Starehe za Mlimani City na bei za ajabu ajabu

Starehe za Mlimani City na bei za ajabu ajabu

Umesahau bei ya mademu wanaojiuza hapo mkuu!
Kwanza huwa wanakodi magari na kujifanya ni yao ili ukiwaibukia wakuuzie mbunye kwa 500k!!
Afu mbunye yenyewe sasa!!!! Haina hata ladha basi tu imebebwa na mitako mikubwa.

Kaka una dharau 🤪🤪
 
Ni upumbavu hata kama ninahela siwezi tumia kiupuuzi ivyo, hapa si newyork useme ndio nipo nchi ambayo hata matunda yanatoka nje ya nchi ndo maana hata natural juice naweza nunua kwa dola 15 kwa glasi, yani ni sawa sawa mtu alie uarabuni ana gari alafu aende sheli inayouza petrol dola 2 kwa lita wakati zipo nyingi petrol ni 0.30$ per lita Wtf
 
Mulls ni kwa ajili ya Middle class kwanza kwa Tanzania tumechelewa sana ukienda Nairobi hizo kama Mlimani City zipo hadi hazina Idadi na ni Ghari vibaya mno ila unakuta kuna watu wana spendi mbaya sana.

Na kwa sababu ni kwa Ajili ya Middle class basi watu wao spend kule huwa wanatarajiwa kuwa wenye uwezo wa kati na wa juu.

Kwa watu wa vipato vya Chini pale sio sehemu yao kabisa labda tu kwenda kupiga picha.
msalimie Chris Kirubi
 
Bei za bongo wanachekesha kweli.Kama hawa siku hizi walokuja na kiatu 150,000 afu "daakombain" wakati angeuza 45,000 kingempa faida.
 
Ha ha ha lazima uchoke.. Sasa watu wanaleta ubishi humu eti ni kawaida!
Eti au mnajitoa akili tu! teh.

Niliwahi kunywa juisi glass mbili pale (kiu kilinikamata mida ya jua la utosi). Naletewa bili shilingi elfu 10. Nilichoka!

Ndio maana wengine wanaendaga kupiga picha na kufanya window shopping tu!
 
Kuna dem m1 nilimtafuna pale fish fish,anajifanyaga kuvaa pete ya ndoa,wakat hata hajaolewa white hiv,mhudumu...jina linaanzia na H.mrembo hatar tatzo ni hyo kaz yake ndio ilinifanya nipige na kusepa,angekua na kaz nyingne ningehamia mazima..
Mh,kaka,samahani.Kazi yake nadhani si tatizo sana.Wapo wenye kazi za hadhi lakini wana kila ovu na baya unalodhania kwa huyo dada 'white'...TENA KWA ZIADA na utakimbia mwenyewe hatimae.Huyo 'white' aweza kuja kupata mtu,akatulia na ukasahau ndiye yule na akatamanika tena, huku mwoaji akipata utulivu wa penzi la dhati toka kwa mwanamke huyo.
Kazi nzuri zaficha uchafu mwingi sana lakini katika uhalisia,wapo kibao wenye kazi za hadhi,staha,walioelimika vema lakini ni ni 'stigler' ya aibu,flustrations,tabia mbovu na chafu na hata maumivu.
Anyway, ni uchaguzi binafsi wa mtu tu lakini!
 
Mjini mahesabu
Nshalewa sana samak samak..unakunywa kwa strategy na ukishazoeana na wadada wale bas mambo ni swaf nakufundisha sasa tunalewaje
1.kwanza usinywe bia...kunywa shots zile kadhaa,mi wadada wale ni maswahiba so nakunywaga shots 5 kwa elf12,namwambia kabisaaa sina hela leo..ukijifanya unahela imekula kwako

2.then kama mtu wa nyag ongeza kabapa kadogo kale ka1 una.wambia,akuwekee kwenye glass kubwa ile wala,asikuletee lichupa so mtu akija pale anaona tu maj meupe anahisi pombe ya gharama

3.mwisho,unaburudika na kamziki kula unaenda kula on the way home
Mwishi wa siku najikuta nmetumia elf20 tuu samak samak ma.mae.
 
Wangeuza hata buku 2...popcorn za chumvi buku 4..jamaa hawako serious
Ila ushawahi jiuliza gharama za AC na zile public toilets nani anawalipa wale jamaa wanaofanya usafi. Wewe mteja ndio unalipia kwa kuongezewa bei ya bidhaa, pia pango la mlimani city ni kubwa sana ukilinganisha na sehemu nyenhine
 
Hicho ndiyo Kijiwe Kikubwa na Makao Makuu ya Kupumzika ( Kula Bata ) na Kupanga Mikakati zaidi kwa Wauza Dawa za Kulevya wengi nchini Tanzania , Matapeli wakubwa nchini na Mafisadi pamoja na Wala Rusha wakubwa pia. Kama ulikuwa hulijui hilo pole mno Mkuu na natumai kwamba kuanzia leo utakuwa umeshapata Jibu lako. Fanya Utafiti wako juu ya haya niliyokuambia na najua ipo Siku utakuja Kukubaliana nami hapa hapa.
Kweli aiseee mchimba chumvi hawezi tia mguu pale, wale ni watu wenye pesa fulani zisizo na mawazo
 
