Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,403
- 4,692
Ishu ni kuhama huyo tutapambana nae ni mjinga sanaWamehama wengi waliolelewa na vyama vyao, hana kosa. Ninachojiuliza kumbe mbio za 2025 zishaanza tayari?
Naona bado muda upo kwa yeyote anayehis wananchi wake wamemchoka, arekebishe hali kwa kutekeleza aliyoahidi
Tukuyu Pemba Maswa..Tukupemba maswaa!😀🙏
Panic inasomeka kwenye kauli yako.Ishu ni kuhama huyo tutapambana nae ni mjinga sana
Wewe ni mgeni nchi hii usijue nape ni mtoto wa mzee nani? Harafu unataka tukujibu tupigwe ban? Any way hata yule mzee alipakaziwa mnyakyusa gani anakuwa wahovyo vile atakuwa alizaliwa na mkata majaniKwani wao nape ni wapi kama sio huko mtama
BoraStephen Kamilius Membe ambaye ni mdogo wake marehemu Bernard Membe amemkalia kooni Mbunge wa Mtama Nape Nnauye baada ya kuweka hadharani nia yake ya kugombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia Chadema.
Upepo wa siasa hapa Mtama umegeuka ambapo kila kona ya Kijiji watu wanamuimba Membe tu mdomoni jambo ambalo linaonekana kama pigo kwa CCM kiasi cha kuomba "mma" kwa Rais Samia Suluhu Hassan. Taarifa kutoka "ndani" zinadai kwamba ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan kuja hapa Kusini kwa maana ya Lindi na Ntwara imelazimishwa kuja kumuokoa Waziri Nape anayeonekana wazi kuzama kisiasa.
Membe amejiunga na Chadema na tayari anatarajia kufanya ziara Jimbo zima la Mtama kila Kijiji kusalimia wazee wa Kimwera walioudhika na uongozi wa Nape uliohamia Dar es salaam badala ya Mtama.
"Wanaohamua nani awaongoze na kwa wakati Gani ni sisi wenyewe wana Ntama, kwa Sasa tumeamua tunamtaka ntoto wetu Membe atuongoze, Nape arudi kwao", amesema Mzee Sijaona wa Chiponda Senta.
My take: Nape tafuta Chaka lingine Mtama si muafaka tena kwako. CCM tafuteni mpinzani sahihi kwa Stephen Membe otherwise jimbo linakwenda kwa Chadema.
Membe aombeweNani wa kuombewa?Kama ni Nape mimi namuombea maji ya kunywa.
Hapo sawasawa.Membe aombewe
Atembelee hata mat.ko atajua mwenyewe, sana sana nnavyomjua atajiliza liza kinafki kwa Sa100 apate namna ya kusaidika/kubebwa.Ooohoooo!Nape hakawii kutembelea magoti.🤔
Mfuko wa Sandarusi anau download shauri yake.Huyo Membe atauona moto fala huyo CCM imemlea na sasa ahame atalamba mawe mjinga huyo
Mdogo wake jasusi mahiri[emoji16]Huyo Membe ni nani mpak Raisi wa nchi afanye ziara kwa ajili yake.
Kwenye hitimisho la msiba wazee huulizwa kama kuna anayemdai marehemu ajitokeze na anayedaiwa pia. Hilo halikufanyika?Alipokufa Mdai,na deni likafa
Steve ni cdm toka kitambo,ccm ilikua ni kwa ajiri ya kaka tuAlihofia HUKO CCM asingepitishwa?
Hahahaha,mdg wa mbobezi sio ?Mdogo wake jasusi mahiri[emoji16]
Mkakati wa Nape huo. Chadema mtaingia mkenge anakuja kujitoa mwishoni huyo.Stephen Kamilius Membe ambaye ni mdogo wake marehemu Bernard Membe amemkalia kooni Mbunge wa Mtama Nape Nnauye baada ya kuweka hadharani nia yake ya kugombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA.
Upepo wa siasa hapa Mtama umegeuka ambapo kila kona ya Kijiji watu wanamuimba Membe tu mdomoni jambo ambalo linaonekana kama pigo kwa CCM kiasi cha kuomba "mma" kwa Rais Samia Suluhu Hassan. Taarifa kutoka "ndani" zinadai kwamba ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan kuja hapa Kusini kwa maana ya Lindi na Ntwara imelazimishwa kuja kumuokoa Waziri Nape anayeonekana wazi kuzama kisiasa.
Membe amejiunga na Chadema na tayari anatarajia kufanya ziara Jimbo zima la Mtama kila Kijiji kusalimia wazee wa Kimwera walioudhika na uongozi wa Nape uliohamia Dar es salaam badala ya Mtama.
"Wanaohamua nani awaongoze na kwa wakati Gani ni sisi wenyewe wana Ntama, kwa Sasa tumeamua tunamtaka ntoto wetu Membe atuongoze, Nape arudi kwao", amesema Mzee Sijaona wa Chiponda Senta.
My take: Nape tafuta Chaka lingine Mtama si muafaka tena kwako. CCM tafuteni mpinzani sahihi kwa Stephen Membe otherwise jimbo linakwenda kwa Chadema.
Nape ni mtu wa mbeya?Membe ni mzawa, huyo kiribatumbo aende akagombee kwao Tukuyu
Nape akibwagwa nitafurahi maana ni mchumia tumbo tu kwenye siasa. Amejaa unafiki sana. Siku zote naunga mkono wenye msimamo kiitikadi kujali maslahi ya umma kwanza. Kumchukia na kumkejeli mwanamapinduzi magufuli ni kosa binafsi sitamsamehe maana alipoomba msamaha kwa magufuli ilikua usanii tu.Stephen Kamilius Membe ambaye ni mdogo wake marehemu Bernard Membe amemkalia kooni Mbunge wa Mtama Nape Nnauye baada ya kuweka hadharani nia yake ya kugombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA.
Upepo wa siasa hapa Mtama umegeuka ambapo kila kona ya Kijiji watu wanamuimba Membe tu mdomoni jambo ambalo linaonekana kama pigo kwa CCM kiasi cha kuomba "mma" kwa Rais Samia Suluhu Hassan. Taarifa kutoka "ndani" zinadai kwamba ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan kuja hapa Kusini kwa maana ya Lindi na Ntwara imelazimishwa kuja kumuokoa Waziri Nape anayeonekana wazi kuzama kisiasa.
Membe amejiunga na Chadema na tayari anatarajia kufanya ziara Jimbo zima la Mtama kila Kijiji kusalimia wazee wa Kimwera walioudhika na uongozi wa Nape uliohamia Dar es salaam badala ya Mtama.
"Wanaohamua nani awaongoze na kwa wakati Gani ni sisi wenyewe wana Ntama, kwa Sasa tumeamua tunamtaka ntoto wetu Membe atuongoze, Nape arudi kwao", amesema Mzee Sijaona wa Chiponda Senta.
My take: Nape tafuta Chaka lingine Mtama si muafaka tena kwako. CCM tafuteni mpinzani sahihi kwa Stephen Membe otherwise jimbo linakwenda kwa Chadema.