Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe


Kabla sijajibu swali lako nitaomba ufafanuzi sehemu ambazo sijaelewa katika swali lako,na sehemu ambayo sijaelewa na ambayo nahitaji ufafanuzi ni moja tu nayo ni:

Ukweli ni nini?... yaani nataka uniambie ukweli ni nini kwa sababu umetumia neno hili kwenye swali lako nami silijui!
 
Hapa inabidi utuambie wewe umejuaje hili ? Unaposema hakuna anaejua wapi tumetoka na kwa vipi ulimwengu umeumbwa au umekuwepo ? Bila shaka una elimu ya ziada juu ya hilo.

Nipo.....

Mpaka sasa sijaona ushahidi wowote unaonishawishi kuwa kuna anayejua tulipotoka.

Kama wewe unao au unaujua huo ushahidi, niwekee hapa.

Ila usiniletee hekaya za kwenye vitabu kama biblia na kadhalika.

Vilevile, huyo Hawking naye anatabiri tu. Hajui.
 
Kabla sijajibu swali lako nitaomba ufafanuzi sehemu ambazo sijaelewa katika swali lako,na sehemu ambayo sijaelewa na ambayo nahitaji ufafanuzi ni moja tu nayo ni:

Ukweli ni nini?
Je niprove(thibitisha) kwa njia ipi? Ndio swali langu kuu. Sijashindwa na wala sintoshindwa.
 
HILI NDILO JIBU KUU. ILA KWA WALE TU AMBAO HAWAJASHIKIWA AKILI.
 

I have found these debates on God vs science by atheist scientists vs scientists who believe in God very interesting:
https://www.google.com/search?q=the+god+delusion+debate+youtube&ie=utf-8&oe=utf-8&client=firefox-b
 

Hii ni hadithi isiyo na uthibitisho.

Thibitisha Mungu yupo.


Biblia ina makosa mengi sana, imeandikwa na watu tu,hakuna Mungu anayesemwa ndani ya Biblia.

Wataalam wanaoisoma Biblia katikalugha yake ya asili,sio wewe unayesoma tafsiri, waliofundisha Bibliampaka Harvard, kama James L Kugel,wamesema hilo, si mimi.

Tatizo hata James L Kugel sijui kamaushamsikia. Tafuta kitabu kinaitwa "How To Read The Bible: A Guide To Scripture Then And Now"

James Kugel

How to Read the Bible


Hii ni falalcy.

Ni kamaunasema "BMW imeanzishwa na Mjapani Tokyo"

Nakwambia, hapana, BMW ni gari ya Wajerumani,si ya Wajapani.

Halafu unaniambiahujui kitu,kwanza mtu mwenyewe huwezi hata kutengeneza tairi la gari.

Yani hujui kwamba, kama kweli BMWimeanzishwa Ujerumani na Wajerumani, hata nisipojua kujaza upepo tairi, licha ya kulitengeneza, huko kukosa kujua kwangu kujaza upepo tairi hakufanyi BMW iwe imeanzishwa Tokyo Japan a Wajapani.

Katikalogic hii ni logical non sequitur.Unaunganisha mambo mawili ambayo hayana ususiani.

Yani ni sawa na mimi nisemewewe huwezi kupika pilau kwa sababu unavuta sigara. Wakati hamna uhusiani wowote katika ya kujua kupika pilau na kuvuta sigara.

Tusimjaji Mungu wakati vitu tunavyoviona vinatushinda tutawezaje kujaji tusivyoviona?,kama tumeshindwa kujua lile dude kubwa la air marasyia lilipoenda tutajuaje mambo ya Mungu?

A most ridiculous assertion.

Kutovielewa tunavyoviona ni ushahidi Mungu hayupo,si ushahidi Mungu hayupo.

Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote asingekuwa mchoyo wa elimusana kutunyimakujua tunavyoviona mpaka tusote sana mambo na hata hapomengine hatuelewi.

Hali hiyo inatokana na ukwelikwamba Mungu hayupo.

Naona kuna trend ya watu kuchukua ushahidi unaoonesha Mungu hayupo, na kuufanya uwe ushahidi unaoonesha Mungu yupo.

Wanageuza mambo kama kifo, magonjwa, ujinga kuw aushahidi kwamba Mungu yupo.

Habari za kuwezekana kuwepokifo, magonjwa na ujinga ni ushahidi Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, kifo, magonjwa na ujinga visingewezekana kuwepo.
 
Ukweli ni hali au jambo fulani kama lilivyo. Kadhalika ukweli ni kinyume cha uongo. Ukijua maana ya uongo bila shaka utajua maana ya ukweli.

Nakupa faida. Maana ya maana inaelezwa kwa njia kadhaa. Hapa nakupa njia mbili au tatu.

1. Ninaweza kutoa maana ya jambo kwa maelezo kwa kuruhusu kuingia yale yote yahusuyo jambo husika na kuzuia kuingia yale yote yasiyo husika.

2. Naweza kutoa maana kwa mifano. Yaani naweza kukuonyesha hali ya mtu mfulani ukajua nini maana ya jambl fulani.

Nipo.....
 

Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha mkuu unajudge mambo ya Mungu kwa upeo wako sio kutokana na maandiko au reality of life

Kwahii paragraph yako ndogo naomba nikujibu kifupi tuu

Mosi<kama ulivyosema hapo juu kwamba Mungu ni waupendo na vitu vingine vyote pia Mungu ndie aliyeumba MEMA na MABAYA yaani huo ubaguzi unaoongelea ni Mungu pia amaeuumba lakini amesema ameumba MEMA kwaajili ya WEMA na MABAYA kwaajili ya WABAYA mwisho kabisa ametushauri tuchague yaliyo mema.So unapoongelea ubaguzi usitaje ubaguzi wa rangi tuu taja kila aina ya ubaguzi hata ile xenophobia ya SA ni ubaguzi hata anaofanya jiwe kuteua kanda ya ziwa ni ubaguzi uleule hata kumtenga ndugu yako pia ni ubaguzi kwa kuwa Mungu alitoa option ya watu kuchagua kati ya mema na mabaya so huwezi kumlaumu Mungu juu ya machaguo ya watu binafsi ni kuwalaumu watu wenyewe.

Pili,Umeongelea pia kwamba Mungu alifanya kwa upendeleo nisamehe kama nimekuelewa vibaya,lakini hapana nakataa Mungu hana upendeleo kama angekua anaupendeleo nadhani wazungu wasingetuhitaji ila kuna ujinga tuu ambao waafrika tunao na wazungu wanautumia kama opportunity,huwezi kusema mzungu anatusababishia umaskini wakati sisi tumekaa huku kazi yetu kuchati whatsapp na fb na tukirudi kwenye reality ya maisha tunaongeza wake na watoto wakati hela ya vocha tuu inatukimbiza.Kwaufupi tuu naomba usiseme tena kuwa Mungu ni mbaguzi juu ya rangi nyeusi ila jitahidi sana kuiambia rangi nyeusi iache ujinga na upumbavu
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji115]
 
Watu kama nyinyi tunaenda kwa hoja za kiakili na kimazingira.

Kwanza hujaelewa swali langu bro. Soma tena swali bro kisha ulijibu kwa utulivu..... Relax
 
Bado sijakuelewa, nikisema "hakuna Mungu" huo ni ukweli au ni uongo?
 
Watu kama nyinyi tunaenda kwa hoja za kiakili na kimazingira.

Kwanza hujaelewa swali langu bro. Soma tena swali bro kisha ulijibu kwa utulivu..... Relax


Sijalielewaje swali lako? Nieleweshe basi...
 
Kama ni kweli kwamba hatuna ushahidi wowote wa tulipotokaniwapi, huo niushahidi zaidi kwamba hatujatokakwa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.

Naangalia swali hili kwa misingi hii.

1. You either accept logical inquiry as your guide or not.
2. If you do not accept logical inquiry, anything goes and there is no basis for anything and you might as well stop everything right there,because going forward requires a logical progression from one point to another.
3. If you accept logicalinquiry, you can device a way to converge towards the truth in a verifiable way
4. If you device a way to converge towards the truth in a verifiable way, contradictions will be barred,they weed out misunderstandings or lies.
5. The God (omnipotent, imniscient, omnibenevolent) idea, one who amde this universe as it is, has an inherrent contradiction in that the universe allows evil to exist. Was God forced to create the universe this way by some reason? Or did he choose the universe to be this way by purpose? If he was forced, he can't be omnipotent. If he had choice but chose to make us suffer, he can't be omni benevolent.
6. There is a contradiction that creates a mutualexlusivity in the characteristics of God in a way that a God who is omnipotent, omniscient and omni benevolent, not only does not exist,but cannot exist logically

I understand that Hawking is largely following the same line of thought.
 
Nikisema hakuna Mungu huo ni ukweli au ni uongo?
Huo ni ukweli,na hili swali linaingia katika yale maswali ya uongo. Sababu hapajawahi kutokuwepo na Mola muumba.

Kwanza bro,twende kwa utaratibu mzuri. Kuna swali nilikuuliza ila hujalijibu. Wewe lako uliuliza nimekujibu. Sasa naomba unijibu swali langu la kwanza kwako kisha uulize swali lako nilijibu.

Hapa hutakiwi kuruka swali. Nipo....
 
Sasa Ngabu kama mtu akiandika historia ya familia yao au biography inakataliwa uhalali wa alicho andika sababu yameandikwa kwenye kitubu kama zinavyo andikwa hadithi zingine?
 
Sijalielewaje swali lako? Nieleweshe basi...
Unaposema wewe hujaona ushahidi wa kuonyesha wapi tumetoka. Inabidi utuambie kwamba ni upi udhaifu wa hoja ulizowahi kuzisoma mpaka ukafikia hitimisho la kauli yako hiyo.

Kwa sababu kama huna elimu ya jambo fulani ni vigumu kulizungumzia jambl hilo,na ukifanya hivyo utakuwa unaikosea adabu elimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…