwambia watu hapa wanasema naongopa
Siku nyingine fika Ghana na Siza
Hii nakubali Kwa asilimia kubwa kuna mtu ana chale zaidi ya miaNdugu yangu huyu mleta mada kati ya vitu kasahau kusema kuwa vipi huko ukerewe ni UCHAWI !
Kule kurogwa ni wakati wowote tena ukifika kule lazima ujaribiwe!.
Wewe ogopa mahala ambapo kiongozi wa dini akiambiwa aende huko huko anaona kapewa mtihani mkubwa sana kwasababu kuna baadhi wamefika huko kutangaza neno la mungu usiku we akalala vizuri vyumbani mwao na asubuhi wakajikuta wamelala ufukweni mwa ziwa Victoria.
Ikiwa mahala wanawaroga hadi viongozi wa dini jua hapo mahala wachawi wameshindikana!.
Nakumbuka nilirudi mkoani nikiwa nimeimarika sana upande wa mambo ya sita kwa sita nilikua na energy ya kufa mtu mpaka wife akawa anashangaa.....Ghana na Siza pia nimefika mkuu sio mchezo nilitoka huko nimenenepa balaa maana ilikua ukiamka asubuhi ni supu ya sato/sangara za kutosha supu mchuzi mzito rangi ya maziwa plus viazi vya kuchemsha....yan ilikua ni mwendo wa kula michemsho tu.
🤣😅😃Supu ya sato tena ambaye hajapita kwenye fridge Huwa ndo mambo yoteNakumbuka nilirudi mkoani nikiwa nimeimarika sana upande wa mambo ya sita kwa sita nilikua na energy ya kufa mtu mpaka wife akawa anashangaa.....
😂😂😂 ngere niliwahi kuwala aise huko Irugwa aise niwatamu balaa sio mchezo hasa wakiwa kama wanakaribia kuharibika hivi yan supu yake ni balaa mkuu...kuna samaki mwingine anaitwa Hogwe duuh huku mjini hatuenjoy bhana.🤣😅😃Supu ya sato tena ambaye hajapita kwenye fridge Huwa ndo mambo yote
Ukienda kipindi cha kiangazi Kuna samaki anaitwa ngere huyo ukimla basi ni mwendo wa kutochoka
Nilikutana na demu pale nansio alinipa mauno sijawahi ona hata kwenye video za porn🤣
According to samaki experts not according to me.Wewe unapotosha.
Hongwe, kamongo, sato, Sangara😂😂😂 ngere niliwahi kuwala aise huko Irugwa aise niwatamu balaa sio mchezo hasa wakiwa kama wanakaribia kuharibika hivi yan supu yake ni balaa mkuu...kuna samaki mwingine anaitwa Hogwe duuh huku mjini hatuenjoy bhana.
Kama babu na bibi zako walizikwa huko na kama walikua ni upande wa baba yako basi bila shaka na ww ni mkerewe?Taarifa zako sio zote za kweli
Kuna nyingine hapo ni za uongo
Mfano umesema hiyo taarifa kwamba watu kule mtu akifa anatupwa ziwani
Hii taarifa sio sahihi.
Nina ndugu zangu Ukerewe
Babu/Bibi walipofariki tulienda kuwazika kule kule Ukerewe.
Makaburi yapo, na watu
Nimekwambia visiwaniTaarifa zako sio zote za kweli
Kuna nyingine hapo ni za uongo
Mfano umesema hiyo taarifa kwamba watu kule mtu akifa anatupwa ziwani
Hii taarifa sio sahihi.
Nina ndugu zangu Ukerewe
Babu/Bibi walipofariki tulienda kuwazika kule kule Ukerewe.
Makaburi yapo, na watu wanazikwa
Hasa hilo la kutupa maiti ziwani nahisi katudanganya.Story zako Zina kahawa nyingi.
Hiki ni kisiwa cha Goziba kipo mkoa wa Kagera. Hao watafiti wako wa UNDP nina mashaka nao, askari wa hapo wanatoka Kagera sio mwanza kwa maana ya ukerewe. Nina mashaka na taarifs yako kuwa hakuna doria kama askari wapo.
View attachment 3270920
View attachment 3270921
Punguza uongo ktk maandiko yako mengi unayoandika. Yana uongo mwingi usio na maana
Kwahiyo Ukerewe sio Kisiwa, ama una maana nyingine ya neno Kisiwa?Nimekwambia visiwani
Sio kila Ukerewe ni visiwani
Ww kweli ulikaa aise...mimi visiwa vya huko karibia vyote nimefika na kukaa huko almost mwezi mzima....kuna kisiwa kimoja kinaitwa BWIRO nacho ni balaa moto wa kuotea mbali.Hongwe, kamongo, sato, Sangara
Au upate furu na ugali
We maisha ya visiwani ni matamu
Kuna kisiwa kinaitwa LYEGOBA nakumbuka kipindi hicho nimeishi huko ilikua haipiti wiki kusikia kuna mtu kauliwa kwa kuchomwa kisu yan ilikua ni jambo la kawaida mkuuNimekwambia visiwani
Sio kila Ukerewe ni visiwani
Ww ni mkerewe?Kwahiyo Ukerewe sio Kisiwa, ama una maana nyingine ya neno Kisiwa?
Asante Kwa marekebisho.Taarifa zako sio zote za kweli
Kuna nyingine hapo ni za uongo
Mfano umesema hiyo taarifa kwamba watu kule mtu akifa anatupwa ziwani
Hii taarifa sio sahihi.
Nina ndugu zangu Ukerewe
Babu/Bibi walipofariki tulienda kuwazika kule kule Ukerewe.
Makaburi yapo, na watu wanazikwa