Hahaa[emoji23][emoji23], hutaki shida kabisaaPale mi huwa napita kununua luku tu
[emoji23][emoji23] mkuu umeandika kwa uchungu sana.Waliniuzia wali samaki elfu 18 pale samaki samaki sitasahau
MABIBO 500Tandika Tshs 1000/=
HAHAAHHA WATAKUZINGUAMie huwa nawashangaa sana watu wa mjini.!
Unapojua kuwa huna hela unashindwaje kubeba vitu kutoka nyumbani kwenu?
Beba maji ya kunywa kwenye jagi, vitumbua au mabumunda, chupa ya togwa, jamvi la kukalia, kopo la kukojolea vingine utakavyoona vinakufaa!
Bei zao zimekaaje? maana kwa usawa huu mwisho wangu huwa ni 50K hapo demu mdada atakunywa na tutaondoka nae..
Tofouti na hapo hapana kwa kweli...
Nimekumbuka enzi za chuo tulikua tunaenda kununua maapple na chocolate ili mradi tu tutoke na mfuko wa ShopRite
Tunaingia Mr Price tunazungukaaa tunaulizia bei ya kila nguo ..[emoji1787][emoji1787] khaa!
Tuchips twa marybrown Sasa..haushibi ila basi tu udada duu nasisi tuonekane tunakula pale..[emoji1787][emoji1787]ujinga aisee
Eti au mnajitoa akili tu! teh.Hivi wakuu nyie mnawezaje kumudu bei za pale kuanzia vyakula mpaka vinywaji?
Kuna siku nimeuziwa glass ya juice ya pineapple 5000, mpka nikajicheka, nikauliza popcorn za chumvi eti 4000..wale watu sidhani kama wapo serious..
Imefika muda nikienda yale maeneo nakuwa mziko kutumia visenti vyangu, hivi nyie mnaokula pizza, bugger na kulewa pale samaki samaki mnaweza vipi? Au mnajitoa akili tu?
Kweli bora uwaambie mara moja moja unaridhisha nafasi maisha yenyewe mafupi haya.... Unavibania vinakuja kuliwa na wengineM/city haina uzuri wowote, samaki samaki pia ni yakawaida sana. Nimekula chips samaki pale mara kadhaa na juice, bei zao ni za wastani kwangu mimi, sio ghali na wala sio rahisi kivile. Mara ya mwisho kuwa pale tulikuwa na kampani ya Lugumi na alitoa ofa kwa wadada waliokuwa pale mida ya saa kumi na moja hivi jioni. Ingawa Lugumi hakuwa na kawaida ya kunywa whisky ama beer kutoka bar, mabaunsa wake walikuwa wanashuka na vinywaji kutoka kwenye msafara wake ndio alikuwa anakunywa hivyo. Wakuu muwe mnatembea na kuingia sehemu expensive walau mara tano kwa mwaka. Sasa mkuu ukienda Moyo Kitchen ama Coral Ridge Spur si ndo utazimia kabisa wewe, Maisha mafupi wakuu tembeeni musipige mahesabu sana.
Duuuh tugawane utajiri bestKafie mbele na umaskini wako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jibu la kikubwa hiliiUkiona unalalamikia bei za vitu ujue baado una safari ndefu kiutaftaji mkuu.
Wewe kula kwa akina mama ntilie huku ukiendelea kukaza misuli kutafta.