M/city haina uzuri wowote, samaki samaki pia ni yakawaida sana. Nimekula chips samaki pale mara kadhaa na juice, bei zao ni za wastani kwangu mimi, sio ghali na wala sio rahisi kivile. Mara ya mwisho kuwa pale tulikuwa na kampani ya Lugumi na alitoa ofa kwa wadada waliokuwa pale mida ya saa kumi na moja hivi jioni. Ingawa Lugumi hakuwa na kawaida ya kunywa whisky ama beer kutoka bar, mabaunsa wake walikuwa wanashuka na vinywaji kutoka kwenye msafara wake ndio alikuwa anakunywa hivyo. Wakuu muwe mnatembea na kuingia sehemu expensive walau mara tano kwa mwaka. Sasa mkuu ukienda Moyo Kitchen ama Coral Ridge Spur si ndo utazimia kabisa wewe, Maisha mafupi wakuu tembeeni musipige mahesabu sana.
Aseee nomaa
 
Kitu kinachotupa bei, katika uchumi, ni makutano ya curves za demand na supply, ceteris paribus (all factors being equal).

Katika curves za supply/ demand zinazotupa price kwenye uchumi, kuna abnormal curves.

Kawaida, katika free market, kwa ceteris paribus, price ikiwa chini watu wengi wanakuwa na uwezo wa kununua kitu, demand inakuwa kubwa kuliko supply, bei inapanda mpaka demand, supply na price vinapo stabilize.

Kwa mfano wa Mlimani City, bei za chini zinaweza kujaza watu hapo mpaka ikawa vurugu, pakawa hapakaliki. Na wenye biashara wakiona kwamba kuna wateja wapo hata tukipandisha bei, watapandisha, mpaka pale watakapoona hapa sasa tukipandisha zaidi tutakosa wateja.

Kawaida kitu kinavyozidi kuongezeka price, demand inazidi kupungua.

Lakini, kuna abnormal curves zipo katika vitu kama "luxury goods", kuna vitu vingine vikiwa na bei ya juu ndipo watu wanavitaka, vikiwa na bei ya chini inaonekana kama feki.

Yani inawezekana kitu kisiwe na chochote cha ajabu, ila ile branding tu inafanya bei iwe juu, na watu wanaotaka kujionesha wana hela za kununua vitu vya bei ya juu watanunua.

Ndiyo maana unasikia Kanye West katoa raba inauzwa kwa dola za Marekani 350! Na watu wanaunua, wanataka waonekane wamevaa kitu cha bei mbaya.

Kwenye sehemu za starehe, kuna watu wamejijengea mawazo kwamba sehemu zenye vitu vya bei rahisi zitajaa watu wasio na hela wenye matatizo mengi na wasio na ustaarabu, na kwamba ukienda sehemu za vitu vya bei mbaya utaepuka kukutana na matatizo ya ku socialize na watu wa ngazi za chini za jamii.

Inawezekana hapo Mlimani City/Samaki Samaki panafuata abnormal curve ya "luxury goods/services".

Ila Mlimani City kwa mfano Samaki Samaki kusema unatanua kiota cha maraha naona bado sana.

Nilipelekwa na wadogo zangu nilivyorudi likizo, kufika tu, mwenyewe najua hapa hakuna mtu anayenijua, mchizi mmoja akaanza kupiga kelele kama kaona jini ananiita jina langu, anawaambia watu "mnamjua huyu nani? Mnamjua huyu nani?" kama vile Prince Akim kwenye "Coming To America", nikamwambia cool down, you are putting me on the spot.Jamaa hakutegemea kabisa kuniona pale kwa sababu nilikuwa nimejichimbia nje miaka 10 kabla ya hapo.

Kwa hiyo labda kama sehemu inayoweza kuwakutanisha watu waliotengana siku nyingi, watu wakajua kwamba pale ndipo wanyamwezi wote tunaoshuka Dar tutafika, panaweza kuwa na maana.

Na tukirudi na hivyo vidala vyetu, hizo juisi za sh 5,000 hata USD 2 hazijafika bado, kwa hiyo hatuoni cha ajabu kulipa kama hilo litamaanisha tunakutana na long lost friends.

But the place could be better.
"Mnamjua huyu ni nani.. Mnamjua huyu ni nani".
 
Hahahaha,.
Umesahau bei ya mademu wanaojiuza hapo mkuu!
Kwanza huwa wanakodi magari na kujifanya ni yao ili ukiwaibukia wakuuzie mbunye kwa 500k!!
Afu mbunye yenyewe sasa!!!! Haina hata ladha basi tu imebebwa na mitako mikubwa.
 
Pale wanaenda watu walio iweza hii dunia sio wachimba chumvi wale wanaokaa kwenye miti mirefu kusubiri jua lizame walale kama ndege, so wanaenda wakijua wanachokifanya upgrade level ya maisha utaelewa zaidi dunia ikoje.
 
Back
Top Bottom