Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari, nimeshawatumia malalamiko mengi kwenu kwenye wallpage hii but sijapata majibu toka kwenu, Naishi majohe kwa ngozoma. King'amuzi kuanzia asubuhi kinaandika no Signal ikifika saa moja kinafanya kazi vizuri tuu, natumia atena ya ndani ile yenye sumaku. Ila nilikinunua zamani sana hata kabla ya kuhamia kwenye mfumo wa ving'amuzi jee? inaweza kuwa sababu ya kuwa ni OLD VERSSION. Nipeni jibu nijipange kutokana na jibu toka kwenu wataalam.
Mi nimenunua simu yenu ya startimes solar 5 kwa kweli ni nzuri nimeipenda,hongereni,
mi nmelipia kama mara mbili hv na kila nikilipia naangalia wiki moja tu tayari mnanikatia channel kwa nini? sasa hivi nimeshakata tamaa kabisa ya kulipia
Hii hata mimi imeshanikuta sana,nalipa kifurushi cha mwezi baada ya wiki mbili wanakata hata mwezi hautimii,ebu tuambieni ni nini hiki?
Am not working with Startimes but i think i can ans this, kama upo subscribed kwenye package ya letsay 20,000 per month na umekuwa ukitumia hvyo ikitokea siku unalipia 10,000 nia ikawa kulipia package ya 10,000 bila kuwaambia wabadili package u will remain in package ya 20,000 per month so ur money will be enough for two weeks so the main problem hapa ni kubadili package according to price, kitu ambacho they must explain to customer ila hawafanyi