Stendi ya mabasi ya mikoani Ubungo kuhamishwa kupisha kituo cha mabasi ya Mwendo Kasi

Mwanadamu sio Mungu ni jambo jema kuhamishia kituo cha mwendokasi ubungo ili stendi ya ubungo iende mbezi luis
Uko tumamu kweli mkuu?

Kwahiyo na hapo unasema "mwanadamu sio Mungu"
as if hawakujua kwamba maji hutuama hapo jangwani, kwani walihitaji mtabiri kujua jangwani huwa kunajaa maji?

Miaka yote walikuwa kipaumbele kuwafukuza wananchi then wakajenga wao, wamepoteza fedha za wanachi kiasi gani? Nani aliyepitisha jambo hili? amewajibishwa au ndio mnalindana?

leo wakajenge sehemu nyingine kwa fedha za nani? tukisema ccm ni mazwazwa mnasema wananchi wanawatukana
Huo si unakaribia utindio wa ubongo??
 
JK alishawi kusema kuwa ule mradi uonolewe pale, mijitu ikapotezea.
Si kwa matumizi haya mabaya ya fedha zetu. Ubungo si ni juzi tu imekarabatiwa?
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.

Open-space Jangwani: Kikwete adanganywa tena!?
 
Tatizo hujui maana ya mjadala huru unachowaza wewe sio lazima kiwe sawa hadi unachapia chapia maana ya forum huru kila mmoja anakuja na mawazo tofauti hadi kufikia hitimisho kwa mfano kila mmoja angekuwa anawaza sawasawa na mwenzie anachowaza jamii forum na mijadala vingekuwepo?

Shida moja ya ngozi nyeusi pakitokea mmoja akawa tofaut na wazo lake basi akili yako inawaza unafikiria kwa utimamu mjinga wewe kila mmoja anakuja na wazo lake then hitimisho linapatikana jawabu moja
 
Watu wanaotetea ufirauni kama wewe ndio sababu mwafaka ya kuwepo kwa adhabu ya kifo
Chaajabu imekuwa vice versa.
Elimu yetu haitufunzi maana ya mijadala tunachofikiria wote tuwaze kitu kimoja rudi shule hapa utakutana na mawazo toafut kwa asiejua atapata elimu ila ukitaka kila mmoja awaze vile unataka fungua forum yako halafu contro mawazo ya kila member fala wewe
 
Asante mkuu!
 
Japo inauma sana kuona kodi zetu zinachezewa kwa kiwango hiki
 
G
Ingefaa injinia wa jiji wakati wa upanuzi wa MTO msimbazi abuni mchoro kama wa Suez canal..

ili huo mfereji ubaki kuwa njia ya usafiri kwa boti na..

moja kwa moja uchafuzi wake utakoma kwa wananchi kuutunza na utalipendezesha zaidi jiji [emoji89]
ingekua bonge LA kivutio kama ujeruman na MTO wao
 
Kwa nini hao mwendo kasi wasipelekwe huko Mbezi! Wabongo bwana ni shida, yote hii ni kumuongezea shida mlalahoi, nitoke Kigoma, nilale Morogoro, nifike Mbezi nianze safari nyingine ya kwenda Mbagala viongozi hamlioni hili?
Kweli kabisa, mwendokasi waende mbezi. Kituo cha mikoani kibaki palepale.
 
Mwanadamu sio Mungu ni jambo jema kuhamishia kituo cha mwendokasi ubungo ili stendi ya ubungo iende mbezi luis
Acheni kumsingizia mungu mambo ya kijinga, nani ambaye hajui jangwani ni bonde la mpunga? Kama wananchi walihamishwa kwa nguvu why serikali wao walijenga? Mbona UDA enzi za mabasi ya Icarus kituo chao kilikuwa Ubungo hapo terminal? Walikuwa wajinga? Ni kipindi cha Keenja ndipo stend ilihamishwa from Kisutu kuja hapo terminal Ubungo.
 
Hicho kituo Mbezi kingekuwa gereji na ofisi za kampuni, UBT ibaki hapo ila iboreshwe (multilevel & multi functional), satellite cities ziwe na terminals zao. Vinginevyo muda si mrefu mtakujahamia Kibaha.
 
Unaweza kujenga kitu sehemu sahihi lakin natural calamities huwez kuzikwepa kama ikitokea zikaja tofaut hata huko ma mbele wanahangaika na haya majanga
Watu wasomi na taaluma zao wamewekeza na kujenga yard ya multi-million ktk natural drainage ya jangwani halafu unasema vipi natural calamities hazikwepeki?
 
Mwanadamu sio Mungu ni jambo jema kuhamishia kituo cha mwendokasi ubungo ili stendi ya ubungo iende mbezi luis
Tatizo halipo kwenye kuhamisha tatizo lipo kwenye hizo hela walizotumia kujenga pale Jangwani kwanini wasingejenga hapo Ubungo mapema?

Ni uwendawazimu watu wanapelekwa shule na baba zao halafu wanamaliza wanaingia mtaani wakiwa hawajui kama kujenga pembeni mwa mkondo wa maji kuna madhara kisha useme binadam sio Mungu.

Huu ni utoto!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…