Piere. Fm
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,220
- 1,183
StarTimes Tanzania,
Mlianza kuiondoa TV ONE mlipopigiwa simu mkasema kuna marekebisho mnafanya, mkaja mkaiondoa CLOUDS na chaneli zingine mlivyopigiwa jibu likawa lile kuna marekebisho mnafanya zitarudi lakini mpaka leo hazijarudi nini tatizo?
Rudisheni chaneli hizo pia ingizeni chanel E.
Mlianza kuiondoa TV ONE mlipopigiwa simu mkasema kuna marekebisho mnafanya, mkaja mkaiondoa CLOUDS na chaneli zingine mlivyopigiwa jibu likawa lile kuna marekebisho mnafanya zitarudi lakini mpaka leo hazijarudi nini tatizo?
Rudisheni chaneli hizo pia ingizeni chanel E.