Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #321
Uli tegemea waku wekee ac ๐คฃ๐๐, cc mshamba_hachekwi ona kayakanyaga๐คฃ๐Ahahahahah weee wale jamaaa an tunafika kule wanasema ni operation ya nyumba kw nyumba alafu sasa...
.mkuu acha tuu nimechoka
Poor Brain Ali tegemea at pata u CEO wa Voda๐คฃ๐kazi ngumu uwakala
life gumu mzeiyaPoor Brain Ali tegemea at pata u CEO wa Voda๐คฃ๐
Hapo ceo wa Voda ana kula shisha na kusema ๐๐คฃ๐๐๐Walikua wengi..
Kuna mdau alisema twende na mabuti yenye sori ngumu ni kweli aiseeeeee pale unapewa kofia na tshirt... pia unapewa na location yako sasa wee assume unapelekwa kitunda kule ndani ndani.. mkuu acha tu.. nikasema bora niende kiwanda cha rasta nikasimame masaa 8 huko
Dogo Acha uoga, Kikubwa komaa mpaka meza ipindukeelife gumu mzeiya
tutajua huko mbele kwa mbeleDogo Acha uoga, Kikubwa komaa mpaka meza ipindukee
Kuna vodacom kaka ๐๐๐๐Kuna nini huko mjini ๐คฃ๐๐
Ujaelewa show ya kule mkuu oooh oooh wee acha tuu..Uli tegemea waku wekee ac ๐คฃ๐๐, cc mshamba_hachekwi ona kayakanyaga๐คฃ๐
Hapaana mkuu ila kule bana wee ukifika hamna haja ya kusema elimu yako kikubwa ujue kujieleza tuuPoor Brain Ali tegemea at pata u CEO wa Voda๐คฃ๐
Intell unajua pale waliokua wanakubali ile ishu ni ambao hawajapata mdokezo..Hapo ceo wa Voda ana kula shisha na kusema ๐๐คฃ๐๐๐
them go feel it
Them go run it now
Them go hold it
Then go๐คฃ๐๐
๐ mshamba_hachekwi
Ko ulivyo enda Ume paonaje๐คฃ๐๐Ujaelewa show ya kule mkuu oooh oooh wee acha tuu..
Mambo ipo kule
Kauli mbihu ni the future is exciting, Afu Waka taka kutu ulia mwanetu๐คฃ๐๐.Kuna vodacom kaka ๐๐๐๐
mambo mengine ukiyafikiria hupati majibuKauli mbihu ni the future is exciting, Afu Waka taka kutu ulia mwanetu๐คฃ๐๐.
๐ mshamba_hachekwi ๐คฃ๐
Aaaah yaaani hatari tupu...Ko ulivyo enda Ume paonaje๐คฃ๐๐
Oyaaa weee sikieni tuu jamani sikieni nyie khaaa ๐๐๐๐๐Kauli mbihu ni the future is exciting, Afu Waka taka kutu ulia mwanetu๐คฃ๐๐.
๐ mshamba_hachekwi ๐คฃ๐
Moderator vipi ? nimefungua humu katika page hii nikaona umenitag wakati kwnye notification sijajulishwa kuwaumenitagIAM watching expendable 4.
๐ Dream Queen, Mtu Chake, Mvaa Kobazi, Charles kilian, Franky Samuel, Introsagvert, adriz, Depal, Carleen, mshamba_hachekwi
View attachment 2786818
Daahhh hapo ndo kanuni ya how to get wealth Ina timia๐คฃ๐.mambo mengine ukiyafikiria hupati majibu
Mjini sipa wezi๐คฃ๐๐Aaaah yaaani hatari tupu...
An wanataka mtu sio anayejua kujieleza tuu pia ujue kutembea mfano Gerezani to Mbande/kisewe
Au Rangi 3 to Mbezi