StarTimes Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 260
- 141
- Thread starter
- #861
kwa bahati mbaya mteja akikosea NO. za king'amuzi chake wakat wa kurecharge kunautaratibu gani ili kurudishiwa iyo pesa aliyotuma kwenu ?
Habari yako, tunamifumo mizuri ya kuhakikisha mteja akikosea malipo anapata msaada, tafadhari endapo utakosea wasiliana na watoa huduma wetu 0764700800/0677700800 ukiwa na namba sahihi na namba uliyokosea, tafadhari kumbuka pia kuwa na namba ya muamala