Pre GE2025 Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ila kama Mganga wa Chama aliwaambia mumchague Yeye labda ana Nyota ya Ushindi na Ushawishi kwa 2025 basi sawa ila kwa Yeye kama Yeye na nikiwa namjua kuanzia Familiani na kwa Nyakati hizi hana Jipya na mmechemka pakubwa.
 
Uzee umeshaingua, hiyo mikiki hataiweza.
 
Hizo kura zilizoharibika zimeharibikaje?????
Waaliandika mattusi kama wale watoto wa NECTA????
 

Chama kubwa Africa

Mungu ibariki Tanzania

Mungu mbariki Rais Samia Suluhu Hassan

Kazi iendelee
 
lile zee ni babe kwa lissu, lissu akiwa mwenyekiti wa chadema tayari kawekewa mbabe wake. Wale wakiitwa studioni kufanya kipindi watenganishwe, zee lina hasira sana lile, linaweza kumrushia ngumi lissu
Shida ya Wassira ni propaganda....kizazi hiki na utandawazi huu atajikuta comedy na propaganda zake watu wanakuja fact plus ushahidi.....yeye anawaza awamu 1....no access info to people....
 
Ila kama Mganga wa Chama aliwaambia mumchague Yeye labda ana Nyota ya Ushindi na Ushawishi kwa 2025 basi sawa ila kwa Yeye kama Yeye na nikiwa namjua kuanzia Familiani na kwa Nyakati hizi hana Jipya na mmechemka pakubwa.
Kwa nyakati hizi bro nyota ni muhimu zaidi..........
 
we mpumbavu acha ukabila
 
Shida ya Wassira ni propaganda....kizazi hiki na utandawazi huu atajikuta comedy na propaganda zake watu wanakuja fact plus ushahidi.....yeye anawaza awamu 1....no access info to people....
Siasa zetu bado ni vilevile.......vijana watapiga kelele ila mwisho wa siku lililoamriwa litakua.....hapo kikubwa kamati ya ufundi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…