Star times wameweka channel za Nigeria tu...wameondoa channel nzuri kama mimi napenda musiv..ila wametoa BET, The kiss, ST.MusicNapenda documentaries ila naona mmeondoa NatGeo na Viasat. Whats wrong, halafu mi mtanzania mnanijaziaje channel za naijeria badala ya kuniwekea atleast channel za Tz na East Africa! Mna mpango gani pia kuongeza news channels kama RT na France 24
Mimi nipo Dar nimelipia kifurushi cha 21,000 leo ni wiki ya pili sijaunganishwa naambiwa signal ziko chini,nimemtafuta fundi wao na yeye hadithi tu,nafikiria kuhama service ni poor sana.iweje ulipie kifurushi kuupdate iwe muda mrefu hivi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi Nina tatizo kuhusiana na huduma zenu natumia king'amuzi Cha star times lakin Kuna baadhi ya channel zimefutika kabisa hazionekani mfn: St swahili
Sent using Jamii Forums mobile app
Zimefutika kabisa haipo hata kwenye orodha ya channel naishi TABORA na natumia king'amuzi Cha antenahello habari yako, je zimefutika kabisa haziko kwenye orodha ya chanel au zipo lakini hazionyeshi? je unaishi wapi na unatumia king'amuzi cha dishi au antena?h