Unaweza kuta wake zao wako mwezini kwny siku hizo 3.Mkuu hizi siku 3, naona Kama watu walio Kwenye ndoa Wana faidi.
👉But muda bado mkuu🙏
Boredom ikiingia unaweza kufanya yote hayo na ukabaki the same, na lazima ije at some point in life, hakuna kinachoenda, mwili mzito, kila unachofanya ni kama hakifai...Going somewhere during evening ndo mpango mzima kwakweli. Unaenda unakaa sehemu,unakunywa kongolo na ndizi 2 saaafi kabisa.Unakutana na watu wapya then unarudi home unalala. Si lazima unywe pia
Hahaha ujinga mtupu Ko girlfriend akiwa mpenda et ndo niwe mtafutaji Tunajifitie wenyewe life Yetu and our cash wanawake mtakuja Tu Mpo kwenye circleKama upo bored basi jua hiyo sio life style yako,
Tafuta Girlfriend mpenda hela akuchangamshe uzidi kua mtafutaji.
Hahaha ujinga mtupu Ko girlfriend akiwa mpenda et ndo niwe mtafutaji Tunajifitie wenyewe life Yetu and our cash wanawake mtakuja Tu Mpo kwenye circleKama upo bored basi jua hiyo sio life style yako,
Tafuta Girlfriend mpenda hela akuchangamshe uzidi kua mtafutaji.
Kutoomber na uzonzi ni vitu viwili tofauti.Uzinzi haufai shekhe wa dubai
Haina haja ya girlfriend vuta papuche chakata pita vile life goes on [emoji16]Naipata kiasi, Kisha nafanya yaliyo muhimu kwangu.
[emoji117]Kuhusu swala la rafiki wa kike, naona bado sana
Uzinzi ni kipaji😆🤣🤣, hela hiyo ya kuhonga Sina😆🤣🤣Haina haja ya girlfriend vuta papuche chakata pita vile life goes on [emoji16]
Nime kuelewa, kuhusu kuji chukulia sheria mkononi hao ni team dronedrake, Half american, mshamba_hachekwi 😆🤣🤣Ukiweza dhibiti mihemko unaishi Mbona kama wale mabudha, Mimi niliweza kukaa Six Month Bila manzi life style ikawa Movie.game.series
.mazoezi.stori vijiweni na washkaji nikirudi nakula joging then movie Namshukuru mungu nalala the day is over [emoji120]
NB.MARUFUKU KUJIKULIA SHERIA MKONONI
Nime kuelewa mkuu 💪Kupanga Ni kuchagua na kuchagua Ni kupanga mkuu, fanya mambo yanayoupa moyo wako furaha.
We jomba🤣😆😆,Unaweza kuta wake zao wako mwezini kwny siku hizo 3.
Scarlet heart ni 🔥🔥, sijui ka Mvaa Kobazi ana ijua🤣😆Sija icheki kaka
Sija wahi kunywa bia, Wala kuvuta bange🤣😆Kula bia wewe
Mkuu hicho chama nilishaleft muda sana 😀Nime kuelewa, kuhusu kuji chukulia sheria mkononi hao ni team dronedrake, Half american, mshamba_hachekwi 😆🤣🤣
Umri wako tafadhaliSija wahi kunywa bia, Wala kuvuta bange🤣😆
Kaka wewe ndo Ume nielewa, Kuna wengine Hawa lijui Hilo🤒Boredom ikiingia unaweza kufanya yote hayo na ukabaki the same, na lazima ije at some point in life, hakuna kinachoenda, mwili mzito, kila unachofanya ni kama hakifai...
Njoo na kishkwambi niku tajie😆🤣🤣Umri wako tafadhali
dronedrake ya kweli haya😆🤣🤣Mkuu hicho chama nilishaleft muda sana 😀
Kula bia wewe acha uogaNjoo na kishkwambi niku tajie😆🤣🤣