Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #261
In any way my coachπππAnha,howπ³
Yeah, ukiweka hela kwa wakala wa bank- una pata ka risiti - Basi furaha tellπππYaan jioni unakaa zako unahesabu afu nazitenga tenga narecord vzr Aisee naenjoy sana
[emoji123]Kama una majukumu tayari basi badilisha mfumo wako wa kupumzika. Badala ya kutazama movie fanya kitu kingine mfano kumtoa binti wa jirani aliye 18+ dinner mkaongea mawili matatu, kumtembelea rafiki yako kwake, kujifunza kitu kipya mfano lugha.
Mambo ni mengi mda wa kuishi mchache huwezi yamaliza.
Ndugu yangu namjua huyo miyeyushomshamba_hachekwi ndo sababu ya wanna kutaka kulipuanaππ
Mkuu unacheza game gani?Dah kweli nime amini maisha Yana hitaji mengi.
[emoji117]Mwezi huu Umekuwa wa kiutofauti sana upande wangu, aisee niko bored kinyama.
Starehe zangu ni kula, kucheza game na kuangalia series.
[emoji117]Sinywi pombe, sivuti bangi na hata sio mtu wa viwanja.
Naona vitu ni vile vile, nothing seems new to me.
[emoji117]Watu wa style kama yangu, huwa mnaishije[emoji855]
View attachment 2783816
Special ops, FIFA, pes, un charted 3, na mengi yapo
Na kill Waka SanaππππNdugu yangu namjua huyo miyeyusho
Bora wamelipuliwa kabla hawajaanza kutupa faida
[emoji1666] 100Γ mkuuMadam SI tuna Tafuta pesa, ili tufanikishe na tuishi ndani ya Malengo yetu[emoji848]
Tuzingatie yaliyo muhimu kwetu πͺπͺ[emoji1666] 100Γ mkuu
Kuna time majiran wananiulizaga umerudi line, unajiuliza Sasa nilisafiri Kwenda wap?upo nao hapo hapo ila wanakuona kwa kuotea sana[emoji2]Tafuta mchuchu awe anakupa sapoti, sisi tusikua na marafiki wengi tunaishi kwa shida sana , unakaa mtaani watu hata hawakujui
Kabisa yaani mimi pia majirani siwajui ila wao wananijua , unakutana na mtu anakuchangamkia unajiuliza huyu nani mbona simjui alafu yeye ananichangamkia kumbe jirani yako.Kuna time majiran wananiulizaga umerudi line, unajiuliza Sasa nilisafiri Kwenda wap?upo nao hapo hapo ila wanakuona kwa kuotea sana[emoji2]
We mwenye kazi, huu Musa wa kujibu hapa une upata wapiπππInaonekana huna kazi ndio maana unapata muda wa kukaa kaa tu
ETS 2,imenipa ugonjwa wa kutokulala bila dawa mwaka wa 4 huu, game imenilevya vibaya sanaSpecial ops, FIFA, pes, un charted 3, na mengi yapo
Noma sana aseeh[emoji16][emoji16]Kabisa yaani mimi pia majirani siwajui ila wao wananijua , unakutana na mtu anakuchangamkia unajiuliza huyu nani mbona simjui alafu yeye ananichangamkia kumbe jirani yako.
Kumna mtu ana nijua, ila simjui mwezi wa 3 huuππππKabisa yaani mimi pia majirani siwajui ila wao wananijua , unakutana na mtu anakuchangamkia unajiuliza huyu nani mbona simjui alafu yeye ananichangamkia kumbe jirani yako.
Niwekee tu list yote nitatoa nilizozionaSI zozote ambazo huja ona???, Au lazima Mwaka huu??
MouseNiwekee tu list yote nitatoa nilizoziona